UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Hahaha imebidi tu nicheke
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo lugola kwa jinsi alivyokuwa anawanyanyasa Polisi Haki ya Mungu hata akiwa barabarani na gari lake watamuuliza helmet iko wapi na kama hana na lockup watamuweka,cheo dhamana ya muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app