OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Nakusoma kaka mkubwa ila tusonge nao mdomdo si unajua hata mbuyu ulianza kama mchicha. Kama ombi la kuanzishiwa jukwaa maalim litapitishwa the kila mmoja wetu atachangia kidogo mwisho wa siku tutakuwa happy and knowledgeble on roadsNi kweli usemacho ili inaudhi pale mtu anashupalia gari fulani ina mwendo kuliko gari nyingine wakati hajawahi kuendesha hiyo gari ya upande wa pili hapa issue ni kuelekezana hata mm ni mgeni sana wa magari ila bahati nzuri haya magari waliyoyashindanisha yote nimeendesha
Lexus special for EUROPE na US market[sina maana kuwa japan hakuna] eg LEXUS IS200[JDM ALTEZZA],LEXUS RX300[JDM HARRIER].
Kuna toyota,honda,mazda zinatengezwa Europe ni nzuri sana,halafu hata hayo magari ya europe golf,bmw,volvo hayana bei ya kutisha....hizo ferrari,lambo tuwaachie akina bakhresa.
hapa umemaliza kila kitu.
Inategemea ni ya mwaka gani, lakin around 23.5M unaiendesha barabarani!
23.5M = Altezza mbili na chenji
Du! Hapa umenivunja moyo kabisa, nimegundua kwa nn magar ya japan yamejazana hapa bongo...BEI ndo tatizo kumbe?
Kwa kuwa nina nia nitazichanga tu niipate iyo Subaru.
Hivi hapa bongo kuna mafunzo ya mashindano ya magari? Nafikiri ningezaliwa ughaibuni ningetimiza ndoto yangu kuliko kuwapigia kelele watu mtaani na mikokoten yetu.
Hhahaa, nunua ya nyuma kidogo, around 15, mambo mengine utaupgrade mwenyewe taratibu kadri unavyopata pesa, au chukua kutoka japani hata auto ya kuuzia sura mkuu! Shule kubwa ya mambo haya ni kuwa karibu na wakongwe, Jiune na Subaru Fans of Tanzania kule FB utajifunza mengi tu!
Hhahaa, nunua ya nyuma kidogo, around 15, mambo mengine utaupgrade mwenyewe taratibu kadri unavyopata pesa, au chukua kutoka japani hata auto ya kuuzia sura mkuu! Shule kubwa ya mambo haya ni kuwa karibu na wakongwe, Jiune na Subaru Fans of Tanzania kule FB utajifunza mengi tu!
kitu tunachomiss hapa bongo ni RACE TRACKS,ndio maana vijana wa kihindi na waarabu usiku wanageuza barabara zetu race tracks,subaru hizo zinawachinja kinoma.....kwenye race tracks unakuja na mashine yako unalipia then u just burn rubber.....au ukiona vipi unalipia zaidi unapata ferrari/lambo/porsche unakula ride.....
hizi zinadetermine accelaration ya 0-100km/hr ambazo ni few meters only.....after that max speed,power ya gari matters[refer USAIN BOLT,first 50M he is not fastest,but after 50M he is the fastest man in 100/200M]
km/hr matters simply because 180km/hr is way slower than 260km/hr.
Mfano mdogo tuu kulingana na maelezo yako
Subaru impreza sports wagon 1490 cc and Carina TI, PREMIOS, GX ENGINE TOYOTA SERIES.based 1500 CC to 3400CC, Impreza inabeat all of those. ebu nambie kwann?
rudi juu kasome maelezo yangu....narudia tena.....nilisema kuna gari zina engine ndogo[mfano subaru impreza cc2000] zinakimbia kuliko gari zenye engine kubwa......nilisema tena subaru forester yenye TURBO[hii ndio inacompansate udogo wa engine yake] inakimbia kuliko gx100 lakini ISIYO NA TURBO[FORESTER] iko sawa na gx100.....kuna njia nyingi za kupata powerful engine.....moja ni kuweka cc kubwa mfano bmw m3 ina cc karibu 3000 kuliko bmw 3 series ya kawaida i.e 316i,318i,320i etc.....njia ya pili ni kuwa na same small engine size lakini una weka TURBO CHARGER AU SUPERCHARGER[ukitaka somo la turbo na supercharger nitakupa]
sasa basi SUBARU badala ya kuweka big engine kama bmw na most european models,wao wameamua kuweka TURBO CHARGER hence small engine more power more speed.......lakini uchukue subaru ya cc1400[sijui ya mwaka gani hii] ISIYO NA TURBO haiwezi kusumbua gx100.......naomba usome kwa makini.
rudi juu kasome maelezo yangu....narudia tena.....nilisema kuna gari zina engine ndogo[mfano subaru impreza cc2000] zinakimbia kuliko gari zenye engine kubwa......nilisema tena subaru forester yenye TURBO[hii ndio inacompansate udogo wa engine yake] inakimbia kuliko gx100 lakini ISIYO NA TURBO[FORESTER] iko sawa na gx100.....kuna njia nyingi za kupata powerful engine.....moja ni kuweka cc kubwa mfano bmw m3 ina cc karibu 3000 kuliko bmw 3 series ya kawaida i.e 316i,318i,320i etc.....njia ya pili ni kuwa na same small engine size lakini una weka TURBO CHARGER AU SUPERCHARGER[ukitaka somo la turbo na supercharger nitakupa]
sasa basi SUBARU badala ya kuweka big engine kama bmw na most european models,wao wameamua kuweka TURBO CHARGER hence small engine more power more speed.......lakini uchukue subaru ya cc1400[sijui ya mwaka gani hii] ISIYO NA TURBO haiwezi kusumbua gx100.......naomba usome kwa makini.
Hukunielewa!!!!!! anyway let me do my home work as you advised.
Somo tam sana hili mkuu shusha madesa ya TURBO CHARGER AU SUPERCHARGER
Mkuu hiyo subaru alikuwa anaendesha mtoto nadhani
View attachment 103689
Hizo hapo jamaa amezishusha toka UK, kama unazitaka sema nikupe namba useme naye mweeenyewe!..CHONDE CHONDE MITAANI HUKO!
cc: UGOKO MKAVU OLESAIDIMU dhk1 TCleverly ligolyser Steven Robert Masatu
View attachment 103689
Hizo hapo jamaa amezishusha toka UK, kama unazitaka sema nikupe namba useme naye mweeenyewe!..CHONDE CHONDE MITAANI HUKO!
cc: UGOKO MKAVU OLESAIDIMU dhk1 TCleverly ligolyser Steven Robert Masatu