Leembaswagger
Senior Member
- Aug 1, 2012
- 100
- 34
Alitumia V8 nyeupe haikuwa na nembo yoyote hivyo ni vigumu kuitambua ni binafsi au ya kanisaKakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
kakobe hata mungu anayemwabudu sijui ni yupi mtumishi wa mungu anakuwa wa ajabu kiasi hicho.
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
vipi ndo hulka yako kuolewa???? na kakobe ndo yupi?! au yule msanii aliyetimkia marekani?ukishajua alikuja na gari yake unataka akuoe
Kakobe alionekana mkutano wa jangwani ulioitishwa na vyama vya siasa akihutubia.Swali alienda na gari ya kanisa au binafsi? Maana ana kesi aliyoshitakiwa ya kutumia mali za kanisa kisiasa kuzunguka nazo wakati wa kumpigia kampeni za uraisi Augustino Lyatonga Mrema miaka ile.
Ni muhimu kujua jibu la swali hili kujua kama mali za kanisa hazijatumika ndivyo sivyo.
Kwanza hao waliomfungulia kesi kakobe hawana akili, tena majinga sana, wanamshtaki kakobe kwa kifungu kipi kutoka wapi??
Sadaka sio michango, ukishatoa hupaswi kuuliza utendaji kazi wake, sadaka inatolewa kiimani na ili ubarikiwe na Mungu,
na kama huna imani hutajua kama umebarikiwa, na sadaka haina risiti sasa unashtaki kwa reference ipi?
Kakobe anaongozwa na roho, aongozwi na watoa sadaka, kakobe anafungwa na mamlaka ya Mungu sio ya ki binadamu,
Kakobe anamtumikia Mungu hamtumikii Mwanadamu, poleni sana mnaomuonea wivu Kakobe
Kwani kakosa nini kumshauri rais juu ya katiba? sini raia wa Tanzania kama wengine? je nyinyi hamjawahi ku fail mipango fulani mliyopanga maishani mwenu?
yeye kama mwanaharakati wa dini kwa nini asitumie forum yake ya dini kumshauri rais anakwenda majukwaani kujumuika na wanasiasa.
yeye kama mwanaharakati wa dini kwa nini asitumie forum yake ya dini kumshauri rais anakwenda majukwaani kujumuika na wanasiasa.