Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Laiti ungejua adui mkubwa wa Makonda ni wapambe wa mama na wala sio wapinzani usingesema hayo. Kwa kuteuliwa Makonda;
Hivi Kinana ana furaha?
Hivi JK ana furaha?
Hivi Nape ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi January ana furaha?
Hivi Makamba senior ana furaha?
Hivi Philip Mpango ana furaha?
Hivi Majaliwa ana furaha?
Hivi Ridhwani ana furaha?
Hivi Chongole ana furaha?
Hivi Abdallah Bulembo ana furaha?
Hivi Bashe ana furaha?
Hivi Sofia Mjema ana furaha?
Hivi mzee Warioba amefurahi?
Hivi Askofu Gwajima amefurahi?
ndioo
 
Makonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana

Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni

Makonda amesema Watesi wake wamemjenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu

Source: Channel ten
 
Makonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana

Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni

Makonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu

Source: Channel ten
Huna akili Jo sawa na huyo mkolomije wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mapokezi ya Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi, Ndugu Makonda amesema;

"Tangu niteuliwe nimepata nafasi ya kupita katika mitandao kusoma maoni ya baadhi ya watu, wengi wanahamaki na wengi wanabashasha, na katika wengi wanaohamaki wanawaza Makonda ataenda kulipa kisasi.

"Wanawaza makonda ataenda kufanya nini, nimeona na wengina wengine wanaanza kuwataja watu wengine kwamba utaona sasa usiyemtaka kaja, wengine wanasema tumejifunza nini katika jambo lamakonda.... Naomba niseme mbele ya hadhara hii, mgeni rasmi na mbele ya watanzania wapenzi wa chama cha mapinduzi na wakareketwa na mbele za Mungu, mimi sina kisasi na mtoto yoyote.

"Na asiwepo mtu akafirikiri lengo langu ni kumkandamiza, asiwepo mtu yoyote akafikiri wakati nitajitutumua kuonesha mabavu dhidi ya wale waliofikri wamenitenda mabaya, la hasha... naamini Mungu aliwatumia akiniandaa kufanya kazi kubwa zaidi..."
 
Amen
Makonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana

Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni

Makonda amesema Watesi wake wamejenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu

Source: Channel ten
Amen
 
Makonda njoo utukimbizie hawa Utopolo. Wamekuwa na kiherehere sana.
FB_IMG_1698312510283.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la huyo nyamitako ni lenu wenyewe huko CCM sisi hatuna muda mchafu kumjadili mc wa chama chakavu
Ha ha haaa hivi msemaji wenu Chag- dema si ndio huyu Erythrocyte au sio yeye?
Je!
Lissu sio mwenyekiti wenu wa chama?
Wewe Fu**y mfuasi uchwara unabishana na mabosi wako!
 
Makonda amesema;

Wengi wanawaza Mankonda ataenda kulipa kisasi, na wengine wakisema usiyemtaka kaja, naomba niseme mbele ya hadhara na watanznia mimi sina kisasi na mtu yoyyote na asiwepo mtu akafirikiri lengo langu ni kumkandamiza naomba niwaambie sijaja hapa kulipiza kisasi.
Chapa kazi ila usiwasafishe waliochafuka kwa kujichafua wenyewe!
 
Ni usemi ule ule wa kilatini, "La cuta causa Finita" -The decision of the president is Final, don't challenge president decisions

Makonda usiyempenda ndio huyo kaja tena CCM kama Kiongozi wa Itikadi na Uenezi. Maneno mengi yamesemwa juu yake lakini hakuna uthibitisho wa Mahakama juu ya tuhuma.

Maeneo ya Kariakoo hasa makutano ya Mtaa wa Livingstone na Kariakoo mambo ni moto. Ni umati wa madereva bodaboda wakiwa kwenye mapokezi ya Paul Makonda.

Mtaa wa Kariakoo upande wa Lumumba umezibwa kuruhusu umati mkubwa wa wana CCM waliojitokeza kumpokea Paul Makonda.

Paul Makonda ni muumini wa siasa za kibabe na nguvu ambazo ndio hitaji kwa sasa kwenye siasa za Tanzania kujibu hoja za upinzani.

Tumeshuhudia operation za CHADEMA wakijitamba na kujisifia lakini majibu ya CCM ni Paul Makonda.

Paul Makonda ni mtu wa propaganda.
Waliyekuwa wanamsema vibaya leo kawa Pearl!!!!!Ni unafiku wa ajabu sana.Anyway,hii ndiyo CCM,where anything is possible.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kila kona ya ufipa ni Makonda tu!

Yani Makonda ni maarufu kuliko ufipa yote
 
Back
Top Bottom