johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ahsante sana mkuu 😃Sasa kosa la johnthebaptist ni nini??
Kutuhabarisha au???
Siku zote tusiwe tukiua wajumbe, mjumbe hauawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mkuu 😃Sasa kosa la johnthebaptist ni nini??
Kutuhabarisha au???
Siku zote tusiwe tukiua wajumbe, mjumbe hauawi.
Sijawahi kuona mtu anaemtaja mungu mara nyingi kama shetani.Makonda amesema wakati wote alipokuwa kwenye Likizo ya miaka 3 na miezi 3 Viongozi wa Dini, Wajane na Wanyonge walikuwa Wakiomba na Kufunga kwa ajili yake, anawashukuru sana
Makonda ameahidi Kutolipa Kisasi kwa mtu yoyote mbele ya Mungu wa mbinguni
Makonda amesema Watesi wake wamemjenga na Kumfanya awe karibu na Mungu wa mbinguni zaidi, na hatimaye yuko Jirani na Patakatifu pa Patakatifu
Source: Channel ten
LaanaMtu apate ajari wewe ulete habari kishabiki na uitafsiri kuwa ni laana kwasababu tu jambo lililokuwa linafanyika ni mlengo tofauti nawewe kisiasa!.
Ifike hatua tuwe na utu ndani yetu sio mpaka tufundishane,akili tumepewa ya utafakari na sio kutumia kama makapi ya kudharirisha wengine.
Kwani kuna aliyevunjika kiuno ?Mbowe kaahirisha Operesheni +255 ili afuatilie mkutano wa Makonda
Next anarudi Pole pole, hapo ndio upinzani unakuwa hauna chao 2025
Wekeni picha [emoji23][emoji23]Aisee ni kiboka tena kaja anaendesha bodaboda
Tatizo nyota yako kaka, watanzania hawataki utimamu hawataki ujuaji wanataka vitu vya ujinga ujinga badili mtazamo wakoHivi Makonda ana utimamu gani wa akili au kwa usmart upi mpaka ionekane anafaa sana?
Kweli CCM imechoka.
Chadema watajinyonga
Mama mdogomdogo kama anamuasi Mkwere vile anarejea kwa jembe, yetu macho.Hatimae ngosha wanacheza beat ya Lumumba [emoji1783][emoji1783][emoji706][emoji706], siasa ni akili ndogo sana
Team!
Hii iko very serious na to be frank ni kwamba ili twende vizuri kisiasa lzm tuwe kundi la watu wanaojiheshimu na kuheshimu wengine.
Nasema hivi kwa kuwa wafuasi kibao wa CDM, CUF, NCCR, NLD, Umoja, ACT nk wana kautamaduni walikojenga vichwani ka kutukana, kumkashifu na kudhihaki viongozi wa CCM. Siku zote hudhani kwamba bila kutukana basi chakula hakitapita kooni.
SASA:
Atakayemtukana CDE Paul Makonda kwa namna yoyote ile atakuwa ameitukana CCM na kwa hali hiyo tutamuwajibisha nje na ndani. CDE Paul Makonda sawa na wewe anastahili kushika nafasi yoyote na sifa anazo za kutosha. CCM tumefurahi kwa kuwa ujio wake utainyima CDM usingizi.
Tusilaumiane kwa atayeshupaza shingo.
Ngaika Ndenda
Kakonko.
Wewe wasema ila wao wanasonga, sisi ukawa tumefanya nini zaidi ya migogoro na tamaa zetu na uchu wa madarakaIla CCM Haina watu wa kufikiria.
Kwa muktadha huo pia Haina watu sahihi wa kuongoza mchi