Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Sisi wananchi tumefurahi sana siku ya leo. Karibu sana Mh Makonda kwenye nafasi yako.
 
Mbona bado ana unaa, au anapewa nguvu na waliomuinua na kumpandisha chati kuwa mkuu wa wilaya. Karudi chatini na mkwara mzito kwa wakuu wa mikoa na mawaziri. Je ataweza kuwasagia kunguni kinomanoma kama wakati ule wa mukulu aliyemteua kuwa mkuu wa mkoa wa dar? Au ni mikwara tu ili aonekane bado ana ule ubabe wake wa zama za utawala ule. Eti anasema ukiwa mcha mungu naye atakuwa mcha mungu, ukiwa rafu rafu naye atakuwa rafu rafu, atakuwa muenezi kutokana mtu anamuundaje ! Kwa hiyo akiundwa shetani naye anakuwa shetani, akiundwa dikteta naye anakuwa dikteta. Aangalie asije akawa dikteta uchwarwa na wanachama chake wakamuona imla mkorofi
 

Paskali anafuraha.
 
Sophia mjema leo body language imeonyesha hajafurahi kabisa
 
Unatumai ukutane nae ili umpe kitumbua chako? Aah be ok!
 
sure upinzani umekua ukifanya siasa harakati muda mrefu softly, sasa huyo kijana ana mtindo wa siasa harakati pia intakua ni majotrooo na motrooo sana
Siasa harakati ni zipi?
 
Nachojiuliza je makonda alichaguliwa na Samia peke yake au na kikao cha kamati kuuu nahis kwenye hiko kamati wapo viongoz woteee vigogo wa ccm ila nashangaaa watu wanamsema samia kwa nn kamchagua makondo hapana tuseme ccm kwa n wamemchagua makonda
Kwa upande wangu mie sion ubaya kwa makonda ila nachonba afanye kazi kwa misingi na mipaka ya seheme yake ya kazi atakwenda mbele na atakuwa sawa tu
 
Mkuuu kwan hao wote hapo si kamati kuuu si ndio walipitisha kuchaguliwa kwake? Nahis wote ni wahusika kma nao walileta unafiki kwenye kuchagua basi imekula kwako wamekwenda na maji ila kasema hana kisasi
Ila mie napenda BASHE NDIO ALIPWE KISASI MAAANA MPUUZ SANA
 
TULIA UBWEDE
 
Point mkuuu
 
Wapinzani wake ni mawaziri na viongozi wa serikali, huko kwingine ni kukimbizana na upepo tu, na ajikite huko ili wananchi wapate huduma bora.Kuna miradi kibao aiendi na huku pesa imeishatolewa, makonda anatakiwa kusaidia hapo na sio kukimbiza na upepo wa chadema na act
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…