Kati ya Marekani na Israel nani bosi na nani anamtumia nani na kwanini?

Kati ya Marekani na Israel nani bosi na nani anamtumia nani na kwanini?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini?

Je hapa tatizo ni uzawa wa Israel uliotengenezwa kijambazi na wazungu kupitia Biblia au wese la waarabu? Ukiangalia misaada inayotolewa na marekani kwa Israel unachanganyikiwa.

Ni mingi na mikubwa kuliko Afrika. Je wananunua au kulipia nini? U.S. Aid to Israel in Four Charts linganisha na Bureau for Africa | Organization | U.S. Agency for International Development.
Fedha in exchange with brains.. mmarekani hatoagi fedha bure bure
 
Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini?

Je hapa tatizo ni uzawa wa Israel uliotengenezwa kijambazi na wazungu kupitia Biblia au wese la waarabu? Ukiangalia misaada inayotolewa na marekani kwa Israel unachanganyikiwa.

Ni mingi na mikubwa kuliko Afrika. Je wananunua au kulipia nini? U.S. Aid to Israel in Four Charts linganisha na Bureau for Africa | Organization | U.S. Agency for International Development.
hapo unauliza swali rahisi mno, ni sawa na mtu aje leo akuulize, kati ya baba na mana kwenye familia nani boss. Jibu ni baba ndio boss, lakini ukweli halisi ni kwamba, kuanzia watoto wote hadi baba mwenyewe wapo controlled na mama. mama kashika masikio ya baba kuanzia kitandani hadi jikoni hadi mtaani, ndio maana baba hata akitaka kuchepuka anamwogopa mama mno. the same applies to Israel.
 
Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini?

Je hapa tatizo ni uzawa wa Israel uliotengenezwa kijambazi na wazungu kupitia Biblia au wese la waarabu? Ukiangalia misaada inayotolewa na marekani kwa Israel unachanganyikiwa.

Ni mingi na mikubwa kuliko Afrika. Je wananunua au kulipia nini? U.S. Aid to Israel in Four Charts linganisha na Bureau for Africa | Organization | U.S. Agency for International Development.
Sasa wewe Afrika upewe msaada sawa na Marekani kama anavyopewa Israel, unawapa nini Wamarekani?

Wayahudi waliopo USA ni 7.4m, wakati population ya pale Israel ni 9.4m, na hao 9.4m wapo pia waarabu na makabila mengine madogo madogo. Lakini wayahudi hapo Israel ni 7.2m. Kwa hiyo kuna wayahudi wengi Marekani kuliko waliopo Israel.

Na ufahamu kuwa hao 7.4m jews huko USA siyo hohe hahe, wapo wawekezaji wakubwa, wapo wataalam wa viwango vya juu kwenye tekinolojia mbalimbali, wapo wanasayansi na wagunduzi.

Leo hii wayahudi waliopo USA wakiamua kuhamishia utajiri wao wote Taifa jingine, pengo la uchumi Marekani litaonekana, na huko watakakohamishia, nchi kama ilikuwa maskini itahama na kuwa miongoni mwa nchi tajiri.

Utajiri wa mabilionea 267 wayahudi unafikia kiasi cha dollar 1.7 trillion, yaani zaidi ya mara 4 ya GDP ya Iran, zaidi ya mara 4 ya GDP ya Israel, zaidi ya mara 4 ya GDP ya South Africa, zaidi ya mara 3 ya GDP ya UAE.

Kwa hiyo, msaada wa Marekani kwa Israel, kiuhalisia siyo msaada, bali Marekani huwa inalipa fadhila ya Wayahudi waliopo USA wanaotoa mchango muhimu kwa maendeleo ya Marekani na Dunia.
 
Kwann hao matajiri wameshindwa kuupata huo utajiri pale Israel wamekuja kuupata US? Je, wakihamisha mitaji yao na kulikosa soko la US utajiri wao utaongezeka ama kupungua?
Marekani ina control kwa kiasi kikubwa biashara ya silaha na teknolojia ya Israel ili Waisraeli wasiuze teknolojia kwa washindani na adui wa Marekani.
 
hapo unauliza swali rahisi mno, ni sawa na mtu aje leo akuulize, kati ya baba na mana kwenye familia nani boss. Jibu ni baba ndio boss, lakini ukweli halisi ni kwamba, kuanzia watoto wote hadi baba mwenyewe wapo controlled na mama. mama kashika masikio ya baba kuanzia kitandani hadi jikoni hadi mtaani, ndio maana baba hata akitaka kuchepuka anamwogopa mama mno. the same applies to Israel.
Umetisha Sana mkuu
 
Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini?

Je hapa tatizo ni uzawa wa Israel uliotengenezwa kijambazi na wazungu kupitia Biblia au wese la waarabu? Ukiangalia misaada inayotolewa na marekani kwa Israel unachanganyikiwa.

Ni mingi na mikubwa kuliko Afrika. Je wananunua au kulipia nini? U.S. Aid to Israel in Four Charts linganisha na Bureau for Africa | Organization | U.S. Agency for International Development.
Israel pekee bila msaada wa Marekani itafeli.
 
Back
Top Bottom