Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

nimecheka sana. 😀 😀 😀 😀 😀 😀 watu wanataka kutusaulisha tu!
 
Jana kuna taarifa ambayo haioendezi kuisikiliza lakini yaweza kuwa kweli ya kwamba Tanzania inaweza kuwa moja ya nchi ambazo raia wake watazuiwa kuingia Marekani.
Naamini hili linaweza kuwa jambo kubwa kama litatimia.Kinachonisikitisha kwa sasa watu wamehamia kwenye issue ya Kangi na kuacha jambo la wengi.

Ni vyema tuendelee kutafakali

Sent using Jamii Forums mobile app
Waathirika wa hilo zuio ni wachache sana; tupambanie Taifa letu mazao yavunwe kwa wingi, ajira ziongezeke, magonjwa yakae mbali nasi; anayeumuzwa na kusudio la Wamarekani ni yule asiyedhamini chake.

Endapa Wamarekani watakatazwa kuja Tanzania, hapo kuna kila sababu ya kujifikirisha maana utalii na sekta nyingine zitaathirika.
 
ingekuwa enzi za jk ungepigwa mgawo wa harakaharaka, kesho msingesikia dreamliner inakodishwa kwenda Mauritius au Seychelles. watu wanaenda kufungua akaunti
 
Ni vyema tuendelee kutafakali [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Jana kuna taarifa ambayo haipendezi kuisikiliza lakini yaweza kuwa kweli ya kwamba Tanzania inaweza kuwa moja ya nchi ambazo raia wake watazuiwa kuingia Marekani.
Naamini hili linaweza kuwa jambo kubwa kama litatimia.Kinachonisikitisha kwa sasa watu wamehamia kwenye issue ya Kangi na kuacha jambo la wengi.

Ni vyema tuendelee kutafakali

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Watu wanaishi kwa matukio hapa tena mengine ya kutengenezewa wanarushiwa wahangaike nayo. Hawana huo uwezo kuacha kurukia tukio jipya kama nyani na matawi ya mti.
 
Jana kuna taarifa ambayo haipendezi kuisikiliza lakini yaweza kuwa kweli ya kwamba Tanzania inaweza kuwa moja ya nchi ambazo raia wake watazuiwa kuingia Marekani.
Naamini hili linaweza kuwa jambo kubwa kama litatimia.Kinachonisikitisha kwa sasa watu wamehamia kwenye issue ya Kangi na kuacha jambo la wengi.

Ni vyema tuendelee kutafakali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujifanya kujua sana matokeo yake unaandika upuuzi. Subiri kwanza tamko litoke rasmi ndio uje hapa uandike hivyo. Sasa USA wamesema huenda wakajumlisha nchi zingene 6 wewe ushaanza kuwashwa washwa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waathirika wa hilo zuio ni wachache sana; tupambanie Taifa letu mazao yavunwe kwa wingi, ajira ziongezeke, magonjwa yakae mbali nasi; anayeumuzwa na kusudio la Wamarekani ni yule asiyedhamini chake.

Endapa Wamarekani watakatazwa kuja Tanzania, hapo kuna kila sababu ya kujifikirisha maana utalii na sekta nyingine zitaathirika.
Ikiwa ni kweli hayo yaweza kuwa manyunyu mvua bado, ni wazo language tu maana na kwingineko Duniani walianza hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu utani sasa, mtu hata hajijui
Akusikie! Atakuporomoshea matusi kama maji ya mafuriko ya Jangwani! Maana CCM nzima tunamtegemea Kibajaji kwa matusi kutukana Vyama vya upinzani.
 
Kangi Lugola amefuata njia ile ile aliyopitia Mwigulu Nchemba kwa kujibandika bendera ya taifa kwenye mashati yao.

Uzalendo kwanza ni sawa lakini hata bendera zenyewe wekeni kwa kiasi basi lakini wapi unaona mtu kajibandika bendera kubwa kama mlingoti ni yeye. Hebu punguzeni munkari ndugu zangu kwani kuchamba kwingi ...

Hongera sana Mhe Rais kwa kazi nzuri.
 
Binafsi nmepokea kwa huzuni Sana taarifa ya kujihudhuru uwaziri wa mambo ya ndani.
Alitatua mengi Sana kwa upande wa mwanachi wa kawaida.mfano
~Suala la kupewa dhamana polisi bila kutoa pesa
~masuala ya kufukuzana barabarani kati ya bodaboda na mapolisi iliisha
~Nidhamu ya polisi iliimarika sana

Mkuu hauko peke yako katika kuhuzunika. Na Kangi Lugora, polisi mchukua rushwa hakuwa na amani. Dhamana ilikuwa 24x7. Matochi barabarani yalipata hekima. Hata yule wa kipigo cha mbwa koko alipata brake kidogo.

Bila Kangi Lugora wizara hii yaweza kuwa njiani kurejea tulikokuwa tumetoka.
 
Hizo fedha za nini?. Mbona wasitupe hadithi nzima kuhusu hizo hela?.
 
Sasa Jiwe anahamaki nini watu kusaini mikataba ambayo haijapitishwa na bunge, wakati mchezo huo hao wa chini yake wanamgeza yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom