Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
- Thread starter
- #101
Donald Trump?Hayo ni maandishi tu je kwenye realty unaweza miliki pesa ndefu kwa mda mrefu bila hekima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Donald Trump?Hayo ni maandishi tu je kwenye realty unaweza miliki pesa ndefu kwa mda mrefu bila hekima?
Ukichukuwa wenye pesa bila hekima ukawafungia kwenye kisiwa kimoja, alafu ukachukuwa wenye hekima bila pesa ukawafungia kwenye kisiwa chao unadhani ni kisiwa kipi kitafaa?Pesa tu yatosha mkuu hata kama huna hekima utatumia pesa kupata wenye hekima watakuongoza na utawalipa ndio maana kuna wasomi wanaajiriwa kama managing directors kwa matajiri wasiosoma,dunia ya leo na hekima zako utaishia kudharaulika hata na watoto wadogo,..kuwa na pesa toa hata ushauri wa kipumbavu utaitikiwa ndio mkuu!
Yafuatayo yatajiri:Ukichukuwa wenye pesa bila hekima ukawafungia kwenye kisiwa kimoja, alafu ukachukuwa wenye hekima bila pesa ukawafungia kwenye kisiwa chao unadhani ni kisiwa kipi kitafaa?
Ukisoma vizuri kitabu cha mithali utagundua nambii suleiman alikuwa akitoa maneno yenye hekima zaidi na kuna hekima inatokana na binadamu kuitumia maarifa na ujuzi wa kidunia kufanikiwa kile anachokifanya kuwa tajiri na kuna hekima mtu anaipata kutokana nakuongeza bidii kumcha Mungu kuachana kabisa na maovuumesema kweli mbaba suleiman hakuwa majalala kabisaa, lakin kumbuka pia suleiman huyohuyo hakuwa boya boya alikuwa na akili (hekima)
kuwa na hela zako jaza debe lakini bila akili (hekima) zitaishia kuziyeyusha kama siagi kwenye kikaango cha moto na utafanya mambo ya ajabu ajabu kama mwehu
Of course cha wenye hekima kitafaa, ila kwakuwa ni ishu ya kufikirika pesa inabaki kuwa na maana yake ile ile bossUkichukuwa wenye pesa bila hekima ukawafungia kwenye kisiwa kimoja, alafu ukachukuwa wenye hekima bila pesa ukawafungia kwenye kisiwa chao unadhani ni kisiwa kipi kitafaa?
Nyumba ya Rais anajenga mwenyewe au anajengewa na serikali?Mkuu,
Mandela alisema anataka aishi maisha ya zaidi ya thamani ya pesa, yaani hata kama hana pesa lazima atapata anachotaka kwa kutumia hekima, mfano ni nchi gani duniani ambayo Mandela angeenda kuomba chakula, nguo au matibabu ikamnyima? Hayo ndiyo maisha ambayo ni zaidi ya thamani ya pesa kwasababu aliwekeza hekima mioyoni mwa watu.
Nyerere kwa kutumia hekima yake aliwekeza kwa maskini na wanyonge duniani akawa hana maadui (kwasabbu maadui wanatengenezwa toka kwenye kundi la maskini wanaotafuta kujikomboa). Nyerere nyumba ya Msasani alizawadiwa na NHC, ile ya Butiama alijengewa kwa nguvu/ulazima na JKT, hakuwahi kujenga nyumba ya thamani ama kwa ela zake au ela za Ikulu. Kwa nafasi yake kama Mshauri wa Malkia wa UK Mwl alipewa nyumba Uingereza na Malkia akaikataa. Ni tajiri yupi basi mwenye ela asiyejuwa umuhimu wa kumiliki nyumba/makazi? Nyerere hakuwa na ela.
Nkrumah alitumia hekima kuasisi harakati za kudai uhuru na ukombozi wa Afrika, ikaja kumlipa uraia wa Afrika nzima badala ya Ghana pekee.
Katika kundi la marais tajiri Afrika Mandela, Nyerere na Nkrumah hawamo.
If you are President of the richest country on earth being poor is a choice not inanyway an outcome.I will name 5 most poor elites in the world's richest country:
1. James A. Garfield 20th US President.
2. Chester Arthur 21st US President.
3. Woodrow Wilson 28th US President.
4. Calvin Coolidge (a.k.a The Silent Cal) US President.
5. Harry S. Truman 33rd US President. Huyu amevunja rekodi ya umaskini katika safu ya marais wa US. Lakini pia Abraham Lincoln (aliyetoa tafsiri ya kimarekani ya neno Demokrasia alikuwa mchoma mkaa na aliwahi kushitakiwa kwa kesi ya kuharibu mazingira kabla ya kuwa rais)
Hao unaowaona vijijini wana busara tu hamna hekima mule usichanganye hii mambo,hamna mwenye hekima aliye maskini otherwise aone kuwa pesa hazikamilishi furaha yake and choose not to go for it.Hautoweza kuwafahamu na hata ukitajiwa hautaweza kusadiki kwakuwa tu hawana fedha ambayo ingewasaidia watambulike.
Unategemea utajiwe watu wenye hekima zao vijijini huko ambao ni masikini utawajua?
Nani kakwambia Trump hana hekima?Donald Trump?
Trump hana hekima ila kwa alipofikia kiuchumi hamna kitu ambacho atafanya kisiwe influential!Nani kakwambia Trump hana hekima?
Nyerere alikua na pesa za kufa mtu. Kumbuka kipindi anastaafu, alizawadiwa ng'ombe na vitu vingi sana sema mzee yule hakujionyesha.Mkuu,
Mbona Nyerere, Nkrumah na Mandela wamestaafu hawana ela ila hekima, na bado wanavuma kuliko wenye ela? Hii inakuwaje?
Hata Suleman aliomba hekima akapewa ni vingine.. Maandiko yanasema hajawahi kutokea wala hatokaa atokee mwenye utajiri kama wake.
My question still what makes you say that Trump hana Hekima?Trump hana hekima ila kwa alipofikia kiuchumi hamna kitu ambacho atafanya kisiwe influential!
Not that kwamba yeye ni mtu mwenye hekima ila ni mtu ambaye ana ushawishi wa kifedha.
Huwezi kuwa na Hekima ukawa kapuku.Ukiona mtu hana hela hiyo ni indication moja wapo kuwa hekima haimo kwake.Ukiwa na hekima huku huna hela unaonekana zoba tu
Huyo mfalme Suleiman alikuwa na mali zote, hazina yake ilijaa na ndo maana kasema anataka hekima.
Usilinganishe nyakati
Amekuwa madarakani tumeona actions zakeMy question still what makes you say that Trump hana Hekima?