Israel inategemea mno teknolojia, msaada wa kifedha, kiulinzi kidiplomasia na silaha kutoka Marekani Ili iendelee kuwepoMarekani ina control kwa kiasi kikubwa biashara ya silaha na teknolojia ya Israel ili Waisraeli wasiuze teknolojia kwa washindani na adui wa Marekani.
Katika ethnic group zote zilizopo US Wahindi ndio ethnic group tajiri zaidi ikiwa na watu takribani 5.4mil wakiwa wamehodhi biashara mbalimbali ikiwemo hotels na nyadhifa mbalimbali kubwa ndani ya serikali ya US. Kama mchango wa wayahudi kwenye uchumi wa US ndio unasababisha Israel ikumbatiwe na US, mbona hatuoni india ikikumbatiwa na US?Sasa wewe Afrika upewe msaada sawa na Marekani kama anavyopewa Israel, unawapa nini Wamarekani?
Wayahudi waliopo USA ni 7.4m, wakati population ya pale Israel ni 9.4m, na hao 9.4m wapo pia waarabu na makabila mengine madogo madogo. Lakini wayahudi hapo Israel ni 7.2m. Kwa hiyo kuna wayahudi wengi Marekani kuliko waliopo Israel.
Na ufahamu kuwa hao 7.4m jews huko USA siyo hohe hahe, wapo wawekezaji wakubwa, wapo wataalam wa viwango vya juu kwenye tekinolojia mbalimbali, wapo wanasayansi na wagunduzi.
Leo hii wayahudi waliopo USA wakiamua kuhamishia utajiri wao wote Taifa jingine, pengo la uchumi Marekani litaonekana, na huko watakakohamishia, nchi kama ilikuwa maskini itahama na kuwa miongoni mwa nchi tajiri.
Utajiri wa mabilionea 267 wayahudi unafikia kiasi cha dollar 1.7 trillion, yaani zaidi ya mara 4 ya GDP ya Iran, zaidi ya mara 4 ya GDP ya Israel, zaidi ya mara 4 ya GDP ya South Africa, zaidi ya mara 3 ya GDP ya UAE.
Kwa hiyo, msaada wa Marekani kwa Israel, kiuhalisia siyo msaada, bali Marekani huwa inalipa fadhila ya Wayahudi waliopo USA wanaotoa mchango muhimu kwa maendeleo ya Marekani na Dunia.
100% Cha kushangaza watu huwa wanadhani US ndiye anayesaidiwaIsrael inategemea mno teknolojia, msaada wa kifedha, kiulinzi kidiplomasia na silaha kutoka Marekani Ili iendelee kuwepo
Watu huwa wanatumia imani kujiaminisha badala ya kutumia factsNa wewe ukaamini?
Jamii ya watu wa Waisrael pia wana mchango mkubwa sana katika maendeleo ya teknolojia kuanzia silaha, teknolojia hadi entertainment industry huko Marekani. Mchango wao unaweza kuwa mkubwa kuliko races nyingine nyingi. Jewish lobby kama AIPAC haijawa maarufu kwa porojo tu za kidini.Israel inategemea mno teknolojia, msaada wa kifedha, kiulinzi kidiplomasia na silaha kutoka Marekani Ili iendelee kuwepo
Kwann Wayahudi waliozaliwa na kukulia israel siyo wa wavumbuzi kama wale waliozaliwa na kukulia US?Waarabu kichwani wamejaza mawazo ya mabikra 72, Waisrael kichwani wamejaza uvumvuzi na sayansi za kutisha sasa hata wewe ungekua Mmarekani ungejiunganisha wapi ??
Kwani waarabu waliozaliwa Iraq na nyie waarabu daraja la mwisho wa Yombo vituka wote hamuwazi mabikra 72 ?!Kwann Wayahudi waliozaliwa na kukulia israel siyo wa wavumbuzi kama wale waliozaliwa na kukulia US?
Kama bila Wayahudi US hajiwezi kwanini US iwe na nguvu ya kuicontrol Israel badala ya Israel iwe na nguvu ya kuicontrol US? Pia nimeuliza leo Wayahudi wakisema wahamishe mitaji yao waipeleke Israel je israel itakuwa tajiri kama marekani na je hao matajiri wa kiyahudi wataendelea kuwa matajiri kama walivyo hv sasa?Marekani ina control kwa kiasi kikubwa biashara ya silaha na teknolojia ya Israel ili Waisraeli wasiuze teknolojia kwa washindani na adui wa Marekani.
Unachanganya vitu kati ya ethnicity and religion. Wanaoamini hekaya za mabikira ni waislam siyo waarabu. Ila mwarabu akiwa muislamu naye anaamini hekaya za mabikira. Hivyo usichanganye kati ya Uarabu na UislamKwani waarabu waliozaliwa Iraq na nyie waarabu daraja la mwisho wa Yombo vituka wote hamuwazi mabikra 72 ?!
Kwahiyo kati ya Marekani na Israel Nani baba na Nani mama.hapo unauliza swali rahisi mno, ni sawa na mtu aje leo akuulize, kati ya baba na mana kwenye familia nani boss. Jibu ni baba ndio boss, lakini ukweli halisi ni kwamba, kuanzia watoto wote hadi baba mwenyewe wapo controlled na mama. mama kashika masikio ya baba kuanzia kitandani hadi jikoni hadi mtaani, ndio maana baba hata akitaka kuchepuka anamwogopa mama mno. the same applies to Israel.
Wapi nimesema bila Wayahudi US haijiwezi??Kama bila Wayahudi US hajiwezi kwanini US iwe na nguvu ya kuicontrol Israel badala ya Israel iwe na nguvu ya kuicontrol US?
Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini?
Umefanya nipate swali lingine, kwann wayahudi wanaozaliwa Israel ni mashoga kuliko wanaozaliwa US?Kwani waarabu waliozaliwa Iraq na nyie waarabu daraja la mwisho wa Yombo vituka wote hamuwazi mabikra 72 ?!
Unapozungumza haya mambo achana na ndoto au utopia, ongelea realities.Pia nimeuliza leo Wayahudi wakisema wahamishe mitaji yao waipeleke Israel je israel itakuwa tajiri kama marekani na je hao matajiri wa kiyahudi wataendelea kuwa matajiri kama walivyo hv sasa?
Iran ambae hata hao mabwana zako wanamuhofia ni mgogo au mwarabu? Kama teknolojia aliyokua nayo hata hao mashoga zako wanampitia pembeni.Waarabu kichwani wamejaza mawazo ya mabikra 72, Waisrael kichwani wamejaza uvumvuzi na sayansi za kutisha sasa hata wewe ungekua Mmarekani ungejiunganisha wapi ??
ThibitishaUmefanya nipate swali lingine, kwann wayahudi wanaozaliwa Israel ni mashoga kuliko wanaozaliwa US?
Wala sina utopia bali kuna jambo nilikuwa nalitafuta na Umefika nilipopataka kwa wewe kukiri kwamba hao wayahudi siyo waisrael bali ni raia wa marekani (wamarekani). Sasa ni kwann mnanasibisha msaada wa marekani kwa Israel na wayahudi waliopo marekani?Unapozungumza haya mambo achana na ndoto au utopia, ongelea realities.
Wayahudi ambao ni raia wa Marekani kwa nini wahamishe mitaji yao waipeleke Israel?? Wafanyabiashara huwa wanafanya biashara zao kwa maslahi ya nchi zao, asili zao au kwa masilahi yao binafsi?? Wahindi Wafanyabiashara hapa bongo wanawazia siku moja kuhamishia mitaji na biashara zao huko India?? Wasomali Wafanyabiashara na matajiri hapa Tanzania wanafanya mambo ya wakiifikiria Somalia? Kuna siku wanaweza kurudi na kurudisha mitaji yao Somalia ??
Kweli kabisaAkili ni resource kubwa sana kuliko hizo Silaha na Pesa wanazozitoa
Kwani waarabu wa Saudia na Iraq nao wanatifuana mitaro kama hawa wa hapo ZanzibarUmefanya nipate swali lingine, kwann wayahudi wanaozaliwa Israel ni mashoga kuliko wanaozaliwa US?
Umejibu upumbavuKwani waarabu waliozaliwa Iraq na nyie waarabu daraja la mwisho wa Yombo vituka wote hamuwazi mabikra 72 ?!