Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kweli kufa kufaana yaani leo hii kipara kipya tayari umesha ukata maana ndiyo unachukua nafasi ya HamzaMakamanda bwana kwani mtu kuwa mahabusu ndio keshafungwa je katiba inasemaje?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kufa kufaana yaani leo hii kipara kipya tayari umesha ukata maana ndiyo unachukua nafasi ya HamzaMakamanda bwana kwani mtu kuwa mahabusu ndio keshafungwa je katiba inasemaje?!
Kwa Tanzania mahabusu ni kama kufungwa, utamwekaje mtu miaka 9 mahabusu kama sio kumfunga ni nini.Makamanda bwana kwani mtu kuwa mahabusu ndio keshafungwa je katiba inasemaje?!
Wakati baba wa magaidi leo hii ana miezi zaidi ya 5 yuko kwa mungu anajubu hoja za dunianiBaba yake gaidi leo ana siku ya 42 ndani! Je katiba inasemaje iwapo atapelekwa guantanamo!
Kamuulize ChakubangaKatiba inasemaje?
Inasema muache kubambikia wapinzani kesi.Katiba inasemaje?
Mkufunzi wetu alikua mbunge wa bukoba mjini kupitia chadema!Nasikia wewe na Hamza mlikuwa kambi moja ya mafunzo
Wewe ndio wa kwanza kuchangia hizo ambazo sio mada gaidi mkubwa!Wewe hujawahi kuwa na mada
Yule aliyemteka mlinzi wa slaa sio wewe?K
Hongera sana mkuu maana sasa baadaya Hamza wewe ndiyo umeichukua mikoba
Ni kweli chama hakitoi haki kwa makada wake kuijua katiba maana watahoji kile kipengele cha ukomo kilichonyofolewa!Katiba inasema hakuna wa kuziba pengo la Hayati Hamza huko CCM.
Bado unatumia doze ya mirembe!Kama ulikuwa hujui ni kuwa kipara kipya ndiyo 2 ic wa Hanza
Ndio maana nimeuliza katiba kukusaidia kuongoza magaidi waliobaki!Kweli kufa kufaana yaani leo hii kipara kipya tayari umesha ukata maana ndiyo unachukua nafasi ya Hamza
Hatari kubwa!CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
Mpaka utakapo tiwa hatiani!Kwa Tanzania mahabusu ni kama kufungwa, utamwekaje mtu miaka 9 mahabusu kama sio kumfunga ni nini.
Mkufunzi wake ana siku 42!Wakati baba wa magaidi leo hii ana miezi zaidi ya 5 yuko kwa mungu anajubu hoja za duniani
Hivyo wananchi tutegeemee Mbowe Rais 2025.Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Kuanzia sasa dai kuijua katiba ya chama!Kamuulize Chakubanga
Hivi kwa nini huwa unawaza kwa kutumia kiuno weye jamaa?Huzuni sana kwa ukoo wako.Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Swali zuri kabisa!Hivyo wananchi tutegeemee Mbowe Rais 2025.