KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

Tumevurugwa walimu...
Huyu ana sura ya wale wanoko na vimbelembele darasani wakati tunasoma hii elimu ya kubumba...

1696030478175.png
 
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
Waziri ni muongo
 
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
 

Attachments

  • AC3206A8-2B47-4ADC-981B-1E1E55EBABBB.jpeg
    AC3206A8-2B47-4ADC-981B-1E1E55EBABBB.jpeg
    56.4 KB · Views: 2
  • 9D97AC0C-781B-42E2-999B-7B88B82D5BED.jpeg
    9D97AC0C-781B-42E2-999B-7B88B82D5BED.jpeg
    31.4 KB · Views: 2
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
Waalimu wengine mikoa yote ungeni hapo ni saa yenu ya ukombozi!
 
Huko mikoani hawana pakwenda pa kupata msaada.
CCM na CWT wapi unadhani watasikilizwa kwa umakini zaidi? Hii nchi wewe isikie tuu,watumishi wa halmashauri wanafukuzwa kazi hata na diwani. Siasa zimeathiri Sana utumishi....mwanasiasa Hana taaluma yoyote lakini anafanya maamuzi yanayohusu taaluma ya mtu. So pathetic 😭
 
Ndio ushangae watu tunaowaachia wawafundishe watoto wetu ndio wanaoongoza kwa ujinga
Sio wajinga mkuu, strategically wamefanya uamuzi mzuri maana wangeenda direct kwa wahusika wangetimuliwa na kupewa blahblah nyingi,kupitia ccm swala lao litasikilizwa chap na haraka. CCM italichukulia kama milestone kisiasa na itafanya jambo.
 
Sasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Ndugu ukiumizwa chochote kinachoweza kukusaidia kitumie. Walimu sio wajinga hivyo ktk nyakati hizi ambazo siasa imekuwa kila kitu! Watendaji wote unaowajua wewe wa serikali wamewakwamisha hawa walimu kupata haki yao. Why CHAMA kisitumike kuwasemea ili hali watendaji wanahofu kauli za wanasiasa? Wasingefanya hivi unadhani hao simbachawene angekuja na jibu hili?
 
Wameniamsha.

Eti wamerudisha Kadi [emoji44][emoji102], ?

'ah' kumbe ya mpwayungugu.

Rudisha Kadi, sio kwenda kuandamana tu, by ze way kurudisha kadi ni kuandamana-its a form of Protest.

chagua kwa umakini na uangalfu 2025.



Heko Walimu [emoji1666] wa Mpwayugungu
Sasa hujaelewa kuwa wasipokuwa promoted next month kurudisha kadi itakuwa habari kuu!? Maisha ni akili, kila mtu anazake.
 
NILIDHANI wameenda MAHAKAMANI
Hakimu atapigiwa simu tu....hii njia ndio sahihi kwa wakati huu. Huku halmashauri mambo ni vululuvululu. Chongolo atakuwepo next wiki, naye anapewa kauli ya simbachawene kuwa walimu tumeipokea na tunaisubiri. Nje ya hapo tutaelewa CHAMA na watendaji halmashauri lao moja so next step itakuwa KURUDISHA KADI KWA MAANDAMANO TENA.
 
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
Hii nchi ni ya kijinga sijapata kuona. Tangu lini kupanda madaraja kukahitaji uhakiki? Huyu jamaa anachekesha kweli 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom