Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

Hangaikia ya chama chako huko na magaidi wenu
 
Makamu akisha uwawa mchana kweupe na Mwenye kiti kabambikiwa shauri la ugaidi
 
Hapana
Kulikua na akina Oliver tambo in the 80s

tusidanganye
 
Ila kule Sauzi wakati ule wafuasi hawakuwa wakipiga vinanda, ilikuwa heka heka patashika ngua kuchanika kwa miaka yote 27.
Tokeni hata kidogo kwani chama kimeshikwa pabaya kama mnasubiri maamuzi ya mahakama hapo sawa.
 
Hapana
Kulikua na akina Oliver tambo in the 80s

tusidanganye


Kwahiyo viongozi wote wa Chadema wamezuiliwa ndani??!!, akina Mnyika, Heche, John Mrema nk, hao nao wamezuiliwa ndani??.

Kumbuka Mandela aliitwa Gaidi na mhaini na makaburu historia inajirudia kwa Mbowe kwa kuitwa Gaidi. ----- siku zote Historia huwa inatoa mafunzo na wenye akili tu ndio hujifunza.
 
Ila kule Sauzi wakati ule wafuasi hawakuwa wakipiga vinanda, ilikuwa heka heka patashika ngua kuchanika kwa miaka yote 27.
Tokeni hata kidogo kwani chama kimeshikwa pabaya kama mnasubiri maamuzi ya mahakama hapo sawa.


Kumbuka Mbowe ni mtuhumiwa tu na bado hajahukumiwa na kufungwa.---- matokeo yawe ya aina yoyote bado ishara halisi ya; a dying horse tunaiona.
 
Mandela na Mbowe kweli Ni watu wa kuwalinganisha?
Nyumbu hovyo kabisa.


Mandela alipigania uhuru na haki Mbowe naye ni hivyo hivyo, sasa kuna kosa gani kuwalinganisha??, mtu analinganishwa na mtu mwingine.

Nyie akina Hamza mmechanganyikiwa sana hadi mnaanza kuuana.🤣
 
Mandela hakua kiongozi akiwa jela…. Na mleta mada kauliza without chair na Vice chair who is
Leading

jibu lilikua rahisi tu - kwamba chadema ina bionhozi

kuleta ya mandela ilikua siyo lazima
 
Mandela hakua kiongozi akiwa jela…. Na mleta mada kauliza without chair na Vice chair who is
Leading

jibu lilikua rahisi tu - kwamba chadema ina bionhozi

kuleta ya mandela ilikua siyo lazima


Ni lazima kwa case hii kwani historia ni mwalimu mkuu.
 
Ni lazima kwa case hii kwani historia ni mwalimu mkuu.
Then if ni historia basi umekosea

umesema mandela aliongoza akiwa jela… which is false

tambo led campaign enzi zile za kuwatoa akina sisulu na Mandela akiwa kiongozi wa anc

Mandela was not
 
Mbowe usimfananishe hata kidogo na Mandela. Mbowe ni gaidi. Mandela hakuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…