Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu ya nini, wengi wanasema kakashifiwa kashfa gani hiyo au ni mimi tu sijui au sifuatilii.Katibu mkuu ni Bulembo, kama una mahaba na hao uliowataja utasubiri wakati mwingine. Huyo Chongolo mwenyewe hajajiuzuru kwa kupenda, kalazimishwa baada ya kashifa za aibu.
Bulembo huyu aliyejimilikishia shule za jumuiya ya wazazi alipokuwa katibu mkuu.Katibu Mkuu ni Bulembo, kama una mahaba na hao uliowataja utasubiri wakati mwingine. Huyo Chongolo mwenyewe hajajiuzuru kwa kupenda, kalazimishwa baada ya kashifa za aibu.
Walishajipanga kama ilivyo kwa spare tyre kwenye gariKuna uwezekano mkubwa wa watu hao wawili kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM taifa kama itakuwa kweli kwamba chongolo amejiuzulu Kwa heshima.
Na ikitokea chongolo kajiuzulu atakuwa mmoja wa viongozi wenye utu na wenye uzalendo wa kweli kuliko majitu mezi mengine yanayoiba fedha za umma na yapo tu hata kijutia hakuna.
Hongera chongolo, kiongozi mzalendo wa kweli.
Viva chongolo, viva chongolo
Katibu Mkuu ni Bulembo, kama una mahaba na hao uliowataja utasubiri wakati mwingine. Huyo Chongolo mwenyewe hajajiuzuru kwa kupenda, kalazimishwa baada ya kashifa za aibu.
Baada ya Picha zake za uchi kusambazwa mtandaonikalazimishwa baada ya kashifa za aibu
Picha za uchi kuna Uzi uliwekwa humu ukafutwaKashifa gani tena
Jamaa hapa daresalaam ana majumba ya kifahari yasiyopungua 40Katibu Mkuu ni Bulembo, kama una mahaba na hao uliowataja utasubiri wakati mwingine. Huyo Chongolo mwenyewe hajajiuzuru kwa kupenda, kalazimishwa baada ya kashifa za aibu.
AmunaaDr. Bashiru Allly huyooooo anarudi kuwa KM CCM
Hiyo ni sifa siyo kashfaJamaa hapa daresalaam ana majumba ya kifahari yasiyopungua 40
Ngoma tayari Bulembo kala uteuzi wa katibu mkuuKuna uwezekano mkubwa wa watu hao wawili kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM taifa kama itakuwa kweli kwamba chongolo amejiuzulu Kwa heshima.
Na ikitokea chongolo kajiuzulu atakuwa mmoja wa viongozi wenye utu na wenye uzalendo wa kweli kuliko majitu mezi mengine yanayoiba fedha za umma na yapo tu hata kijutia hakuna.
Hongera chongolo, kiongozi mzalendo wa kweli.
Viva chongolo, viva chongolo
Hivi Kweli ngabude ziko njenje?Baada ya Picha zake za uchi kusambazwa mtandaoni