Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kura mtaiba hakuna wa kuwapa mbona ndio kawaida yenu?Bosi ni bosi tuu [emoji1783][emoji1783], wacha kijana apigwe na jua kwanza awavute kina ngosha tupate kura za 2025
Badae tutampa mkoa wa morogoro akatatue kero za stand ya msamvu
CCM haijawahi kuiba kura, mnaipigia wenyewe sema mnasahau mapemaKura mtaiba hakuna wa kuwapa mbona ndio kawaida yenu?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
CCM ndo kila kituCCM haijawahi kuiba kura, mnaipigia wenyewe sema mnasahau mapema
Zaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloSiyo siri ujio wa Mskonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karsta.
Tatizo ni Chongolo, ansonekana kutokomea into oblivion.
Makonda anapiga chenga hata za mwili kisiasa.
Katibu Mkuu changamka!
Wewe utakuwa mwanachama wa lgbt.mwanaume halisi hawezi kuangalia makalio ya mwanaume mwenzie.Zaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Issues nyingine ni uwezo binafsi wa mtu!, Konda Boy ni bingwa wa amsha amsha!.Siyo siri ujio wa Mskonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karsta.
Katibu Mkuu changamka!
Huko sahihi 100%Katibu Mkuu wa CCM ni Mtendaji wa Shughuli za CCM za Kila siku akiwa ofisini na sio kurandaranda. Katibu Mwenezi ndio anatakiwa kufanya kazi ya kueneza Yale anayoelekezwa na Sekretariati ya Chama ikiongozwa na Komredi Chongolo.
Hawajalijua lengo la CCM kumweka Makonda hapo juuNaona wafitini meanza kuzua maneno ya husda. CCM inapigania uhai wake 2025, wewe unazungumzia Political Spotlight. Nigger are you for real ?
Makonda amebarikiwa matako ! hata bastora haijakaa vizuriZaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Tatizo viazi vitamu.Zaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Pamoja na kero za wakulima na wafugaji🤣🤣🤣🤣🤣Bosi ni bosi tuu 🤠🤠, wacha kijana apigwe na jua kwanza awavute kina ngosha tupate kura za 2025
Badae tutampa mkoa wa morogoro akatatue kero za stand ya msamvu
🤣🤣🤣🤣🪑Zaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Issues nyingine ni uwezo binafsi wa mtu!, Konda Boy ni bingwa wa amsha amsha!.
P