Kwenye uonevu wa raia alimuonea nani? taja watatu tu
Kwenye umaskini fika pale butiama kwake ndo utaona uzalendo wake, na pia ukumbuke uhuru tuliwahi kuupata wakati nchi zingine zimepata uhuru huku mkoloni ameshafanya mambo mengi
Wizi wa kura mwalimu aliiba kura gani wakati ilikuwa ni ndio na hapana na kulikuwa hakuna vyama vingi
Mwalimu hakuwahi kung'ang'ania madaraka, tena anasifika kati ya watawala wa africa walioachia madaraka willingly bila shinikizo la mtu yeyote ingawa bado watu walitaka aendelee kutawala
Shida yako unachanganya madesa, unaleta siasa kwenye mambo ambayo hayana siasa, unataka kulazimisha link kati ya Mwalimu na chama tawala cha sasa huku mambo mengi yanayofanyika mwalimu aliyapiga vita sana, mfano Rushwa.