Kenya 2022 Kati ya Raila Odinga na William Ruto - nani yuko juu hadi sasa?

Kenya 2022 Kati ya Raila Odinga na William Ruto - nani yuko juu hadi sasa?

Kenya 2022 General Election
Mimi namtaka Ruto madarakani, Raila ni uroho wa madaraka tu unaomsumbua
 
Kwenye tume ya uchaguzi wameanza kuteuliwa pro Ruto sasa na chebukati ndio mfuasi wa UDA kabisa naona uhuru na Ruto waliamua kumchezea mzee wa kitendawili
Ahahaha kaz ipo bas lkn wakenya nawaamin suala tu haki utendeke na si vinginevyo
 
Mimi huwa sipo kwenye ushabiki wa Wanasiasa. Ubongo wangu upo sober kupokea na kuchuja.
Kwenye siasa hata saa moja inaweza kuleta tofauti kubwa.

Nani alijua hata baada ya mateso na kuwekwa kizuizini na Moi, Raila angeungana naye
Nani alijua hata baada ya mauaji ya 2007 baada ya uchaguzi Uhuru na Ruto wangeungana kumkabili Raila wakati Ruto alikuwa sehemu ya tuhuma za kuchochea mauaji aki-instigate Wakalenjin dhidi ya Kikuyu
Nani alijua Uhuru na Raila wangeungana baada ya Raila kushindwa uchaguzi na Uhuru na yeye kujitangaza Rais

Haya mambo ukiwa makini utajua ni class flani zinapigania maslahi yao na familia zao. Hakuna cha hustler wala Baba tosha. So better relax, watch and analyse
Mzee Baba umemaliza Kila kitu
 
Ruto atakuwa kama EL 2015 TZ. Naona Ruto anatumia mbinu ya kuchelewesha kumtangaza mgombea mwenza ili kuteka vyombo vya habari na kuvutia masikio ya Wakenya wengi zaidi.
 
Kitu hamjui Western Kenya ndio ilikuwa biggest voters wa Raila sasa naona Raila akipata 20%Western Ruto-80%,pia Ukambani ilimpigi last time kura 80%this time Raila-50%Ruto50%!
Riftvalley-90%[emoji298][emoji108]
Sababu Kenya Kwanza Coalition ya Ruto inaonekana watachukua
DP wao akuwe Mudavadi-wa western,
Partychairman wa UDA-Muthama-wa Ukambani,
Interiour Security-anaweza kutoka Mount Kenya[emoji362]My thought labda watachukua Jimmy Kibaki\Mtoto wa Kibaki-Mount Kenya[emoji298]ili wampokonye kutoka azimio,remember even Kibakis family hawampendi Raila even his own grandson alikataa kumsalimia Raila alipomnyooshea mkono wake,ata Jimmy Kibaki alipotoa speech yake alimsalimia na kumpokea DP Ruto vizuri sana[emoji362]
Nairobi Gorvernor-Sakaja-kutoka Western
Nairobi Senator-Bishop Wanjiru-Kutoka Mount Kenya
Nairobi Women Rep-Millicent Omanga-Kutoka Nyanza

Cabinet,Gorvenment ministries and other Sits zitagawanywa kwa all the other tribes[emoji736]
Baaaaaas[emoji41]Ruto ashachukua kituuuuuuh!!!!

Nayo Coast imemkataa Raila*Chama cha PAA kinachoongozwa na Kingi kinataka kujitoa Azimio coalition kiingie UDA,Aisha Jumwa\Mama simba wa Coast mkono wake umehusikana apo[emoji362]
Nayo uko turkana,Kwa waislamu uko juu,Na kwa Maasai uko chini,mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ruto Toshaaaaaah!!!!
Rutto rais ajae nisuala la muda tuu.
 
Mimi huwa sipo kwenye ushabiki wa Wanasiasa. Ubongo wangu upo sober kupokea na kuchuja.
Kwenye siasa hata saa moja inaweza kuleta tofauti kubwa.

