mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,759
- 1,061
Kama wananchi hawataiona ccm kama ndio sababu ya wao kuwa maskini wa kutupwa, basi tusubiri hadi Yesu alete nabii wa kuwafunulia.Kwanini walianzisha mchakato ambao umetafuna fedha za wananchi maskini wa taifa hili?Iko siku watawajibika kwa wanayoyatenda.