Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeh !! Na msoga tena ??! Kwani imekuwaje ??!Magufuli amerudi ndani ya Makonda ,timu msoga na ufipa watanyooka tu
sawaAna siasa za harakati zipi?. Tatizo mnasifia ujinga. Siasa za uharakati CCM ?
Link ya Channel ten au Magufuli 😂🔥Weka link
AahaaaaAhahahahaha! Bila Sasa hivi nae yupo Lumumba kumshuhudia Mwamba Makonda akitinga ofisini!
Tuko na Sabaya Hapa Sea BoysNext anarudi Pole pole, hapo ndio upinzani unakuwa hauna chao 2025
nenda basi kawafurahishe basi kiburudisho chao....Laiti ungejua adui mkubwa wa Makonda ni wapambe wa mama na wala sio wapinzani usingesema hayo. Kwa kuteuliwa Makonda;
Hivi Kinana ana furaha?
Hivi JK ana furaha?
Hivi Nape ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi January ana furaha?
Hivi Makamba senior ana furaha?
Hivi Philip Mpango ana furaha?
Hivi Majaliwa ana furaha?
Hivi Ridhwani ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi Abdallah Bulembo ana furaha?
Hivi Bashe ana furaha?
Hivi Sofia Mjema ana furaha?
Hivi mzee Warioba amefurahi?
Hivi Askofu Gwajima amefurahi?
Huenda kuna mpasuko. ! Sasa ni kukomoana tu ! Au vipi ?!Wewe ni mpuuzi, hakuna mtu mwenye akili nzuri ndani ya CCM anaweza kushabikia upuuzi wa Makonda kuwa Mwenezi wa CCM Taifa!
Makonda hana hadhi, uadilifu wa uweledi wa kuwa kwenye nafasi hiyo.
Makonda ni Mla rushwa na tapeli wa kutupwa!
Kesi yake kupora ghorofa la GSM imefikia wapi!?
Samia anajenga CCM ya hovyo!!
Na watakoma kweliWanalialia tu
Wote hao lao mojaLaiti ungejua adui mkubwa wa Makonda ni wapambe wa mama na wala sio wapinzani usingesema hayo. Kwa kuteuliwa Makonda;
Hivi Kinana ana furaha?
Hivi JK ana furaha?
Hivi Nape ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi January ana furaha?
Hivi Makamba senior ana furaha?
Hivi Philip Mpango ana furaha?
Hivi Majaliwa ana furaha?
Hivi Ridhwani ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi Abdallah Bulembo ana furaha?
Hivi Bashe ana furaha?
Hivi Sofia Mjema ana furaha?
Hivi mzee Warioba amefurahi?
Hivi Askofu Gwajima amefurahi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Yuko Mbagala mwembe yangaUtamuudhi Erythrocyte [emoji16][emoji16]
Nyie si mlisema amefichima?Siasa za Tanzania acha tu.
Makonda katoka mafichoni kaibuka na msafara wa bodaboda baada ya uteuzi!
Ameanza drama zake.