Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 271
Hawa ndio wale madereva wenye vyeti vya form four,. .,... Wale experienced na nidhamu walitimuiliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yana maana sana. Muhimu ni kutambua kwamba duniani tupo kwa muda mfupi, baada ya muda tutaondoka kwenda kwenye makazi ya milele.Maisha hayana maana kabisa na tunahangaika bure tu kutafuta hela na maisha mazuri.
Acheni akili za kitoto na kipuuzi,kifo hakichagui.
Karatu hoyeeeAlikua na v8 akitokea Arusha kuelekea Dodoma.Walipofika mdori mkoa wa Manyara wakagongana na Bus.Ndani walikuwemo na wanawake 3 ambao ni majeruhi pamoja na dereva.Pole zao wafiwa.
Akili matope hizi! Kwahiyo hapo Lisu atarudi kuwa rais?
Mwendokasi Mkuu.Viongozi na watumishi wa serikali ni wahanga wakubwa wa vifo/ulemavu uletwao na ajali...
Sijui chanzo ni nini? Mwendokasi au juju
hili umemsingiziaAnaweza sifiwa na wengi ila binafsi nilimfahamu kama mtu wa manyanyaso, kukosa utu, majungu (na hivi alikuwa ofisi moja na mkewe), roho mbaya, kukandamiza surbodinates asio wapenda n.k
Mhanga pia.
Nimemuelezea kwa binafsi yangu mkuu. Siwezi eleza zaidi hapa.hili umemsingizia
Poleni watanzania, poleni ndugu na jamaa!
R.I.P comrade Kwitega!
Apumzike kwa Amani. Ila madereva wa serikali na hizo overtake zenu hapana. Sasa ukichanganya na overtake za mabasi inakuwa si hali. Hata kama mnaendesha magari ya serikali (au hata mabasi) jueni ajali haichagui uimara wa gari au status ya gari-nashangaa hata hamuofii maisha yenu wenyewe mnovyo overtake! Chonde chonde fuateni sheria kama sisi raia na muache mchezo wa kuwasha mataa yenu na kupita kwenye 50 kph na hizo 120+kph. Ajali inaweza kumpata mtu yeyote ila kuna anayejiweka katika nafasi hatarishi zaidi kupata ajali kwa kuvunja sheria za barabarani kwa ubabe tu. Sasa baba wa watu kapoteza maisha hivi hivi, inauma. Poleni familia ndugu jamaa na marafiki.
Mbona sielewi hapo gari zote zimeumia upande wa kushoto, hapo walikuwa wanapishana wrong side au?Salaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
View attachment 1693548
Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani
View attachment 1693569
View attachment 1693583View attachment 1693584View attachment 1693585