Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

Name one person ambaye you think ana hekima ambaye ni poor
I will name 5 most poor elites in the world's richest country:

1. James A. Garfield 20th US President.
2. Chester Arthur 21st US President.
3. Woodrow Wilson 28th US President.
4. Calvin Coolidge (a.k.a The Silent Cal) US President.
5. Harry S. Truman 33rd US President. Huyu amevunja rekodi ya umaskini katika safu ya marais wa US. Lakini pia Abraham Lincoln (aliyetoa tafsiri ya kimarekani ya neno Demokrasia alikuwa mchoma mkaa na aliwahi kushitakiwa kwa kesi ya kuharibu mazingira kabla ya kuwa rais)
 
Kiukwekeli sina pesa, nina tuhekima kidogo (kwa mujibu wa watu) na ndio huto hunipatia pesa
FB_IMG_16132064597333604.jpg
 
Kwa nini walichana ?

Na msingi wa maendeleo ni nini kwa mujibu wa mwalim nyerere ?
Walichana kwasababu waliogopa watoto wao wasije kusoma kurasa hizo.

Kwa mujibu wa Mwl msingi wa maendeleo ni watu, uongozi bora, ardhi na siasa safi.
 
SIku za mwisho watu watakuwa wenye kupenda fedha, wenye kujependa wenyewe kuliko kumpenda Mungu na ndugu zao, wenye tamaa ya ngono kupita kiasi, watawakiana tamaa wao kwa wao,
𝐍𝐢𝐦𝐞𝐤𝐚𝐫𝐢𝐫𝐢 𝐡𝐚𝐲𝐨 𝐦𝐚𝐧𝐞𝐧𝐨 𝐭𝐮 𝐢𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐣𝐮𝐢 𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐛𝐮 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐫𝐚 𝐲𝐚 𝐧𝐠𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐛𝐢𝐛𝐥𝐞,𝐓𝐮𝐛𝐚𝐝𝐢𝐫𝐢𝐤𝐞 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢
𝐀𝐬𝐚𝐧𝐭𝐞𝐧𝐢
2 Timotheo.3:1-5
 
Ukiwa na hekima unaweza kulala mlango wazi salama hadi asubuhi.

Ukiwa na pesa huwezi kulala mlango wazi hadi asubuhi.

Kwahiyo kumbe mlinzi wa mtu ni hekima yake, siyo pesa, pia adui wa mtu ni pesa yake mwenyewe, hekima siyo adui wa mtu. (najifunza kuwa Sulemani wa leo)
Wenye HEKIMA ndo mafundi wakupora. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siamini katika hilo mkuu kwasababu pesa inafilisika lakini hekima haifilisiki hivyo nguvu ya pesa ni ya kitambo tu ilhali nguvu ya hekima inadumu hadi dahari. (najifunza kuwa Sulemani wa leo)
Pesa zako utakua unazitupa nn[emoji23][emoji23][emoji23]???
 
I will name 5 most poor elites in the world richest country:

1. James A. Garfield 20th US President.
2. Chester Arthur 21st US President.
3. Woodrow Wilson 28th US President.
4. Calvin Coolidge (a.k.a The Silent Cal) US President.
5. Harry S. Truman 33rd US President. Huyu amevunja rekodi. Lakini pia Abraham Lincoln (aliyetoa tafsiri ya kimarekani ya neno Demokrasia alikuwa mchoma mkaa na aliwahi kushitakiwa kwa kesi ya kuharibu mazingira kabla ya kuwa rais)
Iyo demokrasia ili mahnisha nin
 
Iyo demokrasia ili mahnisha nin
Lincoln wrote these words:
He understood the meaning of democracy to embrace legal and social relations between humans as well as a political system: a democratic polity could never tolerate the essentially undemocratic condition of masters and slaves. By this definition, the slave South was no democracy. And by this definition, the crisis of democracy predated Southern secession.”

Aliongelea majimbo 6 ya Kusini ya Ameika (likiwemo Mexico) yaliyogoma kushurutishwa kuingia kwenye muungano wa Amerika na kuamua kutumia vita badala ya demokrasia katika kupata suluhu, vita ilishindwa. Ndipo Lincoln akaja na tafsiri ya neno Demokrasia ambayo Wajamaa, Wakomunisti na Wasoshalisti waliiga kwamba ni "Uhuru wa watu, kwa watu kwa ajili ya watu"
 
Hekima ya mtu si mwonekano wake wake wa nje, Utaratibu wake wa kusalimu watu, ama utulivu wa uso na mwenendo wake ktk Ibada,
bali ni lile neno alisemalo kwa kinywa chake na kuwafaa watu wakati wa uhitaji wao.
Neno lenye kuleta NJIA ama SURUHISHO kwa wahitaji.
Japo ni changamoto kidogo kwa kizazi cha sasa. Kama jinsi nilivyothimuliwa sehemu fulani huko USA RIVER kwa WAMERU,
Mzee aliyetoa suruhisho la mirathi ya marehemu kukabidhiwa mke wa marehemu ili awahudumie watoto wa 3 na mama wa marehemu,,, Alikashifiwa, kutukanwa na kutimuliwa kikaoni na kijana wa makamo mwenye harufu ya Fedha.
kijana akasema, Mwanamke aende mkoani kwao, hana cha kurithi, mkataba wake umeishia hapo, ndugu wataendeleza mali za marehemu. ( na wote wakapiga makofi na kushangilia)
FEDHA IMEHARIBU HATMA YA MAMA NA WATOTO WAKE.
..........HERI HEKIMA KULIKO MALI NYINGI.
 
Hekima ya mtu si mwonekano wake wake wa nje, Utaratibu wake wa kusalimu watu, ama utulivu wa uso na mwenendo wake ktk Ibada,
bali ni lile neno alisemalo kwa kinywa chake na kuwafaa watu wakati wa uhitaji wao.
Neno lenye kuleta NJIA ama SURUHISHO kwa wahitaji.
Japo ni changamoto kidogo kwa kizazi cha sasa. Kama jinsi nilivyothimuliwa sehemu fulani huko USA RIVER kwa WAMERU,
Mzee aliyetoa suruhisho la mirathi ya marehemu kukabidhiwa mke wa marehemu ili awahudumie watoto wa 3 na mama wa marehemu,,, Alikashifiwa, kutukanwa na kutimuliwa kikaoni na kijana wa makamo mwenye harufu ya Fedha.
kijana akasema, Mwanamke aende mkoani kwao, hana cha kurithi, mkataba wake umeishia hapo, ndugu wataendeleza mali za marehemu. ( na wote wakapiga makofi na kushangilia)
FEDHA IMEHARIBU HATMA YA MAMA NA WATOTO WAKE.
..........HERI HEKIMA KULIKO MALI NYINGI.
Kamaradi Cliff,

Reserve your words, ila mimi nimekuelewa 100% but kuna watu hata humu watampa nishani huyo kijana.
 
Back
Top Bottom