Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

Kuna watu wananeema ya Mungu maana amesema anawajua waliowake tayari na hao kwa wema wao wanaoutenda hata pale wanapokosea huwa wanapewa nafasi au njia ya kutubu mpaka wanatubu na hao huwezi kujilinganisha nao maana wakikosewa Mungu huwa anawalipizia kisasi yeye Mwenyewe anaweza kuwa hata mtoto wako amechaguliwa na Mungu utaona anapenda kufanya haki, na wale wengine wengi wasiochaguliwa ila wataokolewa kwa Neema tu kulingana na matendo yao duniani kama yakiwa mema na Mungu haangaiki nao zaidi ya kuwanyuka tu pale anaona wanazidi kuumiza wake.
Kwahiyo kinachomuongoza mtu kufikia toba ni HEKIMA siyo pesa. Pesa haina uwezo huo, kwahiyo kumbe bora HEKIMA kuliko pesa siyo?

Mada tamu hii... kutokana na michango mizuri inayojenga sana. Hapa nilipo tu nimeishapata digrii ya kujuwa kipi ni kipi kati ya Hekima na Pesa.
 
Tajiri maana yake ni mtu mwenye kiburi cha kujiona anaweza Kila kitu bila msaada wa Mungu yaani yeye kama yeye anajiona kama mwenye uwezo wa jambo lolote na anapofanikisha jambo Hana shukurani yoyote kwa Mungu huyo ndo tajiri na ndo ni ngumu kwake kuingia Mbinguni ila watu waliobarikiwa Mali kwa uweza wa Mungu kuwa kwao na Mali siyo kikwazo kwao kuingia Mbinguni kama wanatenda mema, Mbingu ipo kwa watenda mema wote kasoro watenda mabaya na hao matajiri yaani wenye viburi hata kama ni masikini hawana kitu kama wanatabia za utajiri au kiburi cha kujiona wao ndo Kila kitu na walijiumba wao hawana wa kumshukuru kwa wao kuubwa basi hawataingia Mbinguni.
Mtumishi,

Leo ukiita wenye mali waliozipata kwa Mungu (kwa haki) na wenye mali waliozipata kwa shetani (kwa njia haramu) wepi watakuwa wengi zaidi?
 
Hivi hekima ndio busara au kuna utofauti..
maana tafsiri yake ni wisdom ileile.

Tunakosea kuchanganya maneno: Hekima/Busara, Werevu, Akili, Elimu.

Hekima/busara ni maarifa ambayo msingi wake ni uzoefu..na haihusiani na elimu-shule....na ndio maana busara/hekima huhusishwa na umri mkubwa..

Topik hii ilipaswa kulinganisha elimu (zote rasmi na elimu mtaani) vs fedha..

Elimu na hekima kwa mbali vinataka kuingiliana lakn ni tofaut..

Kwny ulimwengu huu wa ubepari hekima ni msamiati..
 
Hivi hekima ndio busara au kuna utofauti..
maana tafsiri yake ni wisdom ileile.

Tunakosea kuchanganya maneno: Hekima/Busara, Werevu, Akili, Elimu.

Hekima/busara ni maarifa ambayo msingi wake ni uzoefu..na haihusiani na elimu-shule....na ndio maana busara/hekima huhusishwa na umri mkubwa..

Topik hii ilipaswa kulinganisha elimu (zote rasmi na elimu mtaani) vs fedha..

Elimu na hekima kwa mbali vinataka kuingiliana lakn ni tofaut..

Kwny ulimwengu huu wa ubepari hekima ni msamiati..
Umechanganua vizuri sana. But what about Philosophy?


My take:
Hekima ni jinsi unavyojipresent (mode of self-presentation) kwa wanaokuzunguka unapo-interact nao.

Busara ni kauli au maandishi yanayobaki kama legacy. Hekima siyo lazima iwe kwenye form ya kauli au maandishi, ila inawezakuwa hata kwenye tabia mfano uvaazi wako. Ilhali Busara haiwezi kuwa kwenye tabia e.g. mavazi nk.
 
Umechanganua vizuri sana. But what about Philosophy?


My take:
Hekima ni jinsi unavyojipresent (mode of self-presentation) kwa wanaokuzunguka unapo-interact nao.

Busara ni kauli au maandishi yanayobaki kama legacy. Hekima siyo lazima iwe kwenye form ya kauli au maandishi, ila inawezakuwa hata kwenye tabia mfano uvaazi wako. Ilhali Busara haiwezi kuwa kwenye tabia e.g. mavazi nk.

Umechanganua vizuri sana. But what about Philosophy?


My take:
Hekima ni jinsi unavyojipresent (mode of self-presentation) kwa wanaokuzunguka unapo-interact nao.

