Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Huwa ninakuheshimu, kwasababu ya umri wako, lakini hiki ulichokia dika hapa hakina maana kabisaaa! unaletaje mambo ya Mbowe na Wachaga hapa? kuungua ni mambo binafisi! Kwani Mbowe alipenda augue? ustarabu unabitajika. mbona umekuwa mpumbavu kiasi hiki!? hekima yako kidogo imekuacha kabisa! njaa hatar!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
maandishi yako umeandika kama umepiga 4fingers ya kibanda umiza. tena umifanana na yule kijana wa JF CHABURUMA aka BASHITE
 
huyu FaizaFoxy hana tofauti na BASHITE kwasasa kapoteza mwelekeo. amesahau kuwa magonjwa kaumbiwa binaadam akidhani yeye ni tumbili au kima hayatamkuta
 
Na pale lumumba lumumba wanashindikia mihogo na maji ya kandoro huku macho yakiwa mekunduu
 
maandishi yako umeandika kama umepiga 4fingers ya kibanda umiza. tena umifanana na yule kijana wa JF CHABURUMA aka BASHITE
Vipi Hali ya Mwenyekiti wa maisha, Mbowe,?

Anaendeleaje na Corona? Vipi na mwanae?

Ufipa kuna anaeingia kufanya kazi kipindi hiki?
 
Mamdenyi ,Chatudume,Chachuombara,Alexism wote wameingia mitini
 
Mamdenyi ,Chatudume,Chachuombara,Alexism wote wameingia mitini
 
Aisee Leo ndo umewaumbua hasa hawa mambumbumbu wa CCM, yaani sh 7,000 per day na siyo per hour, ndo iliwafanya hawa mazezeta kutetea kila uchafu wa serikali na CCM, ndo maana baadhi yao wametoweka hatuwaoni humu Kama YEHODAYA, Lizaboni, Barbarosa na wengineo kumbe kisa ni Buku 7 imekata.
Ama kweli CCM ni kiwanda cha mataahira, it's better someone lacks money or lives without money than having no wits!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…