TANZIA Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Tixon Nzunda afariki kwa ajali ya gari

Tuendelee kuwa na Mungu kwa hili.Kumbuka marehemu haombewi bali tunaombea waliobaki.
 
Ajali nyingi za Fuso na Vieteee huwa hatokii mtu aiseee sijui sababu ganii..!!
 
Mwendokasi wa hovyo, wangeondoka mapema na wakaenda mwendo wa kawaida wasingefika? halafu hili swala la kwenda kumpokea Makamu magari zaidi ya 50 ili iwe ni nini? gharama kubwa kwa walipa kodi
 
Mwendokasi wa hovyo, wangeondoka mapema na wakaenda mwendo wa kawaida wasingefika? halafu hili swala la kwenda kumpokea Makamu magari zaidi ya 50 ili iwe ni nini? gharama kubwa kwa walipa kodi
 
Madereva wa magari ya serikali😳
Wakati mwingine utakuta madereva hawana makosa, pengine walikuwa wamechelewa kwenye shughuli na maboss wengine wana kawaida ya kuwakoromea madereva na kuwafokea kabisa "kanyaga gari wewe si unaona tunachelewa"...... dereva afanyeje si lazima atii amri ya boss ananyoosha mguu matokeo yake si yanakuwa hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…