Nadhani tunashindwa kumuelewa Suleiman na mawasiliano yake na Mungu, na tunashindwa kutofautisha mtu mwema na mtu Mwovu, Suleiman alifanikiwa kuwasiliana na Mungu kwa utu wema wake tena akiwa mfalme akaulizwa apewe nini yeye akiwa mfalme tayari anakazi ya kumuingizia kipato na mtu mwema pia kwenye kazi yake na maisha yake ndipo alipoomba hekima Ili aitumie kwenye maamuzi atakayokuwa anafanya yawe ya hekima na kuacha kuomba mabaya kama kuua maadui zake au mambo mabaya ila aliridhika na kazi aliyokuwa nayo na kuomba aongezewe hekima ndipo Mungu akambariki kwa kuwa mtu mwenye Mali nyingi kwa kuchagua kuwa mwema badala ya kuomba mambo mabaya, Sasa mtu huna kazi alafu uulizwe upewe nini alafu ujibu hekima Sasa hizo hekima ukipewa uzunguke nazo kutoa hekima bila kazi siutazeeka ukiwa masikini? Hao wakina Trump ni kweli wanamali lakini tunawapima kwa wema au ubaya wao maana sasa tunamfumo wa sheria ndiyo zinazotumika kurekebisha watu wabaya na pia tunakuwa na watu wema na watu wabaya katika maamuzi yoyote yanayofanyika katika ngazi zote hivyo watu wanatakiwa kuangalia maana yoyote yanayofanyika je yatakuwa yenye haki au wema au yatakuwa yenye chuki au mabaya tofauti ni kipindi cha Mfalme Suleiman yalitoka kwa Mfalme pekee mpaka kwa mambo ya kifamilia kitu kutenda katika wema bila kuongozwa na nguvu ya ziada kutoka ndani ilikuwa ngumu kutoa majibu ya haki ndipo Suleiman akaomba Hekima yaani kutendea watu wake Wema na siyo ubaya kwa mambo yatayokuja mezani kwake kutolea maanamuzi.