MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
Sijakusoma mkuu
Ana maana hata bila serekali mambo yataenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakusoma mkuu
Bw,simiyuYetu jaribu kutumia kichwa kufikiri,usjitoe akili kwa sababu ya kibaba cha siku moja,watu wa aina yako ni hatari sana katika jamii,sisi hapa Unguja wallah hatutakubali katu kuendelea kufunikwa na Serikali ya Muungano,tumeshindwa kwa miaka mingi kupata maendeleo ya Nchi yetu sababu ya upuuzi huu.
Wewe ni mmoja kati ya MAADUI wa Zanzibar.
Wewe ni mmoja kati ya MAADUI wa Zanzibar.
Serikali tatu ndiyo mdudu gani unatuletea hatutaki serikali za majaribio ulishawahi kuona wapi duniani muungano wa serikali tatu kama siyo mambo ya kihuni.
Wewe ulishawahi kuona wapi serikali2 duniani kama siyo usanii tu.
Naona dalili za kupata katiba mpya sasa zimeeanza kuonekana mapema serikali mbili ndiyo mpango mzima ndiyo zimetufikisha hapa tulipo.
\Wewe ulishawahi kuona wapi serikali2 duniani kama siyo usanii tu.
Waeleze hao na sisi huku Tanganyika pia tumechoka tunaitaka Tanganyika yetu.
Serikali mbili ziliwahi kuwepo...ambazo ni serikali ya ujerumani magharibi na ujerumani mashariki....lakini zilipoungana zilifanya serikali moja ya ujerumani...ndiyo maana kuna rais mmoja na kuna 'kansela' mmoja Angela M, wala hawana marais watatu nakadalika nakadhalika....ndiyo maana nasema kama nchi hizi (Tanzania Bara na Tanzania Visiwani) zina taka mamlaka kamili basi tuwe kama zilivyokuwa Ujerumani magharibi na Ujerumani Mashariki au kwa sasa Korea Kusini na Korea ya Kaskazi (Zamani ilikuwa Korea Moja). Ila kama tunataka kuungana basi tuungane kama ilivyo Ujerumani ya sasa.... kama hatutaki basi tuwe kama Korea kaskazini na Korea ya Kusini za sasa. Habari za serikali Tatu au serikali mbili eti ya muungano na moja serikali kamili kwa kweli kwa lojiki ni kuchezeana akili.
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa.
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
Je, unaweza kutuhabarisha juu ya historia ya Tanganyika, na jina hili linatokea wapi?
Ni kweli simiyu yetu, serikali mbili zimetufikisha hapa ktk migogoro ya muungano, ubadhirifu wa rasilimali na kutowajibika. Inashangaza kuona nec inaanza kukusanya maoni ya vigogo wake baada ya kuwa time ya warioba imesha kamilisha kazi yake. Kweli ccm ni janga na haiitakii mema nchi yetuNaona dalili za kupata katiba mpya sasa zimeeanza kuonekana mapema serikali mbili ndiyo mpango mzima ndiyo zimetufikisha hapa tulipo.
Kwanini kikwete hataki mambo yooooote ya Nyerere isipokuwa serikali mbili pekee?
Naona dalili za kupata katiba mpya sasa zimeeanza kuonekana mapema serikali mbili ndiyo mpango mzima ndiyo zimetufikisha hapa tulipo.
Mbona kila siku tupo barabarani wewe unataka barabara ipi au kwa mtei zipo zingine unamaanisha.