TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

Wakilijua hili tumeisha ✔️😂 mtaomba bora traffic wangeendelea kusimama road!

Na hata hivyo speeds kwa hawa jamaa wa serikali hawatozingatia vile vile. Wao gari zao si zinaweza kuwa excluded kwenye system ya camera tu.
To and Fro
.... vijna wa kitaa wanakwambia "kampelekea". Hatari sana.
hawa jamaa huwa wanaambiwa kabisa wakae siti ya nyuma upande wa dereva lakini hawasikiagi maagizo ya itifaki !! Hata mimi nikiwa dereva ngoma hili linakuja uso wa uso aisee lazima nichomoe betry - nailazia kwa boss weeee !!!
 
Siti ya mbili Ni siti ya mabosi na viongozi , Hii ni kwa wafanyakazi wote . Ukikaa nyuma unaonekana kuruta tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Matumizi ya seat kwa viongozi hutofautiana kutokana na hadhi ya kiongozi huyo - Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu bila shaka hata Spika hukaa seat za kati na mlinzi huanza mbele (for security reasons)
 
Unaweza ukafafanua kidogo hapo mkuu

V8 ni gari nzito ina body ngumu ukilinganisha na gari nyingine ndogo.

Kwa ajali ambazo nimewahi kusikia na kuzishuhudia, watu hupata majeraha ila siyo kifo.

Pia angalia ajali ya gari mfano Passo vs Nissan Extrail vs Prado nk.
 
Jamani kifo ni kifo lakini Hawa madereva wa magari ya serikali inawezekana wanazo sheria zao za traffic kwani zilizopo wengi wao hawazizingatii...inawezekana huyu wa Arusha siyo kosa la dereva lakini madereva wengi wa magari ya serikali wanaendesha spidi wanaovertake Kila mahali mlimani, kwenye daraja mteremkoni na kadhalika...juzi juzi dereva mwenye gari namba SM 1248..(namba ya mwisho naweka mfukoni) nusura atusababashie ajali mbaya Dar es Salaam...anaovertake kwenye kilima...magari yako foleni yeye anaona hastahili kusimama kwenye foleni anaovertake na mbele linakuja gari...Hawa madereva wa serikali wengi wengi wao Kama siyo baadhi yao ni ovyo kabisa...
kuna sheria na vifungu vinawabana. ila havifuatwi.
unakuta kiongozi anamwambia wahi mkoa fulani kuna kikao cha haraka. ndio hiyo kimbiza kimbiza. kiongozi haogopi hata mwendo. wengine huwa wanawaambia madereva wao wapunguze mwendo.
 
V8 ni gari nzito ina body ngumu ukilinganisha na gari nyingine ndogo.

Kwa ajali ambazo nimewahi kusikia na kuzishuhudia, watu hupata majeraha ila siyo kifo.

Pia angalia ajali ya gari mfano Passo vs Nissan Extrail vs Prado nk.
basi kwa impact hii. speed inaonekana ilikuwa kubwa. V8 mpaka ivurugike hivyo means impack force ilikuwa kubwa na gari waliligongana nalo litakuwa ni zito zaidi ya V8
 
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.


Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani.
Wezi wa Kura Kumbe Mnakufa, poleni sana
 
Mwendo kasi unaua sheria za barabarani zifuatwe bila shuruti kwa kila mtumiaji.
Asante
 
basi kwa impact hii. speed inaonekana ilikuwa kubwa. V8 mpaka ivurugike hivyo means impack force ilikuwa kubwa na gari waliligongana nalo litakuwa ni zito zaidi ya V8

Halafu gari kama V8, Prado, Nissan Extrail, Safari, Patroo nk zina mbio na tulivu sana barabarani.

Sasa ukute umefunga vioo tena, hapo unaweza ukawa mwendo wa hatari na usijue.

Cha msingi dereva anatakiwa awe makini na kufuata kanuni za usalama.
 
Maisha yana maana sana. Muhimu ni kutambua kwamba duniani tupo kwa muda mfupi, baada ya muda tutaondoka kwenda kwenye makazi ya milele.

Utaondoka kwa ajali, ukimwi au hata korona haijalishi.
Hivi kuna makazi ya milele? Ukifa uzaliwi tena?
 
Salaam Wakuu,

Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.


Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.

Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.

Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.

Apumzike kwa amani.

Mmh hii ajali ni kama ilimtaka yeye tuu
 
To and Fro
hawa jamaa huwa wanaambiwa kabisa wakae siti ya nyuma upande wa dereva lakini hawasikiagi maagizo ya itifaki !! Hata mimi nikiwa dereva ngoma hili linakuja uso wa uso aisee lazima nichomoe betry - nailazia kwa boss weeee !!!
Sasa wanaopewa lift wabanane na boss nyuma
 
Nimeka wazi kabisa na wala usitake kubadili nilichosema, nimesema hata akifa mtu wa ccm sio tatizo, maana ccm imeua watu ili ikae madarakani kwa shuruti. Lisu hakushindwa uchaguzi maana hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Na bado huo ujinga wa maonyesho umekukaa kichwani,achana na stori za 28 october.
Fanya mambo mengine unayoona sio ujinga wa maonyesho.
 
Back
Top Bottom