Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Niliandika uzi humu miezi michache iliyopita kutabiri kutumbuliwa huyu Lugola moderator 1 akaufuta sijui ana undugu na Lugola.
Humu kuna watu mnawapendelea hata wakiandika nini hamfuti
Tatizo lako ni kwamba huwa hujikombi kombi kwa mode...
Wengine wanaotafuta umaarufu humu
kila mda ni kuomba omba kwa modez!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama we kiongozi siku ukisikia Magu anazindua kitu kinachousika na wizara/idara yako; usiku wake kabla inabidi uongee sana na mungu wako maana lolote linaweza tokea.
 
Lugola pamoja na kuvaa masuti yenye mibendera mifukon na kutembea na ilani ya chama chao ila kafukuzwa hadharani....next stop utalii na maliasili.
 
hata yeye mfukuzaji nae vilevile ni shida na kunauwekezano oopss!! uwekezano...aghh!! UWEZEKANO mkubwa wa kutimuliwa asigombee muhula ujao. wekeni kumbukumbu zenu juu ya hili.
AMEVURUNDA KIASI KIKUBWA HAIJAPATA KUONEKANA NNJIHIII.
 
Mpika majungu wa CCM leo kuni zimegoma kuwaka..chali

Njoo mzee tuvae kininja mtaani..
 
masauni uyo uyo ndio anaewaunguza wenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…