Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahsante!Huko sahihi 100%
Hata wewe umeyaona makalio ya Makonda kabla huja comment na ukakubali kuwa amejaaliwa nyuma.Wewe utakuwa mwanachama wa lgbt.mwanaume halisi hawezi kuangalia makalio ya mwanaume mwenzie.
HakikaSiyo siri ujio wa Mskonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karata.
Tatizo ni Chongolo, anaonekana kutokomea into oblivion.
Makonda anapiga chenga hata za mwili kisiasa.
Katibu Mkuu changamka!
Si sawa kikatiba wala ki protokali Konda Boy ni Magufuli type ila yeye ni zaidi ya Magufuli!, hivyo hayo aliyoanza nayo alikuwa akiyayafanya ki Magufuli Magufuli, alianza na moto sana!, tukamshauri Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka! amepokea ushauri, ame cool down sasa anakwenda sawa.Naomba kuelemishwa. Hivi anayofanya kwa mawaziri na viongozi wengine ni sawa kikatiba na kiprotokali?
Hadi ushoga na ujambaziCCM ndo kila kitu
Du ....yametimia tuliyotabiri!Siyo siri ujio wa Mskonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karata.
Tatizo ni Chongolo, anaonekana kutokomea into oblivion.
Makonda anapiga chenga hata za mwili kisiasa.
Katibu Mkuu changamka!
Anavopenda uchawa kina gsm wamemuacha kwelMakonda amebarikiwa matako ! hata bastora haijakaa vizuri
Inaelekea akonda sasa mguu sawa.Zaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Ukiangalia hii picha na ile clip ya wakati ule una conclude hakuna cheo cha kudumu dunianiZaidi ya msambwanda aliobeba Makonda, hana kingine cha kumzidi ChongoloView attachment 2812080
Kwanza nijulishe: nani ni mmiliki wa MFANYAKAZI ONLINE NEWS!!??Siyo siri ujio wa Mskonda ndani ya CCM umekuwa na matokeo chanya.
Hapa mama Samia alilamba dume ka karata.
Tatizo ni Chongolo, anaonekana kutokomea into oblivion.
Makonda anapiga chenga hata za mwili kisiasa.
Katibu Mkuu changamka!
BREAKING NEWS!!
๐๐ฎ๐๐ถ๐ฏ๐ ๐ ๐ธ๐๐ ๐๐ฎ ๐๐๐ ๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฒ๐น ๐๐ต๐ผ๐ป๐ด๐ผ๐น๐ผ ๐ฎ๐ท๐ถ๐๐๐๐น๐
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu.
Taarifa zilizotufikia ni kuwa Chongolo amewasilisha barua ya kujiuzulu kwa Rais Samia Suluhu Hassan leo usiku
View: https://x.com/MfanyakaziNews/status/1729235090075525376?t=1DwEMEGv0F3avAQ_8TMX9g&s=08
Angaika= hangaika?????Chadema mna angaika sana
Vipi ban ya UK na USA??Issues nyingine ni uwezo binafsi wa mtu!, Konda Boy ni bingwa wa amsha amsha!.
P
Yetu macho na masikioInaelekea akonda sasa mguu sawa.