Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

Kati ya Hekima na Fedha Kipi ni Muhimu Kuliko Kingine?

umesema kweli mbaba suleiman hakuwa majalala kabisaa, lakin kumbuka pia suleiman huyohuyo hakuwa boya boya alikuwa na akili (hekima)

kuwa na hela zako jaza debe lakini bila akili (hekima) zitaishia kuziyeyusha kama siagi kwenye kikaango cha moto na utafanya mambo ya ajabu ajabu kama mwehu
Hahahahhaha kama huna hekima ya kujua umuhimu wa hela huwezi kuzipata pia! Tambua hilo kwanza😅
 
Mkuu,

Mandela alisema anataka aishi maisha ya zaidi ya thamani ya pesa, yaani hata kama hana pesa lazima atapata anachotaka kwa kutumia hekima, mfano ni nchi gani duniani ambayo Mandela angeenda kuomba chakula, nguo au matibabu ikamnyima? Hayo ndiyo maisha ambayo ni zaidi ya thamani ya pesa kwasababu aliwekeza hekima mioyoni mwa watu.

Nyerere kwa kutumia hekima yake aliwekeza kwa maskini na wanyonge duniani akawa hana maadui (kwasabbu maadui wanatengenezwa toka kwenye kundi la maskini wanaotafuta kujikomboa). Nyerere nyumba ya Msasani alizawadiwa na NHC, ile ya Butiama alijengewa kwa nguvu/ulazima na JKT, hakuwahi kujenga nyumba ya thamani ama kwa ela zake au ela za Ikulu. Kwa nafasi yake kama Mshauri wa Malkia wa UK Mwl alipewa nyumba Uingereza na Malkia akaikataa. Ni tajiri yupi basi mwenye ela asiyejuwa umuhimu wa kumiliki nyumba/makazi? Nyerere hakuwa na ela.

Nkrumah alitumia hekima kuasisi harakati za kudai uhuru na ukombozi wa Afrika, ikaja kumlipa uraia wa Afrika nzima badala ya Ghana pekee.

Katika kundi la marais tajiri Afrika Mandela, Nyerere na Nkrumah hawamo.
Nyerere alikuwa kibaraka na Mandela vivyo hivyo! Hata Mimi pia nilikuwa adui yke wa nyerere alininyima ulaji kwenye serikali yke
 
Mkuu,

Mandela alisema anataka aishi maisha ya zaidi ya thamani ya pesa, yaani hata kama hana pesa lazima atapata anachotaka kwa kutumia hekima, mfano ni nchi gani duniani ambayo Mandela angeenda kuomba chakula, nguo au matibabu ikamnyima? Hayo ndiyo maisha ambayo ni zaidi ya thamani ya pesa kwasababu aliwekeza hekima mioyoni mwa watu.

Nyerere kwa kutumia hekima yake aliwekeza kwa maskini na wanyonge duniani akawa hana maadui (kwasabbu maadui wanatengenezwa toka kwenye kundi la maskini wanaotafuta kujikomboa). Nyerere nyumba ya Msasani alizawadiwa na NHC, ile ya Butiama alijengewa kwa nguvu/ulazima na JKT, hakuwahi kujenga nyumba ya thamani ama kwa ela zake au ela za Ikulu. Kwa nafasi yake kama Mshauri wa Malkia wa UK Mwl alipewa nyumba Uingereza na Malkia akaikataa. Ni tajiri yupi basi mwenye ela asiyejuwa umuhimu wa kumiliki nyumba/makazi? Nyerere hakuwa na ela.

Nkrumah alitumia hekima kuasisi harakati za kudai uhuru na ukombozi wa Afrika, ikaja kumlipa uraia wa Afrika nzima badala ya Ghana pekee.

Katika kundi la marais tajiri Afrika Mandela, Nyerere na Nkrumah hawamo.
Mkuu hebu wekeza kwenye hekima leo hii acha kufanya kazi halafu uone hata kama baba yako mzazi atakupa kula ya bure😅!!!

Hekima used to work in dark ages ila trust me hata mkeo unaeona anakupenda una busara na hekima hebu siku kosa kinachofanya mle na bill zinazolipwa hapo ndani uone balaa lake!
 
A fool and his money are soon Parted....

Ukiwa na Hekima ni rahisi kupata pesa, Hekima ni priceless...,

Jambo lingine ukiwa mtumwa wa pesa you will never be at peace wakati mtu ukichukulia poa na kuridhika utaishi kwa furaha... Ukishakuwa mtumwa wa pesa fahamu kwamba pesa haitatosha kila unayopata unataka zaidi to infinity thus badala ya pesa hio kukufanyia kazi ni wewe ndio unaifanyia kazi

All in all ukishafikia level ya kuona material things ni vitu vya kufacilitate maisha na sio maisha yenyewe you will lead a very happy and satisfied life
 
Mkuu hebu wekeza kwenye hekima leo hii acha kufanya kazi halafu uone hata kama baba yako mzazi atakupa kula ya bure😅!!!

Hekima used to work in dark ages ila trust me hata mkeo unaeona anakupenda una busara na hekima hebu siku kosa kinachofanya mle na bill zinazolipwa hapo ndani uone balaa lake!
kutokufanya kazi ni kukosa hekima

Mtu anafanya kazi ili apate necessities na sio necessarily apate ziada ili mtaa wa pili wamkome au awe na gari akipita kila sehemu wanajua fulani kapita (hapo atapata furaha mpaka mwingine atakaponunua gari kali kushinda lake) hence the cycle goes on
 
Mkuu,
Mbona Nyerere, Nkrumah na Mandela wamestaafu hawana ela ila hekima, na bado wanavuma kuliko wenye ela? Hii inakuwaje?
Wale ni waasisi wa bara la giza! Wameanza kuitafuta nuru miaka hio ambapo civilization ilikuwa hakuna mpaka ikaanza kuingizwa nchini taratibu!

Jamii by far zilitegemea sana solidarity for protection against inhumanity acts na socialization. Dunia ika evolve na kuletewa civilization ika mature na kuwa utandawazi kwa sasa inter culture imetamalaki. Waliotuletea civilization concepts ndio waliotuharibia yale mazuri yote ya hekima.

Kitambo kidogo about 25 years ago ilikuwa ni kawaida kwa watoto wa mitaa ya jirani kucheza pamoja kwenye open spaces around the street. Kukaribishana kula pamoja muda wa mchana haikuwa tatizo.Kilichopelekea hii situation ilikuwa ni hekima tu ya wazazi.

Kumuadhibu mtoto wa jirani ilikuwa ruksa sio kwa kuwa wazazi wake hawakumpenda mtoto ila kulitakiwa kuwe na equity katika malezi ya watoto ili kujenga jamii iliostaarabika na yenye hekima. Leo hii gusa mtoto wa mtu uone moto wake kwanza hata kumuona hutamuona wazazi wengine wanalea vibaya watoto wanajikuta wanafuga watoto washenzi wa tabia na ndio hawa hata hekima tu ndogo za maisha ya kuishi na watu tofauti kwenye jamii hawana. Unamuozesha binti akikaa miezi 6 anaachika arudi kwao au akapange mtaani aendelee kudanga. Watoto wa kiume ndio hawa mashoga na wengi waliokosa weledi hata wa kujisimamia na familia zao mpaka waombe msaada kwa mama😅

Leo hii wewe watoto wako unawaruhusu hata wakacheze nje tu? Umefunga maukuta na mageti alarm cameras ili tu watu wasiwe na access ya kuja kwako. Hii ni picha halisi tu kwamba ile hekima ya kuishi kama social beings haipo, solidarity hamna hata kidogo! Mtu akija kwako hata ndugu unaona kero kama kaja kukumalizia chakula ila utamaduni ulikuwa hivyo 25 yrs ago about 2 decades and a half!

Watoto waliozaliwa 2000’s mpaka kufikia leo ukizungumzia social lifestyle ya kitaani hawaijui hata kidogo. Wamezaliwa wakafugwa kama broilers. 😅 They know nothing about life and its roots!
 
kutokufanya kazi ni kukosa hekima

Mtu anafanya kazi ili apate necessities na sio necessarily apate ziada ili mtaa wa pili wamkome au awe na gari akipita kila sehemu wanajua fulani kapita (hapo atapata furaha mpaka mwingine atakaponunua gari kali kushinda lake) hence the cycle goes on
Hizo ni akili zako wewe the aged bro! Watoto wa 2000’s thinking yao ni completely different mzee
 
Kwa upande wangu bora fedha tu maana hekima haina msaada kabisa katika maisha yangu.
Nakunukuu "Hekima haina msaada kabisa katika maisha yangu"

Nikuulize mkuu, wewe katika ubinadamu wako hujawahi kupotoka ukaomba kusamehewa?

Ujuwe ule msamaha ndiyo hekima, kwa maana hakuna anayekosea akaomba msamaha akapewa pesa badala ya msamaha.

Mwenye masikio na asikie.
 
umesema kweli mbaba suleiman hakuwa majalala kabisaa, lakin kumbuka pia suleiman huyohuyo hakuwa boya boya alikuwa na akili (hekima)

kuwa na hela zako jaza debe lakini bila akili (hekima) zitaishia kuziyeyusha kama siagi kwenye kikaango cha moto na utafanya mambo ya ajabu ajabu kama mwehu
Kwahiyo hekima inamuongoza mtu kwenye njia sahihi lakini pesa zinamuongoza mtu kwenye upotevu siyo?
 
Nyerere alikuwa kibaraka na Mandela vivyo hivyo! Hata Mimi pia nilikuwa adui yke wa nyerere alininyima ulaji kwenye serikali yke
Ni kweli mkuu,

Walikuwa vibaraka wa #Haki, #Amani, #Maendeleo hivyo kumbe walikuwa Mamajusi (wenye hekima) waliotangulia kuona uhuru wa Afrika ukija kwa mbaaali.
 
Wale ni waasisi wa bara la giza! Wameanza kuitafuta nuru miaka hio ambapo civilization ilikuwa hakuna mpaka ikaanza kuingizwa nchini taratibu!

Jamii by far zilitegemea sana solidarity for protection against inhumanity acts na socialization. Dunia ika evolve na kuletewa civilization ika mature na kuwa utandawazi kwa sasa inter culture imetamalaki. Waliotuletea civilization concepts ndio waliotuharibia yale mazuri yote ya hekima.

Kitambo kidogo about 25 years ago ilikuwa ni kawaida kwa watoto wa mitaa ya jirani kucheza pamoja kwenye open spaces around the street. Kukaribishana kula pamoja muda wa mchana haikuwa tatizo.Kilichopelekea hii situation ilikuwa ni hekima tu ya wazazi.

Kumuadhibu mtoto wa jirani ilikuwa ruksa sio kwa kuwa wazazi wake hawakumpenda mtoto ila kulitakiwa kuwe na equity katika malezi ya watoto ili kujenga jamii iliostaarabika na yenye hekima. Leo hii gusa mtoto wa mtu uone moto wake kwanza hata kumuona hutamuona wazazi wengine wanalea vibaya watoto wanajikuta wanafuga watoto washenzi wa tabia na ndio hawa hata hekima tu ndogo za maisha ya kuishi na watu tofauti kwenye jamii hawana. Unamuozesha binti akikaa miezi 6 anaachika arudi kwao au akapange mtaani aendelee kudanga. Watoto wa kiume ndio hawa mashoga na wengi waliokosa weledi hata wa kujisimamia na familia zao mpaka waombe msaada kwa mama😅

Leo hii wewe watoto wako unawaruhusu hata wakacheze nje tu? Umefunga maukuta na mageti alarm cameras ili tu watu wasiwe na access ya kuja kwako. Hii ni picha halisi tu kwamba ile hekima ya kuishi kama social beings haipo, solidarity hamna hata kidogo! Mtu akija kwako hata ndugu unaona kero kama kaja kukumalizia chakula ila utamaduni ulikuwa hivyo 25 yrs ago about 2 decades and a half!

Watoto waliozaliwa 2000’s mpaka kufikia leo ukizungumzia social lifestyle ya kitaani hawaijui hata kidogo. Wamezaliwa wakafugwa kama broilers. 😅 They know nothing about life and its roots!
Duh! Comrade.

Is that Thesis for PhD?

Pesa ndiyo imeleta hayo yote na wala siyo hekima.

My take:
Kilichoharibiwa na pesa kinaweza kusahihishwa kwa hekima na kilichoharibiwa na hekima hakiwezi kusahihishwa kwa pesa ila kinaweza kusahihishwa kwa hekima yenyewe (najifunza kuwa Sulemani wa leo)
 
Duh! Comrade.

Is that Thesis for PhD?

Pesa ndiyo imeleta hayo yote na wala siyo hekima.

My take:
Kilichoharibiwa na pesa kinaweza kusahihishwa na hekima na kilichoharibiwa na hekima hakiwezi kusahihishwa kwa pesa ila kinaweza kusahihishwa na hekima yenyewe (najifunza kuwa Sulemani wa leo)
Kwahio tunakubaliana pesa ina nguvu kuliko hekima?
 
A fool and his money are soon Parted....

Ukiwa na Hekima ni rahisi kupata pesa, Hekima ni priceless...,

Jambo lingine ukiwa mtumwa wa pesa you will never be at peace wakati mtu ukichukulia poa na kuridhika utaishi kwa furaha... Ukishakuwa mtumwa wa pesa fahamu kwamba pesa haitatosha kila unayopata unataka zaidi to infinity thus badala ya pesa hio kukufanyia kazi ni wewe ndio unaifanyia kazi

All in all ukishafikia level ya kuona material things ni vitu vya kufacilitate maisha na sio maisha yenyewe you will lead a very happy and satisfied life
Ukiwa na hekima unaweza kulala mlango wazi salama hadi asubuhi.

Ukiwa na pesa huwezi kulala mlango wazi hadi asubuhi.

Kwahiyo kumbe mlinzi wa mtu ni hekima yake, siyo pesa, pia adui wa mtu ni pesa yake mwenyewe, hekima siyo adui wa mtu. (najifunza kuwa Sulemani wa leo)
 
Omba ufe mapema kabla hatujafika mkuu! Hekima bila hela haithaminiki sikuhizi hasa katika nchi yetu ya dunia ya 3 iliojaa dhiki na njaa kila kona sio wanasiasa wala wananchi wa kawaida!
Kinachofanya watu waone hela ni muhimu kuliko hekima ni assumpition ya kuwa hekima inatumika kutoa mawazo tu kwenye kikao cha familia.Kwa namna hii Nobody will go for Wisdom.

Lakini kazi ya hekima sio kutoa suluhisho la migogoro.Yes itatatua migogoro lakini ina far more use than that.

Hekima itakusaidia kuelewa watu na kuengage nao,it will help one be trusted,
Hekima itakusaidia kufanya maamuzi ya kuinvest kulingana na wakati,you need this to make money and keeping the money flowing.

You can have only wisdom and that wisdom can make you rich but You need Wisdom to Keep the money you have coming otherwise the money will perish and will be left with nothing.
 
A fool and his money are soon Parted....

Ukiwa na Hekima ni rahisi kupata pesa, Hekima ni priceless...,

Jambo lingine ukiwa mtumwa wa pesa you will never be at peace wakati mtu ukichukulia poa na kuridhika utaishi kwa furaha... Ukishakuwa mtumwa wa pesa fahamu kwamba pesa haitatosha kila unayopata unataka zaidi to infinity thus badala ya pesa hio kukufanyia kazi ni wewe ndio unaifanyia kazi

All in all ukishafikia level ya kuona material things ni vitu vya kufacilitate maisha na sio maisha yenyewe you will lead a very happy and satisfied life
Haya tunayaishi ila the world has full of troubles! Ukiona umefikia point ambayo unaona pesa sio kitu jua you are at the point in life ambapo umesha give in ama you are filthy rich!
 
Back
Top Bottom