Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
kwa hiyo tatizo lako ni kwa nini alijumuika na wanasiasa au kwa nini alitoa maoni yake akiwa jukwaa moja na wanasiasa? mbona watumishi wa Mungu kama D.Tutu Afrika kusini ametoa mchango mkubwa katika ukombozi wa taifa hilo?,vipi Martin luther si alikuwa mtumishi wa Mungu na mwanaharakati?
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Tumefika hapa tulipo sasa kwa sababu ya watanzania wengi ni mbumbu , hawana elimu na hivyo kukosa kuwa na uelewa wa kutosha, umenisikitisha sana, kufikiria katiba ni suala la kisiasa ? nani hatalikomboa taifa hili kama watu wake upeo wao wa kuelewa mambo ni kama huo wa kwako ? Katiba ni ya kila mwananchi awe ana dini hana dini, awe ana chama hana chama , katiba ni mali ya watanzania woteTangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
jambo lingine la kujiuliza kwa nini kakobe anatapatapa kiasi kwa nini asifanye kazi ya mungu mambo ya siasa awachie wanasiasa kwani mshika mawili moja humponyoka.
Tangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
yeye kama mwanaharakati wa dini kwa nini asitumie forum yake ya dini kumshauri rais anakwenda majukwaani kujumuika na wanasiasa.
usichanganye dini na siasa. Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari
Kama mawazo,malengo,mbinu na mikakati inafanana ya nini ajitenge??. Rais Ana watu wengi wa kuwasikiliza hivyo kuungana na vyama vya upinzani sioni tatizo hapo.
Kama ulikuwepo au ulipata fursa ya kumsikiliza alisema ameungana kwenye mkutano ule kwakua ni wa watanzania wenye nia njema ya kupinga muswada usisainiwe kwani unamapungufu mengi. Kwa kusisitiza aliweka bayana kwmb amechelewa kufika kwani alijua ni vyama vya upinzani pekee kumbe haikuwa hivyo. wengine ni Shura ya Maimamu,TEC nk.
Sasa wewe hayo sijui unayatoa wapi,vinginevyo utwambie una lako jambo.
Mimi tangu nimjue Kakobe sijawahi kuona amefeli ktk mipango yake ila wale walioshindana naye ndio walioferi...mfano pale ambapo serikali iliposhindwa kulifuta kanisa la FGBF pamoja na kutangaza hadharani kwamba wangefanya hivyo mwaka 1999...pia umeme kushindwa kupita mbele ya kanisa hilo pamoja na kwamba serikali ilipitisha nyaya kwa mabavu na mpk leo wanaona aibu kuziondoa na km zingekuwa chinichini watu wangeanikia nguo(nenda ukamuulize Badra Masood na Tanesco watakuelezea vizuri)..hayo ni baadhi tu ya mambo machache ambayo Kakobe ameyasimamia na yamefanikiwa..kuhusu Mrema..ikiwa wanadamu walimkataa Mungu hasiwe mfalme wao na wakamtaka Sauli ndo awatawale pamoja na uwezo aliokuwa nao hakuwalazimisha bali aliwapa kile walichokihitaji...Km Mrema hakuwa raisi km Kakobe alivyosema si ajabu..ajabu ni kwamba Mungu ameweka moto na Mbingu lakini watu wanachaguwa kwenda motoni kwa hiari yao na bado Mungu hakulazimishi japo hachoki kutukumbusha kupitia watumishi wakeTangu nianze kujua harakati za Kakobe kwenye maenea mbalimbali sijawahi kumuona au kushuhudia Zakaria Kakobe amefanikiwa kwenye mipango yake yoyote.
Hata huku kwenye siasa alikoamua kuingia tena kwa mara ya pili atafeli tena, alifanya hivyo mwaka 95 akimsapoti Mrema wakafeli wote sasa ameingia tena hatujui ataondoka na nani.
Kakobe hajawahi na hatakuja kuwa mtu wa Mungu. yeye yupo kimaslahi zaidi. watu wakiingia na gold kanisani kwake anawapora