nashukuru umenielimisha kuna wataalam wa ku-tune.....ila kwanini u-tune??si ununue kitu chenyewe.....
2010 Subaru Impreza WRX STI – Review – Car and Driver
nikiiona hii inapita wala sihangaiki nayo.
Hahahahaa, hata hiyo ina upgradeS zake,balaa tupu mkuu....THE HUNGER FOR MORE!
nashukuru umenielimisha kuna wataalam wa ku-tune.....ila kwanini u-tune??si ununue kitu chenyewe.....
2010 Subaru Impreza WRX STI – Review – Car and Driver
nikiiona hii inapita wala sihangaiki nayo.
Parts zake unazweza kusipata hapa: 2010 Subaru Impreza WRX STI 2.5L Performance Parts at RallySportDirect.com
Hata hivyo hii mashine haijawashika sana racers wengi!
Nina kaugonjwa ka'kupenda magari ya mashindano mpaka wakati mwingine natamani kuifanyia manuva hii Toyota Altezza iwe na mlio na performance kama hayo magari.
Jamani kwani hii Subaru Impreza WRX STI ni inauzwaje kama ukiagiza toka nje na gharama zake mpaka inaingia barabarani?
Nina kaugonjwa ka'kupenda magari ya mashindano mpaka wakati mwingine natamani kuifanyia manuva hii Toyota Altezza iwe na mlio na performance kama hayo magari.
Jamani kwani hii Subaru Impreza WRX STI ni inauzwaje kama ukiagiza toka nje na gharama zake mpaka inaingia barabarani?
Nina kaugonjwa ka'kupenda magari ya mashindano mpaka wakati mwingine natamani kuifanyia manuva hii Toyota Altezza iwe na mlio na performance kama hayo magari.
Jamani kwani hii Subaru Impreza WRX STI ni inauzwaje kama ukiagiza toka nje na gharama zake mpaka inaingia barabarani?
Nina kaugonjwa ka'kupenda magari ya mashindano mpaka wakati mwingine natamani kuifanyia manuva hii Toyota Altezza iwe na mlio na performance kama hayo magari.
Jamani kwani hii Subaru Impreza WRX STI ni inauzwaje kama ukiagiza toka nje na gharama zake mpaka inaingia barabarani?
i know....thats why kuna gari ina cc 2000[impreza] inakimbia na ina nguvu kuliko gari nyingi zenye cc zaidi 2000....its all down to fuel/air mixture[intake,hapa ndipo turbo magic inapoonekana],pia weight to power ratio then mambo mengine.
Jamani naomben kujua,btn subaru forester and toyota gx100 ..ipi ni mnyama barabarani??
hio subaru forester ni noma kulinganisha na gari mlizoendesha,kuna magari hio subaru inapitwa kama imesimama...
subaru forester:
-engine size 1994cc
-0-100km/h 8.4sec
-top speed 180km/hr
sasa linganisha na magari ya kawaida tu hapo chini
vw golf gti
-engine size 2000cc
-0-100km/h 7.7
-top speed 240km/h[i can assure you,inamaliza huu mwendo]
bmw m3
-engine size 3000cc
-0-100km/h 4.8sec
-top speed 260km/h[2008-present model top speed ni 320km/h]
volvo s60T
-engine size 2000cc
-0-100km/h 8.5sec
-top speed 240km/h
bmw 523i
-engine size 2500cc
-0-100km 7.9sec
-top speed 260km/hr
gari ya subaru inayoweza kuyaacha magari ya hapo juu ni SUBARU IMPREZA TURBO UK SPECIFICATION[siyo ya japan coz ina top speed 180km/h
WRX STI
-engine size 2000cc
-0-100km/hr 5.3sec
-top speed 260km/h
WR1 STI
-engine size 2000cc
-0-100km/h 4.1sec
-top speed 260km/h
Naendesha moja ya european cars hapo juu subaru forester zote za bongo hazinisumbui hata kidogo,highway au kitaa,....machine yangu inakwenda 155MPH ambayo ni around 260km/h........
UKO SAWA kaka I appreciate the knotion of yours
These are our toys (men) thus we need to discuss them such that we end up having the good ones for the better of our plays on the road
Jamani naomben kujua,btn subaru forester and toyota gx100 ..ipi ni mnyama barabarani??
Kuna kitu umesahau engine pulling mkuu na gear shifting hizo ndo zindetermine speed ya gari. Na sio km/hr pekee.
i think we should have our special "PETROLHEADS FORUM" hapa JF
cc:CYBERTEQ,Invisible
tatizo la watu wengi walikuwa wanaendesha toyota/nissan then wanaingia kwenye subaru wanaona ndio mwisho,jaribuni bmw/vw golf/merc amg/volvo/jaguar muone 240km/hr ikoje......ila SUBARU IMPREZA WRX STI UK SPEC naivulia kofia,sio subaru za kubandika badge za WRX STI zilizojaa bongo.
Kipindi kile mimi pia nilikua mpenzi sana na Rally, nakumbuka Baba D, Papa king walikua wanamajina sana kwa upande wa watu weusi ukiwatoa wahindi na waarabu kwenye rally Arusha, binafsi nakumbuka nilikua nahakikisha hakuna rally inanipita Arusha.. Naamini kabisa kifo cha Omary Bhakresa kule Zanzibar akiwa na Subaru N12 mpya kabisa kipindi kile kimepelekea kupotea kwa Rally country-wise.. kuna rally Bhakressa na team yake alikuja A-town kwenye rally wakaja na Hummer na rally ilivyokwisha wakapakiza hummer yao kwenye "semi" wakarudi dar.. I miss rally i used to be a great fan..
Nakuunga mkono wamezoea kuendesha gari zenye body kama karatasi yaani magari ya Mjapani wajaribu gari nzito za ulaya waone shughuli iliyopo barabarani
Hauko sawa sana mkuu hata huko si kuna ma lamborghin,rols royce,ferrari na mengine ambayo kwa speed na bei ni nusu ya ndege so sisi ambao kidogo tuna upeo wa haya machuma tuwasaidie wenzetu au kistaarabu zaid tuchangie mawazo ili kila mtu apate the best out of his/her money worth basing on context
As kuna gari kama Lexus ni Japanese lakini ni habari tofauti kulinganisha na series nyingi tu za Ulaya
Knowledge,cash and context counts a lot when one heads into having a nice ride
Hauko sawa sana mkuu hata huko si kuna ma lamborghin,rols royce,ferrari na mengine ambayo kwa speed na bei ni nusu ya ndege so sisi ambao kidogo tuna upeo wa haya machuma tuwasaidie wenzetu au kistaarabu zaid tuchangie mawazo ili kila mtu apate the best out of his/her money worth basing on context
As kuna gari kama Lexus ni Japanese lakini ni habari tofauti kulinganisha na series nyingi tu za Ulaya
Knowledge,cash and context counts a lot when one heads into having a nice ride