Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Kwani kulikuwa na haja ya kutangaza wakati hilo linajulikana ? Huu ni ujinga kupinga maoni ya wananchi ambao keshoutaenda kuwaomba ridhaa ya kuwaongoza wakati hujalifanyia maoni yao ........
Msimamo wa ccm ndo msimamo wa Watanzania
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa ambapo wameendaa hoja za kuziwasilisha katika bunge la katiba.Hoja hizo ambaza amekataa kuzitaja ndio zitakuwa na maelezo ya namna ya kutatua kero za muungano
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
kulikuwa na haja gani ya kuunda tume ya kupita na kukusanya maoni kwa wanachi ikiwa maoni ya ccm ndio yanayofaa kuwa katiba ya tanzania?
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa ambapo wameendaa hoja za kuziwasilisha katika bunge la katiba.Hoja hizo ambaza amekataa kuzitaja ndio zitakuwa na maelezo ya namna ya kutatua kero za muungano
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
Kikao cha siku 2 cha NEC ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kimemalizika na kutoa taarifa kupitia katibu wa Itikadi na uenezi wa chama hicho,bwana Nape Nnauye kuwa wamekubaliana kuendelea na msimamo wa kuunga mkono serikali 2.
Pia,bwana Nape ameongeza kuwa watafanyia kazi changamoto za muungano zinazolalamikiwa ambapo wameendaa hoja za kuziwasilisha katika bunge la katiba.Hoja hizo ambaza amekataa kuzitaja ndio zitakuwa na maelezo ya namna ya kutatua kero za muungano
Katika hatua nyingine,Nape amesema hawatishiwa na hatua ya vyama vingine kwenda kwa wananchi kwani hata wao(CCM) wanaweza kwenda kwa wananchi na kuwaeleza jambo hilo.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hatua hii ni sawa na kutangaza mgogoro mapema!
Mimi huenda nikaungana na msimamo wa ccm, sababu kuu kuna wachochezi wa kiislamu wana ajenda zao za siri kwenye serikali3.
Naona dalili za kupata katiba mpya sasa zimeeanza kuonekana mapema serikali mbili ndiyo mpango mzima ndiyo zimetufikisha hapa tulipo.
Kwa hiyo na sisi tunataka kama hizo za Ujerumani kwa maana tuwe na serikli ya Zanzibar na Serikali ya Tanganyika?, kama ni hivyo sawa, sasa hapo hauwi Muungano tena. Logic za serikali3 ni kuwaridhisha tu wale wanaotaka kujitawala, vinginevyo serikali ifaayo ni moja jamani, tuache kujitoa ufaham wakati ukweli tunaujua. Ila serikali mbili kwa muktadha wa huu mfumo wa SJMT na SMZ si sahihi hata kidogo.
View attachment 139909
Tunataka serikali moja tu hakuna ya Zanzibar wala ya Mungano
On discrimination; I consider myself neither morally nor
legally obliged to obey laws made by a parliament in which I am not
represented.
mbona chadema nao wanasema wanataka serikali tatu,inamaana wananchi wote wanataka serikaki tatu,kila chama kina wawakilishi wake na kila chama kinatetea mambo yake,sioni ubaya wa ccm kusema wanataka serikali 2 maana ndio msimamo wao kama chadema wanavyotaka serikaili 3