Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Ni usemi ule ule wa kilatini, "La cuta causa Finita" -The decision of the president is Final, don't challenge president decisions

Makonda usiyempenda ndio huyo kaja tena CCM kama Kiongozi wa Itikadi na Uenezi. Maneno mengi yamesemwa juu yake lakini hakuna uthibitisho wa Mahakama juu ya tuhuma.

Maeneo ya Kariakoo hasa makutano ya Mtaa wa Livingstone na Kariakoo mambo ni moto. Ni umati wa madereva bodaboda wakiwa kwenye mapokezi ya Paul Makonda.

Mtaa wa Kariakoo upande wa Lumumba umezibwa kuruhusu umati mkubwa wa wana CCM waliojitokeza kumpokea Paul Makonda.

Paul Makonda ni muumini wa siasa za kibabe na nguvu ambazo ndio hitaji kwa sasa kwenye siasa za Tanzania kujibu hoja za upinzani.

Tumeshuhudia operation za CHADEMA wakijitamba na kujisifia lakini majibu ya CCM ni Paul Makonda.

Paul Makonda ni mtu wa propaganda.
 
Ni usemi ule ule wa kilatini La cuta causa Finita,The decision of the president is Final

Makonda usiyempenda ndio huyo kaja tena ccm kama kiongozi wa itikadi na uenezi

Maeneo ya kariakoo hasa makutano ya mtaa wa livingstone na kariakoo mambo ni moto

Ni umati wa madereva bodaboda wakiwa kwenye mapokezi ya Paul Makonda

Mtaa wa kariakoo upande wa lumumba umezibwa kuruhusu umati mkubwa wa wana ccm waliojitokeza kumpokea Paul Makonda
Aisee ni kiboka tena kaja anaendesha bodaboda
 
Tangu ateuliwe Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi na uenezi wa CCM. CHADEMA kuanzia viongozi mpaka chawa wake mitandaoni mmegeuka kuwa washauri wa CCM.

Tunamuona Lissu huko Marekani kilio ni Makonda, humu JF tunawaona Pro CHADEMA woote ni kilio!

Imekuwaje leo CHADEMA imegeuke kuisaidia CCM isianguke? Iweje CHADEMA leo mnakuwa sehemu ya washauri wa CCM kuhusu namna ya kukiendesha chama chao, ilihali huku kwenu nako yamejaa makandokando lukuki?

Tukiwaambia CHADEMA ni chama la kudandia Matukio mnakuja juu! Sisi wenye weledi tunamuonea huruma Makonda sababu amelazimishwa kuja kuwatetea watesi wake!

Amelazimishwa kuja kukisaidia chama ambacho tayari kimejaa majeraha mwilini hususani mabegani huku Kanda ya Ziwa.

FB_IMG_1698306006974.jpg
 
Team!
Hii iko very serious na to be frank ni kwamba ili twende vizuri kisiasa lzm tuwe kundi la watu wanaojiheshimu na kuheshimu wengine.

Nasema hivi kwa kuwa wafuasi kibao wa CDM, CUF, NCCR, NLD, Umoja, ACT nk wana kautamaduni walikojenga vichwani ka kutukana, kumkashifu na kudhihaki viongozi wa CCM. Siku zote hudhani kwamba bila kutukana basi chakula hakitapita kooni.

SASA:
Atakayemtukana CDE Paul Makonda kwa namna yoyote ile atakuwa ameitukana CCM na kwa hali hiyo tutamuwajibisha nje na ndani. CDE Paul Makonda sawa na wewe anastahili kushika nafasi yoyote na sifa anazo za kutosha. CCM tumefurahi kwa kuwa ujio wake utainyima CDM usingizi.

Tusilaumiane kwa atayeshupaza shingo.

Ngaika Ndenda
Kakonko.
 
Viongozi wote wa ccm wakiongozwa na mwenyekiti wao hawana akili timamu!


Njoo unishughulikie niko kwangu Muda huu

Eneo :Salasala

Mtaa : Vasmo

Nyumba no_ 89

Hakikisha wakati unakuja uje na wanawake wenzio wa cwt!
 
Back
Top Bottom