Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

H
Hebu tuisome kwa makini, tuanzie alipomalizia "D. G. Chongolo"? Huyu D. G. Chongolo ni nani ndani ya CCM? Najua CCM yumo Daniel, je, ni huyu D. G. Chongolo? Mimi ninaona siye yeye na kama angekuwa yeye angeliandika jina lake kamili na si kwa kifupi ukizingatia anamuandikia bosi wake yaani mwenyekiti wa chama.
Ninaamini bado yumo.
 
Kwa hiyo mnapenda mtu anayepayuka hovyo kama mwendawazimu? Namfahamu Chongolo kwa sehemu, kwa kuwa niliwahi kufanya naye kazi mahali. Ni mchapa kazi asiyependa mbwembwe za hovyo.
Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
 
Ni kweli, wanataka kumfanyia mchezo mchafu kama walivyomfanyia Ndugai. Alafu mods wanafuta futa nyuzi ili uzushi usambae.
 
akiondolewa kama sii kwa yeye kuamua ccm kwishney.
makonda kumbuka aliwadukua makamu(kinana, kumtilia sumu makamu mstaafu pia kamdukua makamba,jk nk
 
Umekuja umesoma na umetia lako.

CCM juu, juu, juu zaidi.
Chama kinaungua wewe unasema CCM juu. Ni bahati mbaya chama kimejaa makada wanafiki, waongo na wanaopenda kujipendekeza. Kwa sasa CCM inaendeshwa kwa majungu, upendeleo na inatafunwa na udini pamoja na ukanda.
 
Ccm hawana huo utaratibu atafia hapo kama nzi kwenye kidonda

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Leo muhusika alikua mwenyekiti wa kikao Cha Sekretariet ya Chama ( kikao Cha maandalizi ya vikao vya Cc na Nec)
 
Kwanza hiyo nafasi ya ukatibu mkuu .. ilikuwa haimfananii kabisa!... Frankly Speaking ...

Wenye chama chao... Kindakindaki.. toka UVCCM... Kina Makonda...Wako Frontline... Hili lilitarajiwa kabisa licha ya hiyo skendo...

Skendo imetumika kama Daraja tu..... La kupitisha mzigo uliokuwa unasubiriwa wakati wowote na walaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…