Kati ya Mama na Mke Nani anapaswa kukaa Siti ya mbele wakati unaendesha Gari?

Sasa magari yenyewe hatuna.
 

Nakukumbusha Tuu Kaka
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 
Mke anakaa mbele

Nakukumbusha Tuu Kaka
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 

Nakukumbusha Tuu Kaka
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 

Umenena Vema sana Kaka
“Kiti cha Mbele ni cha Heshima”
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
cc: Lusungo. Rober heriel
 

Nakukumbusha Tuu Kaka
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 

Nakukumbusha Tuu Dada
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 

Nakukumbusha Tuu Kaka
Waheshimu Baba na Mama Upate Miaka Mingi na Yenye Heri Duniani.Vitabu vya Dini pia vinasemw hili.
Kutomuweka Baba Siti ta Mbele wakati Yeye anahitaji,Wewe Kwa Mfano Ukakata asikae mbele tayari Hujamheshimu,Kwani Ungemkubalia Ungepungukiwa nini?
Ina Maana Akikulaani?
akifedheheka?
Hujamuheshimu na Hutaishi Miaka Mingi yenye Kheri!
Vijana wa Siku Hizi Mitandao aimewaharibu nyie[emoji30]
Zamani Watoto walikuwa wanawaheshimu sana Wazazi wao Bila Kuhojihoji kama wewe ulivyohoji!
Nakwambia Bila wazazi wako huyo Mke usingemjua[emoji12]
 
nje kidogo ya mada : Mimi hata niki request uber huwa nakaa siti ya nyuma.Sio kwasababu za usalama [emoji777] bali naona ndio siti sahihi ( sijui nna chembechembe za uboss)
ile siti ya mbele sijui naionagaje yani siipendi afu naonaga kama ya msela wa dereva..

nikipata nafasi ya kuwa mama mkwe, nakaa siti ya nyuma kiroho safi
 
Baba kukaa mbele ni sawa kiheshima na kimaadili kwa pamoja.hata kubadolishana mawazo ni rahisi na kutazama kujadili mbali mbali kipindi cha safari.Mtoa mada amelenga kuonesha hadhi na mpambano ambao inaweza, kujitokeza kulingana na tabia za mama na wanawake kiujumla.ila kihaki na kama kuna mpambano au ushinndani wa chini chini akae mke.kama vita ikiendelea basi na gari liuzwe.kwa hiyo kama mama ndo anaishi kabisa nyumbani hapo ndo kila siku atakaa yeye?
 
Siti ya mbele upande wa abiria siyo ya kugombaniwa ukiweza kuikwepa ikwepe itachukua muda sana kueleweka kwanini nashauri hivyo ndo maana hata viongozi wa kiserekali hawakaagi pale
 
Halafu hii tabia ya kupimisha status ya mama na mke huwa mnaitoaga wapi???
MAMA ni mama jamani!! hata amri kumi za Mungu unaambiwa - Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na heri duniani! yani mke hata awaje hawezi kuwa na nafasi kama mama kivyovyote vile yani...
Mke/Mume ni mchizi wako, mpenzi wako & mtu ambae mmeamua kupendana kimapenzi mkaanzisha familia yenu, hawa watu unaweza replace anytime!!!
unaachana na mke unaoa mwingine unazaa wengine maisha yanaendelea hii hata huko kwenye jamii zenu ipo! ila Mama anabaki kuwa Mama


filisika uwe fukara au umwa haswaa, miezi hata sita huna mia mkeo ataangalia ushawahi mfanyia nini maishani mwake kikubwa ndo kitakubeba miezi sita ijayo zaidi ya hapo hutoboi nae nakwambia!!
Mama ako yeye hana cha kuzingatia utakua kwenye mbawa zake maisha yake yote! uumwe usiumwe uwe na mbuni au huna hajali kwake yeye utabaki ni mwanae ambae atakupenda kwa moyo wake wote sikuzote!!!
Acheni huu ufananisho either wa kimajukumu au umuhimu!
 
Dear Mama - 2 Pack
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…