kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,742
Waache kazi yakuelekeza watu mambo ya ufalme wa Mungu waamue kufanya tu siasa.
Ndugu inatakiwa utambue siasa ni kila kitu iwe kanisani, sehemu za Kazi Mashuleni na hata vijiweni siasa ndio inayoendesha shughuli katika sehemu hizo.