Nani alijua hata baada ya mateso na kuwekwa kizuizini na Moi, Raila angeungana naye
Nani alijua hata baada ya mauaji ya 2007 baada ya uchaguzi Uhuru na Ruto wangeungana kumkabili Raila wakati Ruto alikuwa sehemu ya tuhuma za kuchochea mauaji aki-instigate Wakalenjin dhidi ya Kikuyu
Nani alijua Uhuru na Raila wangeungana baada ya Raila kushindwa uchaguzi na Uhuru na yeye kujitangaza Rais

Haya mambo ukiwa makini utajua ni class flani zinapigania maslahi yao na familia zao. Hakuna cha hustler wala Baba tosha. So better relax, watch and analyse
Mkuu, upo sawa by 100%, siasa za Afrika ni siasa za kujitafutia maslahi binafsi hasa Kenya. Ukimsikiliza PLO huwa anasema mara nyingi tu kwamba Kenya hakuna vyama vya siasa vye "ideology" Kama ilivyo CCM Tanzania, na ANC huko South Africa, Kenya ni mkusanyiko wa watu wenye maslahi Yao maalum, hayo maslahi yakimalizika na chama nacho kinakufa.

Raila Odinga na Rutto hali ni hiyo hiyo, hawana lolote zaidi ya kutafuta maslahi Yao, wapo tayari kuungana na yeyote hata kama moyoni anajua kabisa kwamba huyo mtu hafai kuwa kiongozi, kigezo ni ushawishi wa huyo mtu kuleta idadi kubwa ya watu wa kabila lake.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nisichokipenda ni mambo ya rais na naibu wake kupakana matope hadharani ktk utumishi.
Ruto amefanya dirty games nyingi sana kumfanya Uhuru awe rais naona hapati malipo. Na siku akiwa rais Uhuru ajiandae for pay back. Uhuru anajua hilo so hawezi kukubali Ruto awe rais.

Yeye Uhuru anajisafisha na kujifanya mwema kama vile siyo mkabila ili kulinda maslahi yake na kuwaonyesha wazungu kuwa hata post 2007 hakuchochea ukabila kwa kuwa hana ukabila.

Wazee wa mount Kenya sijui watakuwa wapi wakati huu?
Give it take, August kuna tribal violence. Yetu macho.
 
It's hard to pretend not seeing that there exists huge ethnic differences in Kenya.

Whoever get's control of Mount Kenya will win the election.

There's trouble boiling in Kenya Kwanza with DP Ruto's choice of a running mate.

There's trouble too in Azimio, some allies want Kalonzo to be running for presidency and not Raila.

We can only wait and see.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's hard to pretend not seeing that there exists huge ethnic differences in Kenya.

Whoever get's control of Mount Kenya will win the election.

There's trouble boiling in Kenya Kwanza with DP Ruto's choice of a running mate.

There's trouble too in Azimio, some allies want Kalonzo to be running for presidency and not Raila.

We can only wait and see.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ruto needs the mountain than Raila!!

Miaka yote Raila anapata 45% bila kura za central!! So hata akipata kura 10% za Wakikuyu or wameru basi kazi imeisha!!

Kwenye primaries tuliona turn out ya Wakikuyu ikiwa chini sana, huwezi ona mkikuyu apige kura wakati hawana mgombea so turn out ikiwa less than 70% basi Raila presidency is unstoppable.

Otherwise hata Ruto akishinda deep state itaiba tu kwa favor ya Raila, kweli Matiangi na Kenyatta wampishe Rutto ikulu?? Not the Africa I know
 
Ruto needs the mountain than Raila!!

Miaka yote Raila anapata 45% bila kura za central!! So hata akipata kura 10% za Wakikuyu or wameru basi kazi imeisha!!

Kwenye primaries tuliona turn out ya Wakikuyu ikiwa chini sana, huwezi ona mkikuyu apige kura wakati hawana mgombea so turn out ikiwa less than 70% basi Raila presidency is unstoppable.

Otherwise hata Ruto akishinda deep state itaiba tu kwa favor ya Raila, kweli Matiangi na Kenyatta wampishe Rutto ikulu?? Not the Africa I know
Hahah, nice conclusion

I wonder who will be Raila's choice of a running mate, Je ni Kalonzo Musyoka? Jamaa naye anautaka urais, naona asipochaguliwa kama running mate ataleta shida.

Or will it be Martha Karua? Kenya nayo itarukia bandwagon ya Gender equality? [emoji23] Ipate vice president mwanamke


We can only wait and see

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom