Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Its God given,kitu natural mpaka kwa Bibilia iko ukabila pia,huwezi kaimaliza ingawa unaweza kufanya kazi nayo kiubusara!Kwahiyo unaona ufahari Kenya kuendekeza ukabila kwasababu ukabila upo sehemu nyingi Africa?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
wwe unathani Mudavadi(Pure Luhya)akipewa kiti ya DP Kenya Kwanza kuna waluhya wangapi watampigia Raila wa Azimio????we ebu nenda ufwatilie campaign za Western na wanavosema!!!!Raila wheelbarrow straight Bondo Forever💩Western ni ya Raila,Ruto hapewi western n'go. Na usichokijua Ida Odinga ni mluhya western moja,so wajaka na waluhya huitana mashemeji.
Ndio Mimi nawashangaa,Afrika aliyeshika kijiti ndio anayependekeza.Rails Odinga ana jina kuzidi hata Uhuru Kenyatta-kabla hajawa maarufu.Kenya rais hachaguliwi bali mtu hupewa urais.
Ingekua sanduku la kura linaamua urais Raila angekuwa rais kipindi cha Kibaki.
RUTO
Huyu hapendwi na matajiri wa Kenya na sababu kuu ni hii;
a) Wanasema ni Dikteta
b) Mtu wa visasi
c) Matajiri wanahofu kuwa uwekezaji wao hauko salama hadi Uhuru anahofu Ruto akichukua anaweza kumtia kashikashi kuhusu itajiri na uwekezaji wa familia yake.
RAILA
1. Wanasema ni mvumilivu na hana tamaa
2. Wanasema ni mzalendo kwani mara kadhaa amekubali maridhiano
3. Wanasema mpeni mzee hata muhula mmoja.
Huu ni utafiti wangu mdogo nilipokuwa Nairobi
MK254
Hamna mpiga kura anayechagua MTU brother,labda Afrika iliyopo Mbinguni.wwe unathani Mudavadi(Pure Luhya)akipewa kiti ya DP Kenya Kwanza kuna waluhya wangapi watampigia Raila wa Azimio????we ebu nenda ufwatilie campaign za Western na wanavosema!!!!Raila wheelbarrow straight Bondo Forever💩
Western ni ya Raila,Ruto hapewi western n'go. Na usichokijua Ida Odinga ni mluhya western moja,so wajaka na waluhya huitana mashemeji.Kitu hamjui Western Kenya ndio ilikuwa biggest voters wa Raila sasa naona Raila akipata 20%Western Ruto-80%,pia Ukambani ilimpigi last time kura 80%this time Raila-50%Ruto50%!
Riftvalley-90%⚡👌
Sababu Kenya Kwanza Coalition ya Ruto inaonekana watachukua
DP wao akuwe Mudavadi-wa western,
Partychairman wa UDA-Muthama-wa Ukambani,
Interiour Security-anaweza kutoka Mount Kenya💡My thought labda watachukua Jimmy Kibaki\Mtoto wa Kibaki-Mount Kenya⚡ili wampokonye kutoka azimio,remember even Kibakis family hawampendi Raila even his own grandson alikataa kumsalimia Raila alipomnyooshea mkono wake,ata Jimmy Kibaki alipotoa speech yake alimsalimia na kumpokea DP Ruto vizuri sana💡
Nairobi Gorvernor-Sakaja-kutoka Western
Nairobi Senator-Bishop Wanjiru-Kutoka Mount Kenya
Nairobi Women Rep-Millicent Omanga-Kutoka Nyanza
Cabinet,Gorvenment ministries and other Sits zitagawanywa kwa all the other tribes✅
Baaaaaas😎Ruto ashachukua kituuuuuuh!!!!
Nayo Coast imemkataa Raila*Chama cha PAA kinachoongozwa na Kingi kinataka kujitoa Azimio coalition kiingie UDA,Aisha Jumwa\Mama simba wa Coast mkono wake umehusikana apo💡
Nayo uko turkana,Kwa waislamu uko juu,Na kwa Maasai uko chini,mambo ni 🔥🔥🔥🔥Ruto Toshaaaaaah!!!!
Acheni ukabila,peeni tribe nyingine pia uongozi,igeni kwetu,wewe Mkale umezamia huku hujifunzi kwetu?wwe unathani Mudavadi(Pure Luhya)akipewa kiti ya DP Kenya Kwanza kuna waluhya wangapi watampigia Raila wa Azimio????we ebu nenda ufwatilie campaign za Western na wanavosema!!!!Raila wheelbarrow straight Bondo Forever💩
Bro these are your thoughts and it's acceptable [emoji846]. But from what I think you are tribalistic through what you wrote... Kiongozi hutoka kwa Mungu na kufikia saa hii the only person who knows the next President is God. Kwa hivo tuliza mshono tungoje 9th of August [emoji848][emoji12]Kitu hamjui Western Kenya ndio ilikuwa biggest voters wa Raila sasa naona Raila akipata 20%Western Ruto-80%,pia Ukambani ilimpigi last time kura 80%this time Raila-50%Ruto50%!
Riftvalley-90%[emoji298][emoji108]
Sababu Kenya Kwanza Coalition ya Ruto inaonekana watachukua
DP wao akuwe Mudavadi-wa western,
Partychairman wa UDA-Muthama-wa Ukambani,
Interiour Security-anaweza kutoka Mount Kenya[emoji362]My thought labda watachukua Jimmy Kibaki\Mtoto wa Kibaki-Mount Kenya[emoji298]ili wampokonye kutoka azimio,remember even Kibakis family hawampendi Raila even his own grandson alikataa kumsalimia Raila alipomnyooshea mkono wake,ata Jimmy Kibaki alipotoa speech yake alimsalimia na kumpokea DP Ruto vizuri sana[emoji362]
Nairobi Gorvernor-Sakaja-kutoka Western
Nairobi Senator-Bishop Wanjiru-Kutoka Mount Kenya
Nairobi Women Rep-Millicent Omanga-Kutoka Nyanza
Cabinet,Gorvenment ministries and other Sits zitagawanywa kwa all the other tribes[emoji736]
Baaaaaas[emoji41]Ruto ashachukua kituuuuuuh!!!!
