Kenya 2022 Kati ya Raila Odinga na William Ruto - nani yuko juu hadi sasa?

Kenya 2022 Kati ya Raila Odinga na William Ruto - nani yuko juu hadi sasa?

Kenya 2022 General Election
Siasa ya Kenya ya ajabu sana, ukabila ndio unaamua nani awe rais wa Kenya, japokuwa kidemokrasia wakenya wametuacha mbali sana sisi watanzania lakini misingi ya demokrasia yao imepakwa Ukabila mtupu.

Kama kuna mahali watanzania tuliwahi kukosea pakubwa katika siasa zetu, basi ni 2015 tulipolazimishiwa Magufuli awe rais wetu. Magufuli sio tu aliiua kabisa Demokrasia ya Tanzania, bali iliizika kabisa Demokrasia yetu na hapo akapandikiza siasa za kikabila za kule Kenya.
Unapozungumza au kuandika kitu kumbuka kwamba watu wengi wanasoma, Kuna watu wenye akili zaidi yako, weka ushahidi kwamba Kenya imeizidi Tanzania katika Demokrasia, katika ukanda huu Tanzania inaongoza kwa Demokrasia, ushahidi huu hapa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tuna
Kitu hamjui Western Kenya ndio ilikuwa biggest voters wa Raila sasa naona Raila akipata 20%Western Ruto-80%,pia Ukambani ilimpigi last time kura 80%this time Raila-50%Ruto50%!
Riftvalley-90%⚡👌
Sababu Kenya Kwanza Coalition ya Ruto inaonekana watachukua
DP wao akuwe Mudavadi-wa western,
Partychairman wa UDA-Muthama-wa Ukambani,
Interiour Security-anaweza kutoka Mount Kenya💡My thought labda watachukua Jimmy Kibaki\Mtoto wa Kibaki-Mount Kenya⚡ili wampokonye kutoka azimio,remember even Kibakis family hawampendi Raila even his own grandson alikataa kumsalimia Raila alipomnyooshea mkono wake,ata Jimmy Kibaki alipotoa speech yake alimsalimia na kumpokea DP Ruto vizuri sana💡
Nairobi Gorvernor-Sakaja-kutoka Western
Nairobi Senator-Bishop Wanjiru-Kutoka Mount Kenya
Nairobi Women Rep-Millicent Omanga-Kutoka Nyanza

Cabinet,Gorvenment ministries and other Sits zitagawanywa kwa all the other tribes✅
Baaaaaas😎Ruto ashachukua kituuuuuuh!!!!

Nayo Coast imemkataa Raila*Chama cha PAA kinachoongozwa na Kingi kinataka kujitoa Azimio coalition kiingie UDA,Aisha Jumwa\Mama simba wa Coast mkono wake umehusikana apo💡
Nayo uko turkana,Kwa waislamu uko juu,Na kwa Maasai uko chini,mambo ni 🔥🔥🔥🔥Ruto Toshaaaaaah!!!!
shukur kwa uchambuz
 
Unapozungumza au kuandika kitu kumbuka kwamba watu wengi wanasoma, Kuna watu wenye akili zaidi yako, weka ushahidi kwamba Kenya imeizidi Tanzania katika Demokrasia, katika ukanda huu Tanzania inaongoza kwa Demokrasia, ushahidi huu hapa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Demokrasia gan ya kwenye makartas ama
 
Yet
Siasa ya Kenya ya ajabu sana, ukabila ndio unaamua nani awe rais wa Kenya, japokuwa kidemokrasia wakenya wametuacha mbali sana sisi watanzania lakini misingi ya demokrasia yao imepakwa Ukabila mtupu.

Kama kuna mahali watanzania tuliwahi kukosea pakubwa katika siasa zetu, basi ni 2015 tulipolazimishiwa Magufuli awe rais wetu. Magufuli sio tu aliiua kabisa Demokrasia ya Tanzania, bali iliizika kabisa Demokrasia yetu na hapo akapandikiza siasa za kikabila za kule Kenya.
Yetu macho na masikio
 
Ruto Mpaka Ikulu⚡
Leo hii tunakaribisha Chama cha Governor Alfred Mutua,Maendeleo Chap Chap(MCC)
Na PAA party ya Kingi

Alafu ni muda tuu pia tutakaribisha Wiper Party ya Kalonzo Musyoka uku Hustler Nation!🔥na Vyama vingine vingi tutavipokonya kutoka Azimio because we are🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
 
Ruto Mpaka Ikulu⚡
Leo hii tunakaribisha Chama cha Governor Alfred Mutua,Maendeleo Chap Chap(MCC)
Na PAA party ya Kingi

Alafu ni muda tuu pia tutakaribisha Wiper Party ya Kalonzo Musyoka uku Hustler Nation!🔥na Vyama vingine vingi tutavipokonya kutoka Azimio because we are🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
Daaaa bas kaz naona imepamba moto
 
Ruto Mpaka Ikulu[emoji298]
Leo hii tunakaribisha Chama cha Governor Alfred Mutua,Maendeleo Chap Chap(MCC)
Na PAA party ya Kingi

