Kati ya Marekani na Israel nani bosi na nani anamtumia nani na kwanini?

Kati ya Marekani na Israel nani bosi na nani anamtumia nani na kwanini?

Kwahiyo kati ya Marekani na Israel Nani baba na Nani mama.
Sijakuelewa Mfano wako Mkuu
marekani na ujanja wake woote, atazunguruka wee lakini anaendeshwa na Israel.kile israel inataka ndicho marekani itafuata. sababu kuu ni kwamba, marekani peke yake kuna wayahudi zaidi ya 8m, hao ni wanadamu wengi sana, na kama ulikuwa haujui, hakuna myahudi maskini, huwa wanabebana na kuinuana, ukiona anajifanya maskini jua ni MOSAD huyo. wameshika nyadhifa za muhimu karibia zote marekani, sector za muhimu, hata senate ya marekani iangalie vizuri. secretary state wa marekani mwenyewe baba na mama ni wayahudi. yeyote anayemess up na myahudi kule marekani uwa anashughulikiwa hadi aombe poo. kwahiyo Israel kamweka marekani mfukoni, hata watu wakimlaumu marekani kumsaidia israel huwa nawaangalia na kuwaonea huruma tu kwa sababu marekani hajipendei, anapokea maelekezo na lazima ayafuate.
 
Nini maana ya "kibaraka"?

Nini kinacholifanya taifa fulani kuwa kibaraka wa taifa lingine?
Mataifa makubwa yana block mbili tu USA/UK na upande wa East ni Russia na sasa china. So hao ndio wanakimbizana kucontrol dunia na kila nchi tokea cold War inapiganiwa na hizo blocks mbili hivyo kila chaguzi kila mmoja anajaribu kupitisha mtu wake.

Kwa minajili hiyo kibaraka ni nchi ambayo inatumika na Superpower nilizotaja ili kuongeza ushawishi wake katika azima ya kucontrol dunia. Mfano hapo Middle east; Iran, Yemen, Syria ni vibaraka wa Russia/China (Eastern Bloc) ila Israel, Jordan, Egypt, Saudia n.k ni vibaraka wa USA.
 
Sasa wewe Afrika upewe msaada sawa na Marekani kama anavyopewa Israel, unawapa nini Wamarekani?

Wayahudi waliopo USA ni 7.4m, wakati population ya pale Israel ni 9.4m, na hao 9.4m wapo pia waarabu na makabila mengine madogo madogo. Lakini wayahudi hapo Israel ni 7.2m. Kwa hiyo kuna wayahudi wengi Marekani kuliko waliopo Israel.

Na ufahamu kuwa hao 7.4m jews huko USA siyo hohe hahe, wapo wawekezaji wakubwa, wapo wataalam wa viwango vya juu kwenye tekinolojia mbalimbali, wapo wanasayansi na wagunduzi.

Leo hii wayahudi waliopo USA wakiamua kuhamishia utajiri wao wote Taifa jingine, pengo la uchumi Marekani litaonekana, na huko watakakohamishia, nchi kama ilikuwa maskini itahama na kuwa miongoni mwa nchi tajiri.

Utajiri wa mabilionea 267 wayahudi unafikia kiasi cha dollar 1.7 trillion, yaani zaidi ya mara 4 ya GDP ya Iran, zaidi ya mara 4 ya GDP ya Israel, zaidi ya mara 4 ya GDP ya South Africa, zaidi ya mara 3 ya GDP ya UAE.

Kwa hiyo, msaada wa Marekani kwa Israel, kiuhalisia siyo msaada, bali Marekani huwa inalipa fadhila ya Wayahudi waliopo USA wanaotoa mchango muhimu kwa maendeleo ya Marekani na Dunia.
Hapo umegusia wayahudi waliopo US, bado wanaoishi Ujerumani, UK na nchi zingine za Ulaya, Canada.
 
Tusichojuq ili taifa liwe na nguvu lazima kuwe na kibali cha Miungu yenye nguvu.

Nguvu ya kiungu ndio inafanya Israeli na Marekani kuwa kitu kimoja
 
atazunguruka wee lakini anaendeshwa na Israel.kile israel inataka ndicho marekani itafuata.
Acha utoto, mbona USA ilimkata Israel kushambulia nuclear za Iran na Netanyahu akakubali? hao mabilionea wa kiyahudi walimpa mabilion Kamala Harris ila alianguka licha ya mmewe kuwa myahudi pia.

Israel si lolote kwa USA, California tu inaizidi GDP ya Israel mara 6. Hiyo Israel si ndio iliomba mfumo wa ulinzi wa anga kujilinda na vyuma vya Iran? Hahhahaha ila JF bwana.
marekani peke yake kuna wayahudi zaidi ya 8m,
Useless, hata kuna waarabu 4m, Indians 5m, Chinese 4m n.k so population sio issue. Nchi yenye watu million 300+ kila taifa lina watu wake pale in millions.
yeyote anayemess up na myahudi kule marekani uwa anashughulikiwa hadi aombe poo.
Acha utoto mbona Director mpya wa CIA ni Pro-Assad na aliwahi pinga matumizi ya nguvu dhidi ya Hamas.

View: https://x.com/TulsiGabbard/status/996154499898077185?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E996154499898077185%7Ctwgr%5E838afc70914d847aff29d778e074203ae8ecb6ad%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=https%3A%2F%2Fd-42433362331418309.ampproject.net%2F2410292120000%2Fframe.html
 
Mataifa makubwa yana block mbili tu USA/UK na upande wa East ni Russia na sasa china. So hao ndio wanakimbizana kucontrol dunia na kila nchi tokea cold War inapiganiwa na hizo blocks mbili hivyo kila chaguzi kila mmoja anajaribu kupitisha mtu wake.

Kwa minajili hiyo kibaraka ni nchi ambayo inatumika na Superpower nilizotaja ili kuongeza ushawishi wake katika azima ya kucontrol dunia. Mfano hapo Middle east; Iran, Yemen, Syria ni vibaraka wa Russia/China (Eastern Bloc) ila Israel, Jordan, Egypt, Saudia n.k ni vibaraka wa USA.
India, South Africa, Ethiopia na Brazil ziko blocks gani?

Tanzania iko block gani?
 
India, South Africa, Ethiopia na Brazil ziko blocks gani?

Tanzania iko block gani?
Tanzania si kibaraka wa US liko wazi maana baada ya cold war na ujamaa kufa tulihamia magharibi. Ingawa China anafanya inroads ila bado hajaichukua. Fuatilia vita zote duniani US akiingia upande mmoja basi Russia-China zinaingia upande mwingine. Angalia Venezuela, Yemen, Syria, Afghanistan, Iran n.k
 
Mataifa makubwa yana block mbili tu USA/UK na upande wa East ni Russia na sasa china. So hao ndio wanakimbizana kucontrol dunia na kila nchi tokea cold War inapiganiwa na hizo blocks mbili hivyo kila chaguzi kila mmoja anajaribu kupitisha mtu wake.

Kwa minajili hiyo kibaraka ni nchi ambayo inatumika na Superpower nilizotaja ili kuongeza ushawishi wake katika azima ya kucontrol dunia. Mfano hapo Middle east; Iran, Yemen, Syria ni vibaraka wa Russia/China (Eastern Bloc) ila Israel, Jordan, Egypt, Saudia n.k ni vibaraka wa USA.
Ni hivi, hamisha mawazo yako kutoka katika historia ya vita baridi. Eastern block ilianguka na kusambaratika 1990, hakuna kitu kama Block ya Mashariki tena, huisikii hata ikizungumziwa tena. Russia sio global power tena, ni regional power tu. China haina global imperial ambitions zozote au malengo yoyote ya kisiasa ya kidunia, haijali uwe na demokrasia au udikteta.

Iran, Syria au Yemen sio vibaraka wa Russia. Syria au Yemen zinamnufaisha vipi Urusi?? Iran na Urusi wameanza mapenzi yao baada ya uvamizi wa Russia huko Ukraine, Iran haijawahi kuwa hata mshirika wa Russia kabla ya hapo.
 
Tanzania si kibaraka wa US liko wazi maana baada ya cold war na ujamaa kufa tulihamia magharibi. Ingawa China anafanya inroads ila bado hajaichukua. Fuatilia vita zote duniani US akiingia upande mmoja basi Russia-China zinaingia upande mwingine. Angalia Venezuela, Yemen, Syria, Afghanistan, Iran n.k
Vita tu sio kigezo cha blocks mbili za Western na Eastern. Blocks mbili za Eastern na Western za vita baridi ilikuwa kuhusu Ideas, mifumo ya Uchumi na utamaduni, vita na mapinduzi ilikuwa matokeo ya hii misuguano. Ulimwengu wa sasa tuliopo kila taifa linakiri demokrasia ni nzuri kinacholeta ugomvi hapo ni demokrasia ya aina gani na kama kweli demokrasia inaachiwa kufanya kazi kati ya raia, kila taifa limehamia na kukumbatia sera za soko huria/ free market, kila taifa limekumbatia utamaduni wa magharibi labda kasoro dini tu. Makampuni ya Marekani yamejaa Urusi na China. Sasa hapo utasema bado kuna blocks mbili tena??
 
marekani na ujanja wake woote, atazunguruka wee lakini anaendeshwa na Israel.kile israel inataka ndicho marekani itafuata. sababu kuu ni kwamba, marekani peke yake kuna wayahudi zaidi ya 8m, hao ni wanadamu wengi sana, na kama ulikuwa haujui, hakuna myahudi maskini, huwa wanabebana na kuinuana, ukiona anajifanya maskini jua ni MOSAD huyo. wameshika nyadhifa za muhimu karibia zote marekani, sector za muhimu, hata senate ya marekani iangalie vizuri. secretary state wa marekani mwenyewe baba na mama ni wayahudi. yeyote anayemess up na myahudi kule marekani uwa anashughulikiwa hadi aombe poo. kwahiyo Israel kamweka marekani mfukoni, hata watu wakimlaumu marekani kumsaidia israel huwa nawaangalia na kuwaonea huruma tu kwa sababu marekani hajipendei, anapokea maelekezo na lazima ayafuate.
Duuuh wewe ni asset kubwa sana unajua mpaka siri za ndani za mossad
 
Ni hivi, hamisha mawazo yako kutoka katika historia ya vita baridi. Eastern block ilianguka na kusambaratika 1990, hakuna kitu kama Block ya Mashariki tena, huisikii hata ikizungumziwa tena. Russia sio global power tena, ni regional power tu. China haina global imperial ambitions zozote au malengo yoyote ya kisiasa ya kidunia, haijali uwe na demokrasia au udikteta.

Iran, Syria au Yemen sio vibaraka wa Russia. Syria au Yemen zinamnufaisha vipi Urusi?? Iran na Urusi wameanza mapenzi yao baada ya uvamizi wa Russia huko Ukraine, Iran haijawahi kuwa hata mshirika wa Russia kabla ya hapo.
Iran ipi unayo iongelea kua haikuwahi kua na uswahiba na Russia nyie watu muna shida sana
 
Haya Kakojoe ukalale
wewe farasi kweli kwahiyo israel na marekani mbali na sababu za kidini unafikiri kuna kingine kinachowafanya wasaidiane tofauti na hicho ???

Ndio maana mleta uzi mwenyewe hajui wala haelewi inawezekana vip Mmarekani anamjari hivo Muisrael
 
Tusichojuq ili taifa liwe na nguvu lazima kuwe na kibali cha Miungu yenye nguvu.

Nguvu ya kiungu ndio inafanya Israeli na Marekani kuwa kitu kimoja
Kwahiyo Marekani na Israel wanamfanyia Mungu kitu gani cha tofauti ambacho mataifa mengine hayafanyi hadi Mungu awape wao kibali cha kuwa taifa lenye Nguvu?
 
Hopefully this explain better
IMG_20240731_120614.jpg
 
wewe farasi kweli kwahiyo israel na marekani mbali na sababu za kidini unafikiri kuna kingine kinachowafanya wasaidiane tofauti na hicho ???

Ndio maana mleta uzi mwenyewe hajui wala haelewi inawezekana vip Mmarekani anamjari hivo Muisrael
Kuna sababu zipi za kidini zinazo wafanya wawe pamoja tuanzie hapa kwanza na kabla sijasahau farasi mwenyewe
 
Back
Top Bottom