Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Team!
Hii iko very serious na to be frank ni kwamba ili twende vizuri kisiasa lzm tuwe kundi la watu wanaojiheshimu na kuheshimu wengine.

Nasema hivi kwa kuwa wafuasi kibao wa CDM, CUF, NCCR, NLD, Umoja, ACT nk wana kautamaduni walikojenga vichwani ka kutukana, kumkashifu na kudhihaki viongozi wa CCM. Siku zote hudhani kwamba bila kutukana basi chakula hakitapita kooni.

SASA:
Atakayemtukana CDE Paul Makonda kwa namna yoyote ile atakuwa ameitukana CCM na kwa hali hiyo tutamuwajibisha nje na ndani. CDE Paul Makonda sawa na wewe anastahili kushika nafasi yoyote na sifa anazo za kutosha. CCM tumefurahi kwa kuwa ujio wake utainyima CDM usingizi.

Tusilaumiane kwa atayeshupaza shingo.

Ngaika Ndenda
Kakonko.
Wewe ndiyo wa kupigwa nje ndani hadi ufike kileleni bwege wewe
 
Team!
Hii iko very serious na to be frank ni kwamba ili twende vizuri kisiasa lzm tuwe kundi la watu wanaojiheshimu na kuheshimu wengine.

Nasema hivi kwa kuwa wafuasi kibao wa CDM, CUF, NCCR, NLD, Umoja, ACT nk wana kautamaduni walikojenga vichwani ka kutukana, kumkashifu na kudhihaki viongozi wa CCM. Siku zote hudhani kwamba bila kutukana basi chakula hakitapita kooni.

SASA:
Atakayemtukana CDE Paul Makonda kwa namna yoyote ile atakuwa ameitukana CCM na kwa hali hiyo tutamuwajibisha nje na ndani. CDE Paul Makonda sawa na wewe anastahili kushika nafasi yoyote na sifa anazo za kutosha. CCM tumefurahi kwa kuwa ujio wake utainyima CDM usingizi.

Tusilaumiane kwa atayeshupaza shingo.

Ngaika Ndenda
Kakonko.
Kinywa chake ndio pona yake na ndio anguko lake, ujipange we are watching na tutasema na hakuna ngedere wa aina kama yako wa kutuzuia
 
Tangu ateuliwe Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi na uenezi wa CCM. CHADEMA kuanzia viongozi mpaka chawa wake mitandaoni mmegeuka kuwa washauri wa CCM.

Tunamuona Lissu huko Marekani kilio ni Makonda, humu JF tunawaona Pro CHADEMA woote ni kilio!

Imekuwaje leo CHADEMA imegeuke kuisaidia CCM isianguke? Iweje CHADEMA leo mnakuwa sehemu ya washauri wa CCM kuhusu namna ya kukiendesha chama chao, ilihali huku kwenu nako yamejaa makandokando lukuki?

Tukiwaambia CHADEMA ni chama la kudandia Matukio mnakuja juu! Sisi wenye weledi tunamuonea huruma Makonda sababu amelazimishwa kuja kuwatetea watesi wake!

Amelazimishwa kuja kukisaidia chama ambacho tayari kimejaa majeraha mwilini hususani mabegani huku Kanda ya Ziwa.

View attachment 2793370
Suala la huyo nyamitako ni lenu wenyewe huko CCM sisi hatuna muda mchafu kumjadili mc wa chama chakavu
 
Back
Top Bottom