Katibu Mkuu CCM Chongolo hala hala baba, Makonda anakuja vibaya!

Kazi kwao.....haipunguzi mfumuko wa bei mtaani
 
Heri kwake.

Anaenda kusaidia kuzamisha jahazi kwa ujumla
 
Tatizo ccm wengi wanamuona bashite ndie mwokozi na atajenga chama! 🤣
bashite hana jipya kabisa na hana uwezo huo zaidi ya 'patupatu'
 
Katibu Mkuu ni Bulembo, kama una mahaba na hao uliowataja utasubiri wakati mwingine. Huyo Chongolo mwenyewe hajajiuzuru kwa kupenda, kalazimishwa baada ya kashifa za aibu.
Huu ni utabiri wako au ni taarifa za uhakika ambazo unazo tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…