Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Kwani kulikuwa na haja ya kutangaza wakati hilo linajulikana ? Huu ni ujinga kupinga maoni ya wananchi ambao keshoutaenda kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wakati hujalifanyia maoni yao ........
Tumia akili wewe, jibu hoja, acha kulia lia hapa.
