sure upinzani umekua ukifanya siasa harakati muda mrefu softly, sasa huyo kijana ana mtindo wa siasa harakati pia intakua ni majotrooo na motrooo sanaKuanzia Saa Tatu (3) Kamili pale Ofisi Ndogo Lumumba Mwamba na Kiboko ya Wapinzani wote Tanzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo Ndugu Paul Makonda (Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Taifa) atakuwa anatambulishwa kuanza Kazi ya Kuwanyoosha na Kuwaadabisha Wapinzani wote nchini Tanzania.
Hakika mtamkoma....!!
Mbona unaisemea Chadema wewe boya? Hatuna time naye huyo nyamitako wakoNi kawaida sana vyama pinzani kufuatiliana katika kila jambo Ili kuweka mikakati ya kudhibitiana
Wanachadema wanasubiri kwa hamu Hotuba ya Mwenezi mpya wa CCM Komredi Makonda
Wasiwasi wa Wapinzani ni endapo Makonda atafufua ile sera bora kabisa ya Kuunga Juhudi iliyoasisiwa na Komredi Polepole
Inasemekana Watema Madini makini bado wapo Chadema na leo Makonda huenda akasindikizwa Lumumba na baadhi ya Wabunge waliounga Juhudi wakiwemo Covid-19
Mungu Ibariki Chadema [emoji3]
Tutakuwa mubashara Channel ten [emoji23]
wanasubiri hotuba au neno la mwenezi mpya kwa hofu, masikitiko , huzuni kubwa na hali ya kukata tamaa kabisaaaa. Hawana hamu kabisa....Ni kawaida sana vyama pinzani kufuatiliana katika kila jambo Ili kuweka mikakati ya kudhibitiana
Wanachadema wanasubiri kwa hamu Hotuba ya Mwenezi mpya wa CCM Komredi Makonda
Wasiwasi wa Wapinzani ni endapo Makonda atafufua ile sera bora kabisa ya Kuunga Juhudi iliyoasisiwa na Komredi Polepole
Inasemekana Watema Madini makini bado wapo Chadema na leo Makonda huenda akasindikizwa Lumumba na baadhi ya Wabunge waliounga Juhudi wakiwemo Covid-19
Mungu Ibariki Chadema 😀
Tutakuwa mubashara Channel ten 😂
kidogokidogo mmeanza kurejea JF baada mawakala wanuka damu hatari wa Jiwe wameanza kurandaranda mitaaniMh. Makonda Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama cha Mapinduzi, kiongozi mwenye nyota ya pekee inayong'ara nchini anatarajiwa kupokelewa Leo kwenye ofisi ya CCM, Lumumba, Dar Es Salaam.
Siku ya Leo tarehe 26 Oktoba 2023
Kila la kheri Mheshimiwa, kutoka kwa mwana JF Mimi. Natumaini siku moja nitakutana nawe uso kwa uso kwa mara ya kwanza.
Makonda Oyeeee
Kazi iendelee...
Unapojamba ili kuficha harufu usimlete aliyejinyea ili kufukuza harufu!Kuanzia Saa Tatu (3) Kamili pale Ofisi Ndogo Lumumba Mwamba na Kiboko ya Wapinzani wote Tanzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo Ndugu Paul Makonda (Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Taifa) atakuwa anatambulishwa kuanza Kazi ya Kuwanyoosha na Kuwaadabisha Wapinzani wote nchini Tanzania.
Hakika mtamkoma....!!
Pumbavu.Ndio Atatatua shida ya ajira kwa Wahitimu? amekuja kutatua tatizo la upungufu wa Dolla?
Post zako zimejaa ujinga mtupu
Sawa Mke wangu.Mke wa Makonda ulipotea sana baada ya Bwana wako kutokuwa kwenye mfumo .Karibu tena Jf
SISI SUKUMA GANG ATUJALI WAO WAPUMBAVU WANACHUKIA NAMNA GANI ...CHAMSINGI LEGACY YA MAGUFULI INAPATA NGUVU TENA ....tunajua samia na hao wahuni wa sa100 kwanini wamempatia makonda icho cheo lengo ni kumtumia tu kufanikisha ufisadi wao na Rostam azizi jambazi la taifa ila wajue tu kuwa sukuma gang siyo wajinga wala wapumbavu ....ni lazima makonda atajigeuza mpumbavu kama walivyo mkusudia kuwa ndani ya icho cheo....maana samia amekusudia kuonyesha watanzania kuwa watu wa LEGACY ya magufuli wapo nyuma yake na wanaunga mkono upumbavu wake....hiyo ndiyo akili ya saa mia moja mbovu .Laiti ungejua adui mkubwa wa Makonda ni wapambe wa mama na wala sio wapinzani usingesema hayo. Kwa kuteuliwa Makonda;
Hivi Kinana ana furaha?
Hivi JK ana furaha?
Hivi Nape ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi January ana furaha?
Hivi Makamba senior ana furaha?
Hivi Philip Mpango ana furaha?
Hivi Majaliwa ana furaha?
Hivi Ridhwani ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi Abdallah Bulembo ana furaha?
Hivi Bashe ana furaha?
Hivi Sofia Mjema ana furaha?
Hivi mzee Warioba amefurahi?
Hivi Askofu Gwajima amefurahi?
Kuanzia Saa Tatu (3) Kamili pale Ofisi Ndogo Lumumba Mwamba na Kiboko ya Wapinzani wote Tanzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo Ndugu Paul Makonda (Katibu Mwenezi na Itikadi CCM Taifa) atakuwa anatambulishwa kuanza Kazi ya Kuwanyoosha na Kuwaadabisha Wapinzani wote nchini Tanzania.
Hakika mtamkoma....!!
sure upinzani umekua ukifanya siasa harakati muda mrefu softly, sasa huyo kijana ana mtindo wa siasa harakati pia intakua ni majotrooo na motrooo sana