Alafu ni muda tuu pia tutakaribisha Wiper Party ya Kalonzo Musyoka uku Hustler Nation![emoji91]na Vyama vingine vingi tutavipokonya kutoka Azimio because we are[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji108]
Nimeangalia Mutua anasema sasa yeye ni principal kwenye Kenya kwanza hahahahhaa
.
Kalonzo Musyoka Leo anaenda kwa panel kwa ajili ya kuhojiwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Moi akiwa kwenye kiti alimtaka Uhuru aingie baada yake,Uhuru ndiye mwanzilishi wa Chama cha ODM pamoja na Raila,Lakini Hustlers walimkataa wakamkubali Kibaki wa PNU! Tulimwingiza kwenye kiti na tukamwapisha live akiwa kwenye clutches akiwametoka accident!!
Usicheze na sisi!kunawaka moto tukichizi!!!sio kama nyinyi maCCM[emoji90]
Sasa hivi the most dangerous Candidate anasuport ya Mount Kenya90%,Western70%,Riftvalley90%,Uko kwingine 70s and 50s!!!
Ngoja uone Hustler anavyoingia kwenye Kiti tukimbeba juu kwa juu na yake kura haiibiwi![emoji108][emoji91]
Baada ya uchaguzi urudi hapa kusoma hii post yako kwa sauti.
 
Mkale maana yake nini mkuu?

Naukumbuka ule wimbo wa kenya waliimba wasanii wa Kenya lile kundi la akina Buganya "sijamuona mkale"
 
Moi akiwa kwenye kiti alimtaka Uhuru aingie baada yake,Uhuru ndiye mwanzilishi wa Chama cha ODM pamoja na Raila,Lakini Hustlers walimkataa wakamkubali Kibaki wa PNU! Tulimwingiza kwenye kiti na tukamwapisha live akiwa kwenye clutches akiwametoka accident!!
Usicheze na sisi!kunawaka moto tukichizi!!!sio kama nyinyi maCCM💩
Sasa hivi the most dangerous Candidate anasuport ya Mount Kenya90%,Western70%,Riftvalley90%,Uko kwingine 70s and 50s!!!
Ngoja uone Hustler anavyoingia kwenye Kiti tukimbeba juu kwa juu na yake kura haiibiwi!👌🔥
Unaandika uongo mwingi.
Moi akiwa Rais alimshawishi Raila ajiunge naye kwa ahadi ya kumrithi 2002 na wakaunda New Kanu, kabla ya hapo chama cha Raila kilikuwa ni NDP. Akiwa New KANU Moi akampa uwaziri wa Nishati.

Uhuru wakati huo zaidi ya kuwa Mtoto wa Rais Jomo hakuwa na nguvu zozote kisiasa tena akiwa mwachama wa KANU. Baada ya Raila kutofautiana na MOI namna kura za kumpata mgombea Urais (uchaguzi wa 2002) kupitia KANU zitakavyopatikana akajiondoa New KANU na kuanzisha chama chake na akatoka na wafuasi wake. Alimuunga mkono Kibaki na kwa kupitia muungano wa Rainbow wakamshinda Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa mgombea wa KANU (na ambaye alikuwa ana-backup ya MOI). Wakati huo Kibaki chama chake kiliitwa NAK.

Fact check;
1. Mpaka mwaka wa uchaguzi 2002 hakuna chama kiliitwa PNU
2. Uhuru hakuwahi kuwa upinzani kabla ya uchaguzi wa 2002
3. Hakukuwepo chama cha ODM kabla ya uchaguzi wa 2002. ODM imeanzishwa kwenye vuguvugu la katiba mpya, upande wa Kibaki wakiwakilishwa na ndizi na upande wa Raila chungwa kwenye kura za maoni. Upande wa Raila uliposhinda wakaamua kuanzisha chama cha Orange Democratic Party (ODM)
4. Kibaki aliingia madarakani akiwa na support kubwa ya block zote za makabila ikiwemo na wanachama wa muda mrefu KANU kama makamu wa Rais wa zamani George Saitoti. Kumbuka kwa sehemu kubwa ya kampeni Kibaki hakuhusika kwa sababu ya ajali na waliofanya kampeni kubwa ni Raila na wenzake.
 
Unaandika uongo mwingi.
Moi akiwa Rais alimshawishi Raila ajiunge naye kwa ahadi ya kumrithi 2002 na wakaunda New Kanu, kabla ya hapo chama cha Raila kilikuwa ni NDP. Akiwa New KANU Moi akampa uwaziri wa Nishati.

Uhuru wakati huo zaidi ya kuwa Mtoto wa Rais Jomo hakuwa na nguvu zozote kisiasa tena akiwa mwachama wa KANU. Baada ya Raila kutofautiana na MOI namna kura za kumpata mgombea Urais (uchaguzi wa 2002) kupitia KANU zitakavyopatikana akajiondoa New KANU na kuanzisha chama chake na akatoka na wafuasi wake. Alimuunga mkono Kibaki na kwa kupitia muungano wa Rainbow wakamshinda Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa mgombea wa KANU (na ambaye alikuwa ana-backup ya MOI). Wakati huo Kibaki chama chake kiliitwa NAK.

