Kati ya Polisi na Lissu ni nani wa kuwasaka waliotaka kumuua Lissu??

Pole ndugu...Kwa kauli hii Utakua unamapepo mazito... tafuta kanisa karibu ukatolewe ni hatari kukaa namapepo mengi hivyo.
Sawa ntaombea ila nimeomba picha nyingine kama hipo,kila siku mapaja mapaja dah!.
 
Kwa hiyo hao Cdm ndio waliowaondoa walinzi hilo eneo linalolindwa 24 hrs ili hao wahalifu watekeleze ushetani wao bila interfearance?Nyie watu mtaanza lini kumuogopa Mungu?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Polisi watanzania wapumbavu ndio maana watu wanaosema magufuli alihusika wanaeleweka zaidi kwasababu polisi wangekuwa Wana nia wangeanza na nani alipangua zamu za walinzi? Nani aliiondoa CCTV camera na kwanini? Mchezo ungeishia hapo! Kwasasa mama anachofanya ni kumlindia marehemu heshima na kumfichia aibu ila Kwa 99% magufuli alihusika na alivyomjinga alitoa clue ya mission kwenye kile kikao Cha makinikia!
 
Aliyetoa Maagizo Lissu auawe anajulikana , Kwanza yeye Kishakufa, waliompiga Risasi / Waliotekeleza Amri wanajulikana, Wala hakuna Sababu ya Upelelezi, sema tu hawawezi kuwakamata Kwa Sababu hawataki
 
Mjinga tu kwa sababu kama mtaji wakisiasa anavyofikiri yeye wala haijawa mali. Siku za za mwanzo baada ya kupata fahamu kutoka kupigwa risasi alionekana kama kufurahia na akasema itamuingiza ikulu. ila hadi leo kaishia ukimbizi wa kujitakia huku akiwa kiitikadi ni kibaraka wa magharibi hadi kuunga mkono ushoga
 
Labda kuna siku mmojawapo walihousika atajitokeza kutubu.
 
Hoja zinautata wanasema kesi ya jinai ni lazima victim afike kuanzisha kesi lakini upande wa pili unahoji je,angefariki ingekuwaje? Mimi najiuliza ingekuwa kosa ni kubakwa na aliyebakwa hataki kutoa ushirikiano je,hiyo kesi inaweza Kuwa na mafanikio?
Hata ningekuwa Mimi ndiyo Polisi ningeacha maana victim ni mtata mno.
 
Miaka 6 toka ashambuliwe ni muda mrefu sana Nina shaka hata wahusika tukio hili siyo wengine wamekufa na wengine wamefukuzwa kazi, usihofu iko siku tena nihivi karibuni tamati ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…