Hongwra sana kwa kushika nafasu ya HamzaKuanzia sasa dai kuijua katiba ya chama!
Conrona hainaga kuremba ikafyagiaaaaaMkufunzi wake ana siku 42!
Kwani mirembe wanawatibia watu wasiyo wagonjwa?Bado unatumia doze ya mirembe!
Gaidi mkuuu tayari anajibu maswali kwa wenye mamlaka huko mbinguniNdio maana nimeuliza katiba kukusaidia kuongoza magaidi waliobaki!
Ugonjwa gani mimi sijui!Kwani mirembe wanawatibia watu wasiyo wagonjwa?
Wewe hujui kuwa ni mgonjwa?Ugonjwa gani mimi sijui!
Mbona mwendazake alishafutilia mbali chadema, kwani bado IPO?CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
Kwa hali hii dau halina nahodha linakwenda mrama!yupo Maria Sarungi na Fatma Karume wanaendesha shughuli za chama online....sisi tuko kidigitali zaidi sio kama nyie CCM....ingia space huko na club house tunafanya mikutano na inajaza watu balaa.....subirini katibu mkuu atawapa taarifa week ijayo juu ya majadiliano yetu huku space..
Hata kaka yake gaidi na mwanawe pia waliugua!Conrona hainaga kuremba ikafyagiaaaaa
Anahusikaje hapa!Mbona mwendazake alishafutilia mbali chadema, kwani bado IPO?
Ya CHADEMA tuachie sisi SAGAI GALGANONi sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Mandela na Mbowe kweli Ni watu wa kuwalinganisha?Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Pole sana!Hivi kwa nini huwa unawaza kwa kutumia kiuno weye jamaa?Huzuni sana kwa ukoo wako.
Makamanda bwana kwani mtu kuwa mahabusu ndio keshafungwa je katiba inasemaje?!
Pole upokee weye kwa kuondokewa na kada mwenzako.Unatakiwa ukale ubwabwa msibani huku unajiliza kinafiki wanaweza wakakugawia suruali ya marehemu.Pole sana!
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!Mbona mwendazake alishafutilia mbali chadema, kwani bado IPO?
Hata kama kinafahamika,ndiyo umjibu Huyo mpunyufu kipara fekiInaonyesha hakuna mwenye kufahamu katiba ya cdm inaelekeza nin ikitokea mazingira km haya au labda hakuna kipengere kinachotoa ufafanuz wa jambo km hili linapotokea.
Ushauri want hangaika na mambo ya ccm, ya Chadema waaachie wenye chama be chap.Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Baba yake gaidi leo ana siku ya 42 ndani! Je katiba inasemaje iwapo atapelekwa guantanamo!