Busara ni kauli au maandishi yanayobaki kama legacy. Hekima siyo lazima iwe kwenye form ya kauli au maandishi, ila inawezakuwa hata kwenye tabia mfano uvaazi wako. Ilhali Busara haiwezi kuwa kwenye tabia e.g. mavazi nk.
lugha ya kiingereza, mostly hutumia neno moja tu WISDOM kumaanisha hekima au busara

Waswahili ndio tunachanganya haya maneno kwa kudhani kwamba yanatofautiana wakt sivyo....

Ni sawa na kuyalazimisha maneno Fununu, Tetesi au Uvumi
yatofautiane.

Mimi nafikiri hekima & busara hujidhihirisha kwny decisiona making na kauli..siyo haiba ya nje kama uvaaji, kupendeza nk
 
lugha ya kiingereza, mostly hutumia neno moja tu WISDOM kumaanisha hekima au busara

Waswahili ndio tunachanganya haya maneno kwa kudhani kwamba yanatofautiana wakt sivyo....

Ni sawa na kuyalazimisha maneno Fununu, Tetesi au Uvumi
yatofautiane.

Mimi nafikiri hekima & busara hujidhihirisha kwny decisiona making na kauli..siyo haiba ya nje kama uvaaji, kupendeza nk
Mtu anayevaa nusu uchi hawezichukuliwa kama ana hekima. Waadventista Wasabato 100% wana hekima katika uvaaji wao. Hekima huzaa heshima, hakuna mwenye heshima ambaye hana hekima, respect is the result of wisdom. Kwa ufafanuzi mwingine kuna uvaaji wa heshima (dress code) ambayo hiyo ndiyo hekima. Baadhi ya taasisi zinahitaji watu wenye heshima ili watunze na kuhifadhi hekima ya taasisi ambayo ndiyo identity yake, mfano pale IFM Dar na Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea kuna dress code (heshima ya uvaaji) ili kutunza, kuhifadhi na kuendeleza wakfu wa kitaasisi. Ukiitwa Ikulu leo lazima upewe sharti la uvaaji hata kama wewe ni Mmaasai. Kumbe basi hekima ambayo huzaa heshima; inahusiana na nidhamu/tabia pia.

1640686198324.png

Taswira kwa hisani ya google.
 
Kwahiyo kinachomuongoza mtu kufikia toba ni HEKIMA siyo pesa. Pesa haina uwezo huo, kwahiyo kumbe bora HEKIMA kuliko pesa siyo?

Mada tamu hii... kutokana na michango mizuri inayojenga sana. Hapa nilipo tu nimeishapata digrii ya kujuwa kipi ni kipi kati ya Hekima na Pesa.
Kati ya hawa, nani yuko upande wa pesa na nani yuko upande wa hekima?
1640686597783.png

Taswira kwa hisani ya JF Photo Forum.
 
Mkuu,

Mandela alisema anataka aishi maisha ya zaidi ya thamani ya pesa, yaani hata kama hana pesa lazima atapata anachotaka kwa kutumia hekima, mfano ni nchi gani duniani ambayo Mandela angeenda kuomba chakula, nguo au matibabu ikamnyima? Hayo ndiyo maisha ambayo ni zaidi ya thamani ya pesa kwasababu aliwekeza hekima mioyoni mwa watu.

Nyerere kwa kutumia hekima yake aliwekeza kwa maskini na wanyonge duniani akawa hana maadui (kwasabbu maadui wanatengenezwa toka kwenye kundi la maskini wanaotafuta kujikomboa). Nyerere nyumba ya Msasani alizawadiwa na NHC, ile ya Butiama alijengewa kwa nguvu/ulazima na JKT, hakuwahi kujenga nyumba ya thamani ama kwa ela zake au ela za Ikulu. Kwa nafasi yake kama Mshauri wa Malkia wa UK Mwl alipewa nyumba Uingereza na Malkia akaikataa. Ni tajiri yupi basi mwenye ela asiyejuwa umuhimu wa kumiliki nyumba/makazi? Nyerere hakuwa na ela.

Nkrumah alitumia hekima kuasisi harakati za kudai uhuru na ukombozi wa Afrika, ikaja kumlipa uraia wa Afrika nzima badala ya Ghana pekee.

Katika kundi la marais tajiri Afrika Mandela, Nyerere na Nkrumah hawamo.

Mkuu unatumia nguvu mno,generation hii hutaeleweka,binafsi na familia yangu tunakushukuru Sana,UMENENA HEKIMA TUPU!!vijana Wahuniwahuni hawatakuelewa🤣🤣
 
Mkuu unatumia nguvu mno,generation hii hutaeleweka,binafsi na familia yangu tunakushukuru Sana,UMENENA HEKIMA TUPU!!vijana Wahuniwahuni hawatakuelewa🤣🤣
Ndiyo maana vijana wa leo life expectancy yao ni fupi mno kuliko wazee.

