To and FroWakilijua hili tumeisha βοΈπ mtaomba bora traffic wangeendelea kusimama road!
Na hata hivyo speeds kwa hawa jamaa wa serikali hawatozingatia vile vile. Wao gari zao si zinaweza kuwa excluded kwenye system ya camera tu.
hawa jamaa huwa wanaambiwa kabisa wakae siti ya nyuma upande wa dereva lakini hawasikiagi maagizo ya itifaki !! Hata mimi nikiwa dereva ngoma hili linakuja uso wa uso aisee lazima nichomoe betry - nailazia kwa boss weeee !!!.... vijna wa kitaa wanakwambia "kampelekea". Hatari sana.
Matumizi ya seat kwa viongozi hutofautiana kutokana na hadhi ya kiongozi huyo - Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu bila shaka hata Spika hukaa seat za kati na mlinzi huanza mbele (for security reasons)Siti ya mbili Ni siti ya mabosi na viongozi , Hii ni kwa wafanyakazi wote . Ukikaa nyuma unaonekana kuruta tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dereva na yeye ni mtu. OvaDereva kwakwepa upande wake na kulengesha upande wa boss
Unaweza ukafafanua kidogo hapo mkuu
kuna sheria na vifungu vinawabana. ila havifuatwi.Jamani kifo ni kifo lakini Hawa madereva wa magari ya serikali inawezekana wanazo sheria zao za traffic kwani zilizopo wengi wao hawazizingatii...inawezekana huyu wa Arusha siyo kosa la dereva lakini madereva wengi wa magari ya serikali wanaendesha spidi wanaovertake Kila mahali mlimani, kwenye daraja mteremkoni na kadhalika...juzi juzi dereva mwenye gari namba SM 1248..(namba ya mwisho naweka mfukoni) nusura atusababashie ajali mbaya Dar es Salaam...anaovertake kwenye kilima...magari yako foleni yeye anaona hastahili kusimama kwenye foleni anaovertake na mbele linakuja gari...Hawa madereva wa serikali wengi wengi wao Kama siyo baadhi yao ni ovyo kabisa...
dereva yuko hoi mauhututi. ICU bado ajakata fuseDereva hapo kapona maana sio mlengwa.
basi kwa impact hii. speed inaonekana ilikuwa kubwa. V8 mpaka ivurugike hivyo means impack force ilikuwa kubwa na gari waliligongana nalo litakuwa ni zito zaidi ya V8V8 ni gari nzito ina body ngumu ukilinganisha na gari nyingine ndogo.
Kwa ajali ambazo nimewahi kusikia na kuzishuhudia, watu hupata majeraha ila siyo kifo.
Pia angalia ajali ya gari mfano Passo vs Nissan Extrail vs Prado nk.
Wezi wa Kura Kumbe Mnakufa, poleni sanaSalaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani.
basi kwa impact hii. speed inaonekana ilikuwa kubwa. V8 mpaka ivurugike hivyo means impack force ilikuwa kubwa na gari waliligongana nalo litakuwa ni zito zaidi ya V8
Hivi kuna makazi ya milele? Ukifa uzaliwi tena?Maisha yana maana sana. Muhimu ni kutambua kwamba duniani tupo kwa muda mfupi, baada ya muda tutaondoka kwenda kwenye makazi ya milele.
Utaondoka kwa ajali, ukimwi au hata korona haijalishi.
bora kutafuta hela...kuliko kudhulmu watu kisa una madaraka utadhani madaraka yatakupa pumzi ya milele.Maisha hayana maana kabisa na tunahangaika bure tu kutafuta hela na maisha mazuri.
Dereva kapigwa upofuutakuta kuna mtu kahamisha barabara [emoji17][emoji17]
Kwa hiyo we unaogopa kufa?Ha
Hata ingekuwa wewe ungejiua mkuu?
Salaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani.
Kwao Sengerema.....Wezi wa Kura Kumbe Mnakufa, poleni sana
Sasa wanaopewa lift wabanane na boss nyumaTo and Fro
hawa jamaa huwa wanaambiwa kabisa wakae siti ya nyuma upande wa dereva lakini hawasikiagi maagizo ya itifaki !! Hata mimi nikiwa dereva ngoma hili linakuja uso wa uso aisee lazima nichomoe betry - nailazia kwa boss weeee !!!
Na bado huo ujinga wa maonyesho umekukaa kichwani,achana na stori za 28 october.Nimeka wazi kabisa na wala usitake kubadili nilichosema, nimesema hata akifa mtu wa ccm sio tatizo, maana ccm imeua watu ili ikae madarakani kwa shuruti. Lisu hakushindwa uchaguzi maana hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.