Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
 
CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho ni wakala wa MAGAIDI, kina nunua na kufadhili wahalifu wa kigaidi unategemea nini hapo?!
 
Kweli kufa kufaana yaani leo hii kipara kipya tayari umesha ukata maana ndiyo unachukua nafasi ya Hamza
Ndio maana nimeuliza katiba kukusaidia kuongoza magaidi waliobaki!
 
Hatari kubwa!
 
Hivyo wananchi tutegeemee Mbowe Rais 2025.
 
Hivi kwa nini huwa unawaza kwa kutumia kiuno weye jamaa?Huzuni sana kwa ukoo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…