Yawezekana pia pesa zinafupisha maisha na hekima inarefusha maisha. Pesa zinaleta magonjwa sugu (Ukimwi, Pressure, Diabetes, Insomnia nk) na hekima haihusishwi na kuleta magonjwa. Pesa zimefunga wengi jela... pesa zimetenganisha udugu lakini hekima zimeunganisha na kuimarisha udugu.

Fikra ngumu hii.
 
Mkuu unatumia nguvu mno,generation hii hutaeleweka,binafsi na familia yangu tunakushukuru Sana,UMENENA HEKIMA TUPU!!vijana Wahuniwahuni hawatakuelewa🤣🤣
Mkuu,

Vijana wasiponielewa basi wakajifunze kwa Sabaya na yule wa Koromije pesa zilipowafikisha na kwamba sasa wanatamani wangelikuwa na hekima hata bila pesa.
 
Suleiman hakuwa majalala! Hilo la kwanza kabisa😅...

Sikuhizi bila hela utaishia kukoka kuni jikoni na hekima zako!
Mkuu,

Mbona Sabaya na ela zake leo anakoka kuni kwenye mafiga ya Magereza? Ela zimeshindwa kumuokoa. Mbowe naye hatujui kama ataungana naye kukoka kuni Jela Ukonga (Mungu aepushie mbali) kama ela zitashindwa kumuokoa, ni vivyo hivyo kwa mzee wa Koromije.
 
Mkuu,

Mbona Sabaya na ela zake leo anakoka kuni kwenye mafiga ya Magereza? Ela zimeshindwa kumuokoa. Mbowe naye hatujui kama ataungana naye kukoka kuni Jela Ukonga (Mungu aepushie mbali) kama ela zitashindwa kumuokoa, ni vivyo hivyo kwa mzee wa Koromije.
Hahahahahah
 
Vipi Anania na Safira?

Kitabu cha Matendo ya Mitume.5:1-11.
1 Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja. 2 Huku mkewe akijua kikamilifu, Anania alificha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka miguuni pa mitume.
3 Petro akamuuliza, “Anania, mbona Shetani ameujaza moyo wako ili kumwambia uongo Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata kutokana na kiwanja? 4 Je, kabla hujauza hicho kiwanja si kilikuwa mali yako? Hata baada ya kukiuza, fedha ulizopata si zilikuwa kwenye uwezo wako? Kwa nini basi umewaza hila hii moyoni mwako kufanya jambo kama hili? Wewe hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu.”
5 Anania aliposikia maneno haya akaanguka chini na kufa. Hofu kuu ikawapata wote waliosikia jambo lililokuwa limetukia. 6 Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakamchukua nje kumzika.
7 Saa tatu baadaye mkewe Anania akaingia, naye hana habari ya mambo yaliyotukia. 8 Petro akamuuliza, “Niambie, je, mliuza kiwanja kwa thamani hii?” Akajibu, “Ndiyo, tuliuza kwa thamani hiyo.”
9 Ndipo Petro akamwambia, “Imekuwaje mkakubaliana kumjaribu Roho wa Bwana? Tazama! Nyayo za vijana waliomzika mumeo ziko mlangoni, wewe nawe watakuchukua nje.”
10 Saa ile ile akaanguka chini miguuni mwake na kufa. Nao wale vijana wakaingia, wakamkuta amekufa, wakamchukua wakamzika kando ya mumewe. 11 Hofu kuu ikalipata kanisa lote pamoja na watu wote waliosikia juu ya matukio haya.

Taswira zote kwa hisani ya google.

View attachment 2060210
Anania na Safira wakihesabu kwa bashasha mauzo ya kiwanja na kuficha sehemu yake wasipeleke miguuni pa Mitume.

View attachment 2060212

Petro ampiga power Anania na ku-R.I.P.

View attachment 2060213
Safira amzukia Petro na kumuuliza mumewe Anania yuko wapi?

View attachment 2060215
Anania kwishne, jasho lake sasa kuliwa na wasiolivuja kwasababu ya uroho wake tu, angekuwa na HEKIMA HAYA YOTE YASINGEMKUTA, pesa zinaponza HEKIMA HAIPONZI.

USHAURI WA BURE.

Watu wa leo (hasa vijana ambao ndiyo Kanisa la kesho) pelekeni sehemu ya mapato yenu miguuni pa Mwingira, Kakobe, Fernandis, Mwamposa, Billionaire, Frank, Gwajima, Lusekelo, GeorDavie, Malisa, Oyedepo nk nk maana hawa ndiyo Petro wa nyakati zetu.
Aya ya mwisho rudia tena sijakuelewa
 
Back
Top Bottom