Pre GE2025 Katibu Mkuu CCM, Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi amehitimisha ziara ya siku mbili mkoani Singida kwa kusambaratisha hoja zote za Lissu za kibaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maneno gani sasa kijana,lisu aliongea ukabila upi?
 
CHADEMA wenyewe wamego kabisa kumchangia Lissu pesa maana wameona Lissu ni mzinguaji tu.
 
Tanzania hii nani ataanza kumchinja yupi?Acha kufananisha nchi za wajingawajinga na Tanzania.Msilete uzushi wenu kama ule wa mwaka 1995 wa kumuogopa Mrema hadi mkaanza kuweka filamu za mauaji ya kimbari ya Rwanda ili kuwatisha wapigakura/wananchi.CCM is a curse of the nation!Acheni uzushi na kugeuzageuza maneno.
 

HIVI NCHIMBI YUPO? MAANA HASIKIKI KABISA. NLISIKIA TU ALIVYOTEULIWA SINCE THEN NDO NAONA THREAD YAKE UMEMUANZISHIA. UMEACHWA NA MAKONDA? MAANA NAONA KWA SASA UNADANDIA DANDIA WATU. TAFUTA KAZI DOGO.
 
Viongozi wanasema wewe kupata uteuzi bado sana maana hujui kujenga hoja mpaka una haribu. Walikuwa wana discuss kuwa wewe na Mwashambwa ni empty set hamna kitu kichwan. Samia alijitambulisha yeye ni Mzanzibar. Wewe kilaza unakataa hilo.
Tangia lini na wewe ukawa na akili mpaka ushirikishwe na watu wenye akili katika mazungumzo?
 
Viongozi wanasema wewe kupata uteuzi bado sana maana hujui kujenga hoja mpaka una haribu. Walikuwa wana discuss kuwa wewe na Mwashambwa ni empty set hamna kitu kichwan. Samia alijitambulisha yeye ni Mzanzibar. Wewe kilaza unakataa hilo.
Samia ni Mzanzibari,Mimi mhehe Je inahusikaje na masuala ya kuendesha Nchi? Ukabila sio sehemu ya identity ya Watanzania kama nyumbu wa Chadema mnavyotaka kuturudisha enzi za ukoloni.Tumekataa
 
HIVI NCHIMBI YUPO? MAANA HASIKIKI KABISA. NLISIKIA TU ALIVYOTEULIWA SINCE THEN NDO NAONA THREAD YAKE UMEMUANZISHIA. UMEACHWA NA MAKONDA? MAANA NAONA KWA SASA UNADANDIA DANDIA WATU. TAFUTA KAZI DOGO.
Nani kakwambia kuwa mimi sina kazi kama ulivyo wewe mpiga porojo na umbea?
 
HIVI NCHIMBI YUPO? MAANA HASIKIKI KABISA. NLISIKIA TU ALIVYOTEULIWA SINCE THEN NDO NAONA THREAD YAKE UMEMUANZISHIA. UMEACHWA NA MAKONDA? MAANA NAONA KWA SASA UNADANDIA DANDIA WATU. TAFUTA KAZI DOGO.
Nani kakwambia kuwa mimi sina kazi kama ulivyo wewe mpiga porojo na umbea?
 
Leo umekula???? Ubaguzi upo kwenye katiba!!!!
 
Weka yako ndugu yangu.kwani wewe hutaki uteuzi?
Umemjibu vizuri kiungwana kabisa. Hao nyumbu wana njaa sana. Uteuzi wanajua uko na nafasi gani sahvi. CCM haiwezi kuindolewa na vinyumbu km hvyo, watu wenye akili, wenye elimu nzuri, wastaarabu, waungwana wako CCM. CCM wapinzani wao watatoka ndani ya CCM si nje ya hapo. Nchimbi anaijua siasa siyo hivi vitoto. Kwanza wajua kufikia hadhi ya Emanuel Nchimbi si rahisi
 
Ma CHADEMA yamechanganyikiwa na kuvurugwa kabisa akili zao.
 
Hapa hata kwa mtutu wa bunduki Lucas Mwashambwa hawezi kujibu. Siku zote ninaposema Lucas Mwashambwa ni kilaza naonekana namuonea,lakini tangu aingie humu jukwaani hajawahi kujibu maswali kama uliyomuuliza,sana sana ataanza kukujashifu kwa kusema 'tangu lini na wewe ukawa na akili ya kuhoji',kama naongopa tusubiri kama atajibu hizi hoja zako. Huyu Lucas Mwashambwa uwezo wa akili yake ni kusifia viongozi tu na atasimamia mtazamo wake huo hata umshikie bunduki.
 
Nani kakwambia kuwa mimi sina kazi kama ulivyo wewe mpiga porojo na umbea?
Kazi uliyo nayo ni kusifia wanaume wanakurushia pesa ya voucher. Ungekuwa na kazi usingekuwa muda wote unashobokea wanaume. Ungekuwa busy. We unawaona wao wana shobokea mtu humu ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…