matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Katarama sijaipanda ila nasikia ni hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa hakuna tochi, pia askari wa barabarani walikuwa wachache. Now sheria zimekuwa nyingi na kali kwa madereva jumlisha speed governorHongera zake.
Ila zama hizi mabasi hayakimbii. Enzi zile unatoka Dar asubuhi unafika Mbeya mchana saa nane unakutana na ugali mezani licha ya barabara kuwa mbovu. Zile Scania zilikuwa balaa
😂😂😂😂😂😂😂Jeshi wameenda kuchukua Yutong za kutosha nina hakika kwenye vitabu imeekwa bei ya scania.
Saa 12 asubuhi Mkuu. Zile Scania zilikuwa balaa. Basi la mwisho kuona linakimbia ilikuwa ni Lucky star ilikuwa mida ya saa tano au sita inapita mizani makambako ikitokea Dar means Mbeya ilikuwa inaingia saa nane kwenda 9 hiyo ni miaka ya 2003/4.Ulikuwa ukitoka Dar saa ngapi ili ufike Mbeya saa nane mkuu?
😁😁😁chukar video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
😁😁😁chukar video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
😁😁😁chukua video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
Umemtisha mpaka akafanya editing postUna wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Acha uwoga, tunawapa kichwa sana hawa watumishi wa umma mpaka wanafikiri wanaweza kutufanya chochote bila madhara yeyote, Kuna wale wa usalama wa Taifa na ile mifugo ya CCM yanajiona kama semi God, tafadhari tuache culture ya kuwaogopa inaharibu TaifaUna wakili?🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
😁😁😁chukua video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
kuna mzee mmoja wa Mwanza amefanya utafiti porini amekuta mifupa ya watu imejaaUmemtisha mpaka akafanya editing post
😁😁😁chukua video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
soma post kwa makini halafu angalia tarehe ya hizo bus mbili zilipostiwa liniMbona basi ziko mbili tu kwenye hii video, na ww umesema nne.... mbili zengine zipo wapi ?
😁😁😁chukua video kabisasiwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀
soma post kwa makini halafu angalia tarehe ya hizo bus mbili zilipostiwaMbona basi ziko mbili tu kwenye hii video, na ww umesema nne.... mbili zengine zipo wapi ?
kuna mzee mmoja wa Mwanza amefanya utafiti porini amekuta mifupa ya watu imejaaAcha uwoga, tunawapa kichwa sana hawa watumishi wa umma mpaka wanafikiri wanaweza kutufanya chochote bila madhara yeyote, Kuna wale wa usalama wa Taifa na ile mifugo ya CCM yanajiona kama semi God, tafadhari tuache culture ya kuwaogopa inaharibu Taifa
Asante sana 🙏🏿siwezi kupinga kipindi sijajiunga jamiiforum nilikuwa natumia jamiiforum kuptia operamini kwenye mobile phone jina la mshana nilikuwa naliona ni kitambo sana
almost kama miaka 16 hivi
yoyote kwa yote huu uzi bila picha bado hujakamilika bro kwa heshima yako 😀View attachment 3088256