Fact check;
1. Mpaka mwaka wa uchaguzi 2002 hakuna chama kiliitwa PNU
2. Uhuru hakuwahi kuwa upinzani kabla ya uchaguzi wa 2002
3. Hakukuwepo chama cha ODM kabla ya uchaguzi wa 2002. ODM imeanzishwa kwenye vuguvugu la katiba mpya, upande wa Kibaki wakiwakilishwa na ndizi na upande wa Raila chungwa kwenye kura za maoni. Upande wa Raila uliposhinda wakaamua kuanzisha chama cha Orange Democratic Party (ODM)
4. Kibaki aliingia madarakani akiwa na support kubwa ya block zote za makabila ikiwemo na wanachama wa muda mrefu KANU kama makamu wa Rais wa zamani George Saitoti. Kumbuka kwa sehemu kubwa ya kampeni Kibaki hakuhusika kwa sababu ya ajali na waliofanya kampeni kubwa ni Raila na wenzake.
2007????
 
Unaandika uongo mwingi.
Moi akiwa Rais alimshawishi Raila ajiunge naye kwa ahadi ya kumrithi 2002 na wakaunda New Kanu, kabla ya hapo chama cha Raila kilikuwa ni NDP. Akiwa New KANU Moi akampa uwaziri wa Nishati.

Uhuru wakati huo zaidi ya kuwa Mtoto wa Rais Jomo hakuwa na nguvu zozote kisiasa tena akiwa mwachama wa KANU. Baada ya Raila kutofautiana na MOI namna kura za kumpata mgombea Urais (uchaguzi wa 2002) kupitia KANU zitakavyopatikana akajiondoa New KANU na kuanzisha chama chake na akatoka na wafuasi wake. Alimuunga mkono Kibaki na kwa kupitia muungano wa Rainbow wakamshinda Uhuru Kenyatta ambaye alikuwa mgombea wa KANU (na ambaye alikuwa ana-backup ya MOI). Wakati huo Kibaki chama chake kiliitwa NAK.

Fact check;
1. Mpaka mwaka wa uchaguzi 2002 hakuna chama kiliitwa PNU
2. Uhuru hakuwahi kuwa upinzani kabla ya uchaguzi wa 2002
3. Hakukuwepo chama cha ODM kabla ya uchaguzi wa 2002. ODM imeanzishwa kwenye vuguvugu la katiba mpya, upande wa Kibaki wakiwakilishwa na ndizi na upande wa Raila chungwa kwenye kura za maoni. Upande wa Raila uliposhinda wakaamua kuanzisha chama cha Orange Democratic Party (ODM)
4. Kibaki aliingia madarakani akiwa na support kubwa ya block zote za makabila ikiwemo na wanachama wa muda mrefu KANU kama makamu wa Rais wa zamani George Saitoti. Kumbuka kwa sehemu kubwa ya kampeni Kibaki hakuhusika kwa sababu ya ajali na waliofanya kampeni kubwa ni Raila na wenzake.
✅hio yote ni history!
Sasa hivi anza kusave history ya Ruto kichwani!
 
✅hio yote ni history!
Sasa hivi anza kusave history ya Ruto kichwani!
Mimi huwa sipo kwenye ushabiki wa Wanasiasa. Ubongo wangu upo sober kupokea na kuchuja.
Kwenye siasa hata saa moja inaweza kuleta tofauti kubwa.

Nani alijua hata baada ya mateso na kuwekwa kizuizini na Moi, Raila angeungana naye
Nani alijua hata baada ya mauaji ya 2007 baada ya uchaguzi Uhuru na Ruto wangeungana kumkabili Raila wakati Ruto alikuwa sehemu ya tuhuma za kuchochea mauaji aki-instigate Wakalenjin dhidi ya Kikuyu
Nani alijua Uhuru na Raila wangeungana baada ya Raila kushindwa uchaguzi na Uhuru na yeye kujitangaza Rais

Haya mambo ukiwa makini utajua ni class flani zinapigania maslahi yao na familia zao. Hakuna cha hustler wala Baba tosha. So better relax, watch and analyse
 
Mimi huwa sipo kwenye ushabiki wa Wanasiasa. Ubongo wangu upo sober kupokea na kuchuja.
Kwenye siasa hata saa moja inaweza kuleta tofauti kubwa.

Nani alijua hata baada ya mateso na kuwekwa kizuizini na Moi, Raila angeungana naye
Nani alijua hata baada ya mauaji ya 2007 baada ya uchaguzi Uhuru na Ruto wangeungana kumkabili Raila wakati Ruto alikuwa sehemu ya tuhuma za kuchochea mauaji aki-instigate Wakalenjin dhidi ya Kikuyu
Nani alijua Uhuru na Raila wangeungana baada ya Raila kushindwa uchaguzi na Uhuru na yeye kujitangaza Rais

Haya mambo ukiwa makini utajua ni class flani zinapigania maslahi yao na familia zao. Hakuna cha hustler wala Baba tosha. So better relax, watch and analyse
Yetu masikio na macho
 
Back
Top Bottom