Nayo Coast imemkataa Raila*Chama cha PAA kinachoongozwa na Kingi kinataka kujitoa Azimio coalition kiingie UDA,Aisha Jumwa\Mama simba wa Coast mkono wake umehusikana apo[emoji362]
Nayo uko turkana,Kwa waislamu uko juu,Na kwa Maasai uko chini,mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ruto Toshaaaaaah!!!!
Bro these are your thoughts and it's acceptable [emoji846]. But from what I think you are tribalistic through what you wrote... Kiongozi hutoka kwa Mungu na kufikia saa hii the only person who knows the next President is God. Kwa hivo tuliza mshono tungoje 9th of August [emoji848][emoji12]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app[ lini kiongozi Africa akatoka kws Mungu?
Mungu yupi anasaidiwa kuiba kura?
Unatania wewe
By the way Waluhya ni wengi lakini kumbuka Kenya Kuna kabila zengine Bro...wwe unathani Mudavadi(Pure Luhya)akipewa kiti ya DP Kenya Kwanza kuna waluhya wangapi watampigia Raila wa Azimio????we ebu nenda ufwatilie campaign za Western na wanavosema!!!!Raila wheelbarrow straight Bondo Forever[emoji90]
Moi akiwa kwenye kiti alimtaka Uhuru aingie baada yake,Uhuru ndiye mwanzilishi wa Chama cha ODM pamoja na Raila,Lakini Hustlers walimkataa wakamkubali Kibaki wa PNU! Tulimwingiza kwenye kiti na tukamwapisha live akiwa kwenye clutches akiwametoka accident!!Hamna mpiga kura anayechagua MTU brother,labda Afrika iliyopo Mbinguni.
Mimi sio Mkale but Nasuport Hustler😜Mtake msitake,Mzee Kitendawili wheelbarrow Bondo Express forever!!!!!Kwani Uko Nyanza hawawezi kutupea Candidate mwingine isipokuwa Raila nkt💩Western ni ya Raila,Ruto hapewi western n'go. Na usichokijua Ida Odinga ni mluhya western moja,so wajaka na waluhya huitana mashemeji.
Acheni ukabila,peeni tribe nyingine pia uongozi,igeni kwetu,wewe Mkale umezamia huku hujifunzi kwetu?
Wacha kuwa mjingaKitu hamjui Western Kenya ndio ilikuwa biggest voters wa Raila sasa naona Raila akipata 20%Western Ruto-80%,pia Ukambani ilimpigi last time kura 80%this time Raila-50%Ruto50%!
Riftvalley-90%⚡👌
Sababu Kenya Kwanza Coalition ya Ruto inaonekana watachukua
DP wao akuwe Mudavadi-wa western,
Partychairman wa UDA-Muthama-wa Ukambani,
Interiour Security-anaweza kutoka Mount Kenya💡My thought labda watachukua Jimmy Kibaki\Mtoto wa Kibaki-Mount Kenya⚡ili wampokonye kutoka azimio,remember even Kibakis family hawampendi Raila even his own grandson alikataa kumsalimia Raila alipomnyooshea mkono wake,ata Jimmy Kibaki alipotoa speech yake alimsalimia na kumpokea DP Ruto vizuri sana💡
Nairobi Gorvernor-Sakaja-kutoka Western
Nairobi Senator-Bishop Wanjiru-Kutoka Mount Kenya
Nairobi Women Rep-Millicent Omanga-Kutoka Nyanza
Cabinet,Gorvenment ministries and other Sits zitagawanywa kwa all the other tribes✅
Baaaaaas😎Ruto ashachukua kituuuuuuh!!!!
Nayo Coast imemkataa Raila*Chama cha PAA kinachoongozwa na Kingi kinataka kujitoa Azimio coalition kiingie UDA,Aisha Jumwa\Mama simba wa Coast mkono wake umehusikana apo💡
Nayo uko turkana,Kwa waislamu uko juu,Na kwa Maasai uko chini,mambo ni 🔥🔥🔥🔥Ruto Toshaaaaaah!!!!
Tuseme hio ya salamu tulidanganywa🙈Jee ile ya hio crowd yote mpaka kibaki relatives kumshangilia Ruto kabisa mpaka wanaruka juu alipokaribishwa atowe pole zake,Jee pia hio tulidanganywa????😂😂😂mpaka uhuru akaskia vibaya hakutoa speech yake😢Wacha kuwa mjinga
Huyo kijana alisalimia Raila
Ni lini mtawacha kubebewa akili hivi!
Videos ziko with facys
yes only God knows,but my wish is Ruto mpaka Ikulu😂but wacha Tungoje tuuh!Bro these are your thoughts and it's acceptable [emoji846]. But from what I think you are tribalistic through what you wrote... Kiongozi hutoka kwa Mungu na kufikia saa hii the only person who knows the next President is God. Kwa hivo tuliza mshono tungoje 9th of August [emoji848][emoji12]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Your name betrays you🙄Mimi sio Mkale but Nasuport Hustler😜Mtake msitake,Mzee Kitendawili wheelbarrow Bondo Express forever!!!!!Kwani Uko Nyanza hawawezi kutupea Candidate mwingine isipokuwa Raila nkt💩
Duh.Your name betrays you🙄
Betrays me how?😂Your name betrays you🙄